Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kwanini vijana wanaitana 'JEMBE'na lina maana gani hili neno?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nijuzeni ni kipindi gani/wakati gani riwaya ya kusadikika iliandikwa? Ma2kio ya wakati huo yaliyoambatana na kusadikika
0 Reactions
4 Replies
3K Views
ni nini usahihi wa matumizi ya maneno "TUNZO na TUZO?"
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau, habari ya saa hizi, naomba msaada wa neno husika hapo juu kwa kiingereza
0 Reactions
65 Replies
25K Views
Waziri magufuli alisema "watakaoshindwa kulipa nauli ya kivuko wapige mbizi kueleke upande wa pili" . Alikosea! Maana ya kupiga mbizi ni kuzamia majini (kizungu'dive'). Neno sahihi ni kuogelea...
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Leo nimempata Ngeleja akisoma hotuba, aibu. embu soma zikiza hii.. the the the the..... Lawrence Masha (waziri mambo ya ndani) yuko juu sana kwenye kiingereza 5. Opening speaker Minister William...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Naomba tafsiri ya neno hili kwa kiswahili. "Ni beep kwenye simu"
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi imebidi niulize maana katika jukwaa letu hili kila mara naona neno masaburi linatumika sana lakini bahati mbaya nimekuwa nikilielewa kutokana na jinsi lilivyotumika. Leo katika mada moja...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
habari JF. Haya maneno aina hii naona ni kutusiana ... 1- siku za mbeleni=siku sijazo. 2-............... 3-............... Tuendelee!
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wana JF naombeni msaada...ni neno gani sahihi? a) I would like to congratulate you for this great achievement. b) I would like to congratulate you on this great achievement.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Wana jamvi,haya maneno yananitatiza! Je mnyama wa kulinda nyumba ni "mbwa" au "mmbwa"? yule mdudu anaeneza Malaria ni "mbu" au mmbu? Unapotoka ndani unaenda "nje"au "nnje"? Msaada tafadhali!
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Haya maneno yana maana sawa? Maana yananitatiza matumizi yake.
0 Reactions
11 Replies
13K Views
Published On: Mon, Jan 2nd, 2012 Tanzania | ETS representative, Kuda Nhiwatiwa Tanzanians wishing to work abroad will now easily sit for a world recognised English language proficiency test...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hamjambo wanaJF wote? Leo naomba wale wadau/wakereketwa wa lugha ya kiswahili mnisaidie hili. Kuna tangazo moja la biashara linanipa shida sana. Tangazo hilo linatolewa kwa kiingereza, halafu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau heri ya mwaka mpya. Naomba mwenye ufahamu wa neno UTENDETI anijuze. Natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Sungura akarukaruka, lakini hakufikia Akachoka na mkia, matunda kuyarukia. sungura akalilia ,sungura nakuambia. yakamtoka machozi,sungura akalilia, naona nafanya kazi,bila faida kujua...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari wakuu? Kuna watu wengi wanajifunza kifaransa ila wanakosa kwa ku-practice. Nawakaribisha kuchangia katika post hii kwa namna yote ile, nitawasaidia ku-advance na kurekebisha makosa madogo...
10 Reactions
180 Replies
18K Views
Kuna Boss wangu hapa Ofisini, Mjerumani, tangu asubuhi ananisumbua anataka kujua hilo neno kwa kiswahili ili amtumie rafikiye salam za sikukuu ya Christmas kwa kiswahili...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
*HAVE MY WORDS* Have my greatings my dear. Whatever you are we still together. Me from littoral am well better. My text is like invader. Please take it,is just a nugget. Am very happy but am...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Uarabuni na ughaibuni
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Back
Top Bottom