Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimesikia ktk ITV leo na hata katika mijadala mbalimbalia kuhusu uimara wa kiswahili na tatizo linalosababishwa na Kiswahili. katika akufuatilia nimeona tatizo si Lugha na hata kama lingekuwa...
2 Reactions
91 Replies
17K Views
Hutokea mara nyingi watangazaji wakisema "habari za kimataifa" au "habari za kimichezo" ni sahihi? Mimi nadhani ingekuwa "habari za mataifa", na "habari za michezo". nisaidieni lugha wandugu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kupigana na Nafsi!! ni LEO, Kesho ni kubahatisha. Mema yatende LEO, Usiseme kesho itafika.! Mola kakupa LEO, Kesho bado kaificha. Udumu kutenda LEO, Kesho huna uhakika. Tufanye mema kwa...
2 Reactions
1 Replies
932 Views
Upi ni msemo sahihi wa Kiswahili sanifu kati ya misemo ifuatayo? a. Ndoo inavuja au b. Maji yanavuja? Tusaidiane katika hili wadau wa Kiswahili.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wataalam wa lugha naombeni ufafanuzi wa nini maana ya feed back?kwani nimemsikia mtangazaji wa tbc taifa,anasema kuwa mic zimeleta matatizo ktk ukumbi wanaofanyia mkutano chama cha mapinduzi...
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Hi I am the university student really in need of the soft copies of the books; Translation Theory into Practice, The Modern Translations and Church Translating Paradigm (2nd Edition). I have...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Wakubwa naomba mnipatie tofauti iliyopo kati ya hatimiliki na hakimiliki pia na mifano yake.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Samahani kaka na dada nijulishen hili wanaume najua wakirudi wanauitwa alhaji pdidy wanawake wanaitwaje??
0 Reactions
17 Replies
2K Views
kama kuna member hum ana soft copy ya vitabu vya musiba kama vle njama, kikosi cha kisasi, hofu nk anidumbukizie humu
0 Reactions
0 Replies
878 Views
Natanguliza shukrani zangu za dhati
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna watu wanatabia ya kuongea kizungu au wanachanganya changanya kiswahil na kizungu ili tu waonekane wajanja au wasomi au tu kupenda sifa. anaona ataonekana mshamba akiongea kiswahili moja kwa...
5 Reactions
38 Replies
5K Views
1.Ushamba ni kuwepo ktk onyesho flani la Bendi maarufu ya mziki wa Dansi,unampatia pesa kiongozi wa Bendi au rapa ili jina lako litajwe mpaka mwisho wa onyesho kuwa "Papaa Masaburi Makubwa" yupo...
0 Reactions
19 Replies
8K Views
You reap What You Sow : Means that - Every this you do has repercussions. It comes back to you one way or another. Example...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana kwenye SkyNews niliona burudani ya kutosha kutoka kwa mwana mama mwaafrika ambaye ni mtaalamu wa lugha kwa ishara,alivyokuwa anaonyesha alama kwa vitendo na kwa hisia hakika ilinisisimua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF. Nipo kando ya TV ninafuatilia majadiliano bungeni. Ninaona waheshimiwa kadhaa wananadai nchi hii itaendelea iwapo Kiswahili kitaenziwa. Ninatambua umuhimu wa lugha kama chombo cha...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
1. Twambie we mwafulani,tumekwita kwa baraz,
0 Reactions
0 Replies
705 Views
Ni mengi yamesemwa kwamba tumekuwa watumwa kwa kuchukua lugha za kigeni na Kikoloni.., wengine wamefikia hatua ya kusema kwamba kwanini Kiswahili kinatumika mpaka darasa la saba na kwanini...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau, Majuzi hapa wakati wa-Japan wanakumbuka wenzao walipoteza hali, mali na nafsi katika tsunami ya mwaka uliopita Mh Rais Mkapa alikuwa ni katika wageni waalikwa ambao walikaribishwa jukwaani...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu, mimi nina utata kuhusu lugha yetu, mnisaidie mantiki yake. Kuna taratibu mbalimbali ktk shule mbalimbali hapa nchini ambapo mwanafunzi analazimika koutumia lugha ya kiingereza hata kama kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani nna t-shirt imeandikwa... DOES YOUR FACE HURT? CUZ IT'S KILLING ME.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…