Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
hili ziwa lipo huko Marekani, jina lake ni Chargoggagoggmanchauggagoggchaubunagungamaugg, watu wamekua wakiliandika tu huku wakishindwa kulitamka.... dunia ina mambo.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TANZANIA Ni yetu ,KISWAHILI Ni lugha yetu......ebu tembelea apa http:/www.geosan.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuana tofauti gani kati ya Chuo na Shule..?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji mwalimu wa kunifundisha kifaransa privately
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama yellow = Njano Green = kijani Red = Nyekundu White = Nyeupe Pink = ? Blue = ? Nipeni elimu
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Heyyyyyy Kumekucha,, Nsaidieni nini tofauti kati ya malaya na kahaba ? Unaweza ukawa kahaba na usiwe malaya & vice versa
0 Reactions
8 Replies
5K Views
wakuu nawasilisha..
0 Reactions
1 Replies
14K Views
Katika kupitiapitia kwangu nimekutana na makala ambayo nimeona ni bora kuiweka hapa ubaoni ili wote tuweze kuisanifu Swahili ni Taifa la makabila yaliopo katika Pwani ya Afrika ya Mashariki...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Alitokea mchawi, kawaroga watu hawa. Akawapa ukiziwi, na magonjwa yaso dawa. Kawafanya wawe kiwi, ndege wasio na mbawa. Mchawa alipania, kuwatesa si kuua. Kawaroga mashujaa, kafanya wawe...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Muda mrefu nimekuwa nikipata shida kutambua ni neno gani hasa sahihi kati ya 1. Ugali na Ugari...utamsikia mtu akisema "nina songa ugari", je ni sahihi 2. Kulowa na Kurowa...utamsikia mtu akisema...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Utata wa kisarufi ni kitu cha kawaida sana katika lugha zote duniani.. Utata huo waweza tokea kwa sababu mbalimbali. Lakin kwa lugha yetu ya kiswahili utata huo wa kisarufi umezidia mipaka kiasi...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Kwa mwenye uhitaji huo tuwasiliane- kichina kwenda Kiswahili na kiingereza n vise versa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
What is the meaning of a phrase " CORRUPTION FREE ZONE" ???
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana jf. Juzi nimetembelewa na mtoto wa dada angu,sasa huyu mjomba ni bubu,sasa kwa siku mbili hizi nilizoo kaa nae,yaani hatari. Kwanza anaonekana mwongeaji sana (kwa lugha za Alama). Pili ni...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Shahidi wa kwanza wa Mashtaka katika kesi inayomkabili Mkamu wa Rais wa Kenya,William Ruto leo ameanza kutoa ushahidi wake katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai(ICC). Shahidi huyo wa kike ametoa...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
hili halijaanza jana wala juzi ila siku hizi imezidi mno na kuwa kero. tafadhali sana waandishi wa magazeti, naombeni mzigatie uandishi wa kiswahili fasaha na sahihi pasipo kukera wasomaji...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba tafsiri za maneno haya kwa ki-English tafadhali. 1. MTENDAJI MKUU. 2. WAKALA WA USAJILI,UFILISI NA UDHAMINI
0 Reactions
5 Replies
2K Views
waungwana naomba nipate uelewesho juu ya hili hivi maneno HABARI ZA SAA HIZI? ni swali au salaam?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
nilipo kuwa kidato cha nne mwalimu wangu alikuwa aki husianisha kiswahili na maneno ya kibantu. alisema maneno yote ya kibantu na kiswahili ikiwa miongoni mwa rugha hizo, yameishiwa na irabu mfano...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Elimu bora ni muhimu kwa kila mmoja wote tuelimike tufikie malengo tokomeza ziro kwa vitendo tokomeza ziro Kiitikio: mwisho wa ziro x 8 Akakufundisha ukafika kuwa mwalimu chonde chonde moyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…