Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ni kabila lipi nchini ambalo lafudhi au matamshi yake,ukizungumza tuu hadharani unajulikana sahiyo hiyo?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naombeni tofauti ya typo or thumbo na language mistake pamoja na mifano yake, Leteni darsa wadau nataka niongeze ilmu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Owete gi nyimine ma nyikwa Ramogi Ajwang' udhi nade? Amosou uduto ni okwe uru!
0 Reactions
17 Replies
3K Views
"Kafata Nini Nchini?" Nawauliza wajuzi, myajuayo ya ndani Alipofika majuzi, akenda hadi chumbani Kama vile paka jizi, akivizia machoni Kafata nini nchini, kichaka huyo mwajua? Nawauliza...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Nisaidieni tafsiri ya kiingereza kwa maneno haya kufuga nywele kibanio cha nywele (cha akina mama) nywele za kipilipili kipara mba (wa kichwani) kunyoa nywele kwa wembe kusuka nywele...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wanajamvi. Maneno haya kwa kimombo nadnai ni effective na effincieny. Lengo la uzi huu ni kuleta mjadala na changamo ya kueleta uzi huu ni kuyafafaua kwa mifano hai tunayoona , tunayotumia...
0 Reactions
4 Replies
16K Views
wanajamvi karibuni kwa starehe zenye majonzi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unaweza kumuona mwenzio mwenda wazimu kumbe wewe ndio ndio mheshimiwa wao Nani mwenye makosa ya lugha kati ya mgonjwa na Dr? Kwa hisani ya gazeti la uwazi
0 Reactions
0 Replies
2K Views
aahhh vituko hivi vituko, visikieni jamani jimama kakosa mwiko ,atumia wa jirani keshazua sokomoko,na gumzo mtaani hakukitaka kijiko ,alichonacho nyumbani. mwengine katuchekesha,vioja...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari wadau,!..
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Naomba kusaidiwa ufafanuzi baina ya maneno haya mawili : 1. Repeat 2. Again sijakurupuka ktk kayauliza nimeshayafanyia uchunguzi wa kina nakuta mwishoe ktk matumizi yanaleta tendo la...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nini maana ya 1. swaga? na 2.masaburi? plz helper!?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
On my 2nd year Studying Medicine nilipokuwa napata time mostly weekends nilikuwa na hudhuria darasa la philosophy and this Novel was recommended na Professor SOPHIE'S WORLD A Novel About the...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Jamani kuna story nimeanza kuandika inaitwa HARD-DISK Naombeni msaada wenu tafsiri ya neno hili kwa kiswahili!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kuna tabia iliyozoeleka ktk jamii yetu kwa mfano mtu ana nguvu kwenye mkono wa kulia.akifany kitu kwa mkono wa kushoto anasema huo sio mkono wangu au huo sio mguu wangu.hii kiuhalisia si sahihi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna msemo ulivuma sana siku za karibuni hasa baada ya Cameron kutoa order ya ushoga....na hii inasemwa kuwa iliwahi kusemwa na JK wakti anafungua bunge baada ya uchaguzi wa 2010 "UKITAKA KULA...
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Unafanyika leo hapa campus ya Mlimani, wanachama walioitikia ni wachache(kulingana na idadi ya wanachama).
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana JF hapa tulipo mda si mrefu 2011 gudii bayy itakuwa sio mbaya ukajumuika nami kwa kutuabarisha mjadala upi ulio faidika kwa namna moja au nyengine a.k.a uligusa hisia na kuelimika na nani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimuandishi naempenda kuliko wote! nimesoma vitabu vyake vingi sana, lakini mpaka leo naamini novel yake ya. "MASTER OF THE GAME" ndio bora Kwangju. ww unapenda novel gani? thanks alot guys.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
anaye jua software yakujifunzia english, tupia hapa faster plz, either sertup/link yakuipata/jina lake kamili. asanteni!!!!!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…