Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
huwa nakereka mpaka basi. Wanasema waungwana, uongo ukirudiwa sana huwa ukweli. Mbaya zaidi upotoshaji huu huanzia studio na vituo vya redio na tv. Msanii anasema 'hii nyimbo yangu nimeirekodia...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam JF! Haya maneno nimekua nikisikia mara kwa mara yakifikisha ujumbe. Je ni sahihi? 1-Anajitia (huyu kaka anajitia haelewi). 2-Anajifanya (huyu msimamizi anajifanya haoni)...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
sehemu mbali mbali hapa Tanzania nimekuta tangazo ''TUNAUZA MKAA''. Unapoandika unauza MKAA inamaana unauza kipande kimoja. Ila neno fasaha linalotakiwa kutumika hapo ni ''TUNAUZA MAKAA''...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Kuna haya maneno ya kiswahili yananisumbua sana tangu nasoma hadi sasa,nitofautishie tafadhali hata kwa sentesi. 1.Kuona 2.Kutazama 3.Kuangalia Mfano, .Juma alienda kuangalia mpira .Juma alienda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
DAGAAA KWA KINGEREZA ANAITWAA NANIII? small fish,silver fish au niniii?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. Upendo kameze dawa. -ulove table medicine. 2. Fundi kassimu amefariki - engineering katelephone dead. 3. Salimu hivi ni wewe? - salimu are you you? Tuendelee.......
1 Reactions
36 Replies
4K Views
Mie najivunia sana lugha ya kiswahili. Ni lugha yenye sarufi ya uhakika (ingawa ngumu) na ndo lugha iliyosaidia kujenga umoja wa watanzania. Lakini kwa bahati mbaya sana hivi karibuni umeibuka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Subra ni nguzo mama ya kuishi duniani. Subra ni jambo jema, analipenda Manani. Subra huwa daima ni funguo ya amani. Subra ni fimbo njema ya kumpiga shetani. Subra chanzo cha neema kwa viumbe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
where is the best centre which teaches properly swahili language?..i need to learn it..or if there is a swahili language teacher..he/she can communicate w4th me... Ahsante!!!
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu nisaidieni kujua kuna tofauti gani kati ya tobo na tundu haya maneno yananchanganya kuelewa!
0 Reactions
13 Replies
8K Views
1.mtoto amelalia maziwa. >mtoto kalala juu ya maziwa. >mtoto amekunywa maziwa kama mlo wake wa usiku. 2.shangazi ametuletea mbuzi. >shangazi kaleta mbuzi mnyama >shangazi kaleta kifaa cha kukunia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo nikifuatilia mdahalo wa mchakato wa katiba uliorushwa na star tv, nilimsikia Paschal Mayala akisema baada ya kupewa kipaza sauti... "Kwanza naomba ku declare interest" halafu akaendelea "mimi...
7 Reactions
34 Replies
5K Views
"uhai wangu uligana na umbo langu na uhai wangu wenyewe utegemea umbo la mtu mwingine"
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hamjambo! Ninaandika hapa kwa mara ya kwanza, kwa hiyo tafadhali unisamehe nikifanya makosa ya aina yoyote! Kwa kawaida ninashindwa kuelewa maneno ya nyimbo za Kiswahili (za lugha yoyote, kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
ninavyofahamu mimi neno malaya (prostitute) NI mpenda ngono zembe. Wamalaysia pia wanaitwa malaya. sasa wataalam naomba msaada ni sahihii kwa malaya wa kimalaysia kumwita malaya wa kimalaya or...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
karibuni tena jamvini
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1.Luninga----TV 2.Chokoraa-----Mtoto wa mtaani 3.Manzi-------Demu(Girlfriend) 4.Chapaaa-----Fedha 5.Chang'aa-----Gongo 6.Keroro------Pombe 7.......... Ongezea na wewe Nawasilisha
0 Reactions
10 Replies
4K Views
eti ugonjwa wakupenda chini ndo ngoma????
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali nieleze maana ya kole / makole na mkole / mikole na chanda la mnazi. Asante sana.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu nauliza swali langu kuna tofauti gani kati ya haya maneno ya kiingereza Mtu kusema hili neno (I love you) au kutumia neno hili (I like you) nawaomba munijuze Wakuu.........
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Back
Top Bottom