Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Hey members!Naomba nitoe msaada wa matumizi ya neno WHO & WHOM maaba watu wengi huchanganya sana. Kwa kifupi WHO hutaka kujua mtenda tendo(subject) wakati WHOM hutaka kujua mtendewa(accusative...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Hiki tunachoita mabomu ya machozi, wenzetu waswahili pia wakutoka Kenya wanaita vitolea machozi. Binafsi najiuliza ni kwa nini tunapenda kutumia neno bomu au mabomu? Ni makusudi au ukanjanja...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wanaofahamu eneo la Malanja...... Tusaidieni hili. Ni Close au Cross?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Bonjour mes amis......
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakati watanzania na serikali yake tukiidharau na kuchukulia poa lugha yetu adhimu ya kiswahili, wenzetu wa mataifa ya nje wanaithamini sana na kujifunza kwa kasi. Leo kupitia habari kwenye TV...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msaada pliiizi!
0 Reactions
19 Replies
25K Views
Habari.. Naomba ushauri, nifanyeje ili kiingereza nikizoee na kukitumia kama navyokitumia kiswahili (naweza cha kuombea maji)
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa yeyote anaefahamu kilipo kituo kinachotoa kozi ya lugha ya kituruki naomba anisaidie
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Naombeni kujua kwanini Christmas hufupishwa kama x mass..nataka kujua "x" inasimama badala ya nn na "mass"inasimama badala ya nn
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salamu ukumbini, nimerudi wamalenga Nauliza uwanjani, majawabu sitopinga Yametokea mjini, msiniifanye mjinga Dini mbili harusini, ndoa gani tutafunga Moja ya kuumeni, dini njema imefunga Kijana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwanini wabongo tusiimarishe lugha yetu nayo iwe na hadhi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wale wote mnaotumia R kwenye L, jitahidini mwaka 2014 muache kabisa, kwa hizi siku 6 zilizobaki endeleeni kutumia ra ra zenu ila january tafadhalini sana, Nadhani mnajijua wale wa...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Siti binti Saad alizaliwa katika kijiji cha Fumba, Zanzibar mwaka 1880. Alipozaliwa alipewa jina la 'Mtumwa' hii ni kwa vile alizaliwa katika kipindi caha utumwa wa Kiarabu Jina la Siti alipewa na...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
1. Anazitaka zirudi, ayyamu walayali Zilizo vunja miadi, na kututenga wawili Zikatuweka baidi, tukaishi mbali mbali Vipi leo zitarudi, ziwe tena za awali 2. Nilimpa moyo wangu, ukawa ni nyumba...
2 Reactions
0 Replies
967 Views
nahitaji mwalim wa kunifundisha lugha ya Kifaransa muda wa jion kwa aliyeko Dar es Salaam. awe na programme ya mi kuelewa haraka, kusoma/kuandika na kuongea. Najua Kiingereza vizuri cha kusomea.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama ilivvyo ada kwa wahaya kila mwaka hupewa jina. Na mwaka huu 2014 umeitwa WETOHYE. Abahaya na buli omoi waitu ayetohyeze Ruhanga tubase kushabuka kurungi n'emirembe. Mpahonu: obakeise...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JAMANI naomba msaada nahitaji kujua english language kwa ufasaha kwa muda mfupi level yangu ya elimu ni chuo kikuu lakini english yangu ni mbovu sanaaa natanguliza shukrani
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Mtanzania mmoja aitwae john,apata bahati ya kuwafundisha wazungu lugha ya kiswahili;hiyo imetokea baada ya kijana huyo kuwa na tabia ya kutembelea mitandao mbalimbali na ndipo katika mtandao mmoja...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba mnijalie tofauti ya haya maneno
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Maaana ya neno kinaga ubaga na kinaganaga
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…