Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Mara nyingi kwenye vikao vya bunge utawasikia wale waheshimiwa sana wakisema ama 1:naunga hoja mkono au 2:naunga mkono hoja Mojawapo si sahihi au pengine zote
0 Reactions
0 Replies
847 Views
1. The hand enters inside the anus must come out with unpleasant odour-either bad smell or feaces. 2. What an old man can see sitting, a young man cannot see standing. 3. The enemy is in the...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Ivi ni sahihi kusema niko njiani naelekea zanzibar? Am on my way to zanzibar au uko kwenye boti ukielekea zanzibar au kwenye ndege ukielekea zanzibar? Msaada kidogo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Taja maneno matano (5) ya kiingereza yasiyo kuwa na vowels, yaani yanatumia Consonants tupu.
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Je, kuna kitabu kilichoandikwa kuhusu elimu ya mantilki (logic) kwa Kiswahili? Au kuna istilahi za mantiki zilizokusanywa?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kuna mtu anajua maana ya wimbo wa Mpoto wa WAITE naomba uhakiki wake..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Haya maneno mawili yananitatanisha sana hasa kwa matumizi yake wana jamii tusaidiane katika hili: Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wanajamvi ningeomba maana ama tafsiri sahihi ya neno - "kupunga pepo'',
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Mara nyingi mie nilikuwa najua ya kwamba maneno "Nishati" na "Kawi" yana maana moja ila Nishati ni TZ na Kawi ni Kenya (Kumaanisha Energy.) Hivi majuzi, nilimskia mtangazaji nchini Kenya...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Angalia jinsi jamaa alivyoponea tundu la sindano kisa alama ya mkato, HANG HIM,NOT LET HIM GO HANG HIM NOT, LET HIM GO
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani wataalamu naomba tafisiri ya neno mysterious hasa likiwa hivi- *Mysterious person. *2 people have died mysteriously . Natanguliza shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
habari za hapa, wakuu? Naomba msaada wa wapi naweza kujifunza LUGHA YA ALAMA.kwa upande mwingine nipo kazini naweza kusema mwajiriwa wa serikalini. Hvy muda kama unanibana na eneo nilipo! Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
954 Views
......
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kumekuwapo na utumiaji wa jina la noah pale ambapo panamaanisha nguruwe mnyama aka mdudu, na hiyo lugha hasa nimeipata humu JF. Naombeni kuuliza, nguruwe aliitwa noah kutokana na gari aina hiyo...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Lipi neno sahihi na sanifu kati ya "KIZA" na "GIZA"? nisaidieni wana jukwaa la lugha.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kuna imani za kale zilizoaminiwa na jamii ktk makabila na tamaduni mbalimbali mfano 1.UKIPALIWA KUNA MTU ANAKUSEMA 2.JOGOO AKIWIKA USIKU UJUE KUNA MTU ATAKUFA 3.MKONO WA KULIA UKIWASHA UTAPATA...
3 Reactions
72 Replies
44K Views
Habari wana JF Naomba tafsiri ya maneno haya Shopping Miss you
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwenu wataalamu wa lugha ya kizungu mimi kila ninapo kutana na hili neno "SCENARIOS"sing'amui kitu jamani naombeni msaada
0 Reactions
4 Replies
923 Views
Tumekuwa tukitumia neno la kiingereza 'feedback' pengine kwa kutofahamu neno halisi la kiswahili. Wengine wanasema ni 'mlisho nyuma'. Jumatano nimemsikia mtaalam wa lugha ya kiswahili akieleza...
0 Reactions
6 Replies
22K Views
Critical thinking Empathy Naomba tafsiri ya kiswahili.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom