Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
WALIVYOSHINDWA KUVILA(FUMBO) 1. Ninapoamua kula, nakula kitaalamu, Sikimbilii mahala,nakula iishe hamu, Washindwapo mimi nala, wenyewe wajilaumu, Ndivyo nilavyo daima, walivyoshindwa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
1.Format of the exam. 2.Neat & negligible work ie good h/writing+proper work arrangement 3.Make sure you understand the questions first before you attempt 4.Write the quotations whenever...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Enyi magwiji wa Lugha ya Kiswahili, mnaweza kulifumbua fumbo hili? "Uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu hutegemea uhai wa mtu mwengine."
0 Reactions
5 Replies
30K Views
Naomba usaidisi wa fumbo....uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu hutegemea uhai wa mtu mwingine.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
We’ll begin with a box, and the plural isboxes. But the plural of ox becomes oxen, not oxes. One fowl is goose, but twoare called geese. Yet the plural of moose should never be meese; You may find...
1 Reactions
1 Replies
947 Views
Usemi huu kautoa jana akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutoka sare na Moro United, naomba wadadavuzi mdadavue alimaanisha nini?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiangalia baadhi ya maneno kwenye mtandao na nimeshangaa sana kukuta baathi ya maneno karibia lugha zote za duniani huyatumia. mfano:- Mama karibia lugha zote duniani hulitumia neno...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
BRUSH PASS A "brush pass", also known as "brush contact" is the term used to describe a brief moment where two agents 'meet' and quickly exchange information, documents, and/or equipment...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajf naomba kufahamishwa tofauti kati ya maneno hayo hapo juu tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana jamvi kwanza niwape pole kwa msiba wa mwenzetu na mpendwa wetu dada Regia Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Pia naomba kujua tofauti iliyopo au zilizopo kati ya Mashuhuri na Maarufu...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wakuu hebu tujikumbushe tungo zenye utata katika lugha yetu nzuri ya kiswahili,,,,,hii inamana kuwa unawseza kuwa na sentensi moja yenye maana zaidi ya moja. Hizi tungo ni za zamani sana hivyo...
0 Reactions
0 Replies
9K Views
Wanajf nina jirani yangu kwa kweli ananikera sana kwa matusi yake nje na ndani ya familia yake mwenyewe! Najua hata humu watu kama hawa wapo hivo tuwape somo waachane na matusi. Jirani ana...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwanza niwakumbushe wanaJF wenzangu kwamba mustakbali wa nchi hii upo mikononi mwetu wenyewe, wala hakuna mgeni atakayefikiri na kufanya maamuzi kwa niaba yetu-kwa manufaa yetu. Sote tunafahamu ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Nipo moshi na ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi.Sasa natafuta watu watakaopenda kujifunza Kuzungumza,kuandika na kusoma lugha ya kiitaliano au kihispania.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Samahani wana JF Kunamaneno fulani ya kiswahili yamekuwa yakinichanganya. -Neno Kukoga na Kuoga. Mimi nahisi neno kukoga linatokana na neno mokogo. Lakini neno hili kukoga limekuwa likitumiwa hata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naombeni maana ya neno CABLE,MODEM ya internet,,,kwa kiswahili
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nini matumizi au utofauti wa "ya" na "wa" ktk sentensi? wana JF naomba nielimisheni..
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Gari imetumbukia baharini. 2. Gari limetumbukia baharini. 3. Gari limedumbukia/imedumbukia baharini. 4. Gari imeingia/limeingia baharini. Eti ????
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeona nianzishe uzi wenye mada za kufikirisha katika maandishi na kudadavua maana ya maandishi yenyewe. Kwa kuanza naanza na mada ya njaa. Ni nadra kutokukubali kuwa kuna uhaba wa njaa...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, ninaipenda sana nchi yangu na vitu vake vilivyomo. Ninajisifu kwa kuwa na nchi yenye lugha yake yenyewe tofauti na nchi zingine zilizo kubali kurith lugha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom