Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nimezamishwa kinani, kwenye lindi la huzuni, pakushika sipaoni, mwenzenu ni simanzini, Nina uchungu moyoni,limenikuta jamani, Umenipata msiba. Mwana kukuza nyumbani, na vyuoni masomoni...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Napenda kufahamu kinyume cha neno "Dhaifu".Kisha mnisaidie kutaja nani kati ya marais awamu zote ni dhaifu zaidi.Kuanzia wa kwanza kwa udhaifu hadi wa mwisho ambae atakuwa na jina ambalo ni...
0 Reactions
6 Replies
13K Views
haya maneno hutumika sana, lakini neno moja halina maana nzuri, sasa nikukaribishe wewe JF member unisaidie Mazingira ambayo naweza kutumia haya maneno.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
THE MERRY WIVES OF WINDSOR (HERI WANAWAKE WA WINDSOR) Performed in Swahili by Bitter Pill from Nairobi, Kenya. (with scene description in English) TAZAMA VIDEO NZIMA HAPA: Shakespeare: Globe to...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu. Nimeamua kupitia huku leo baada ya kutatizwa na haya maneno ambayo machoni pa wengi yanatumika tu ila binafsi naona kasoro zifuatazo. Taasisi ya kukusanya kodi Tanzania...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Ne mbwitu! Niamba he,nifuna kutama ngolongondi kumgati...namwene.Maganga yawi lepa. Namyangu wikita kyani ?
5 Reactions
67 Replies
26K Views
hivi tz tunatumia lugha gani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu, naomba kujua neno sahihi katika matumizi ya lugha ya Kiswahili. Jee ni kujuza, kujuzwa au ni kujulisha au kujulishwa? Nawasilisha.
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Wanajamvi naomben jibu kwa anaefaham baba mkubwa kwa lugha ya kiingereza anaitwaje anijuze.
0 Reactions
39 Replies
26K Views
Lakini sijawahi kusikia tukibezana kwa broken Kiswahili. Wazungu wanaharibu sana lugha yetu, kuonesha double standards tunawachekea tu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau, naomba kujua kwa kiingereza tunasemaje neno 'kuponza' mfano wa sentensi: nimemponza Juma akakamatwa na polisi.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ndugu zangu, naomba kujua neno 'mmonyoko wa maadili' linasemwaje kwa lugha ya kiingereza?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa nn? Kiswahili cha msimbo/ mseto kimekithiri sana hivi sasa miongoni mwa watumiaji wa lugha hiyo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili ndo jina la laptop kwa Kiswahili. Kwanini hawa baraza la Kiswahili wanatuletea tafsiri ambazo zinatupa mtihani kuzitamka?? Source. TBC1 jambo Tanzania ya Leo.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
jamani wapedwa kuna utata umejitokeza chit-chat kuhusu utofauti wa hayo maneno hapo juu.naomba ufanunuzi please!
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Fill in the blank. Sipho is the son of Jacob. So Jacob is the _________ of Sipho's father. Hebu kajaribu tuone uwezo wako.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
je unayafahamu makosa yanayotumika katika mazungumzo yetu kila siku? Mfano: Charge-charger(nipatie chaji yangu ya pini ndogo)badala ya chaja ......... Wimbo-nyimbo(nyimbo hii......)badala ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama hapa ni nyumbani kwa wazamivu waliobobea katika kufikiri (Great thinkers) basi na matumizi ya lugha nayo yazingatiwe. Ingawa dunia nzima inajulikana kwamba lugha za asili huathiri lugha za...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hadi leo sijui kwanini au ilianzaje mpaka housegirl - akaitwa beki tatu Dereva- akaitwa suka Shilingi mia- ikaitwa jiti mtu mfupi - akaitwa andunje tupia hapo chini na wewe kama hujui kiswahili...
0 Reactions
17 Replies
14K Views
imekua desturi ya Tanzania,ya kwamba kiongozi yeyote(especially MBUNGE) kuitwa muheshimiwa. MI nnavyoona kiongozi yupo pale kuwafanyia kazi wananchi. kiongozi - sisi TU MLIPE...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…