Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1. Cash book 2. Bank reconciliation statement 3. Scope of audit Mengine ntayauliza baadae
0 Reactions
2 Replies
8K Views
jaman monili.ne na mwana nanii nyumba yitu iyilli jirani na chiduli.nihikili na ligali la padili mapunda.lol
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Jamani nisaidieni hapa naonaga watu wakibishanaga kwamba haya maneno ni tofauti................mimi naona nikifa nitakua Maiti tu, full stop.................
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wadau hivi vitabu vya hadithi za asili ya China kuna sehemu vinapatikana hapa nchini? mojawapo kati ya vitabu kadhaa nilivyowahi kusoma ni ''Hekaya za kale za China II'' kilikuwa na mkusanyiko wa...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
hivi ni sahihi kusema ''mtu amepata ajali'' au ''mtu amepatwa na ajali'' ninatatizwa na hili!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Please i wish someone can help me understand some of this words, My girlfriend has been sending and receiving texts from a certain guy and some words they use i do not understand.these are the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Jamani naomba kujua maana ya "Kaa chonjo" maana sielewi kwa sababu linatumika sehemu ambapo sitegemei.
0 Reactions
4 Replies
14K Views
Halow ! My fellow Jf Membars. THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH . Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini. Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu waungwana, Naomba kuuliza je kipi kati ya sentensi zifuatazo ni fasaha 1)Safari ya mjomba imeahirishwa 2)Safari ya mjomba imeghairishwa 3)Safari ya mjomba imehairishwa
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wajumbe wa jf. Jana mbunge Tundu Lissu alilitumia bugeni,leo mchana mwanasheria kamkosowa kuwa hilo neno alipo. Nimeangalia kwenye dictionary hili neno linamaanisha kundi la watu linalo jadili...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
haya maneno yananichanga nimeyatoa jukwaa la mahaba hebu nijuzeni tafadhali, wana jf 4 real
0 Reactions
2 Replies
26K Views
Wakubwa naomba kujulishwa kiswahili cha tonsil stone!
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Hakuna salamu ya "shikamoo" kwa waswahili wa Nairobi, kiswahili chao kinachukua sana tafsiri ya moja kwa moja ya Kingereza kwa maneno mengi. Ni Mombasa pekee nimebahatika kupata salamu ya "shikamoo"
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Na Upi msemo mwema Kati ya hayo mawili; wakati wa kuomba msamaha, baada ya hotuba, au kikao.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mara nyingi nimekuwa nikiwasikia watu wengi wanapozungumzia kubadilishiwa gari wakiwa safarini wanatumia neno FAULISHA wakimaanisha kitendo cha kubadilishiwa gari walilokuwa wakisafiria awali...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Poem hii nimeipata kwenye Facebook page ya Isangula: https://www.facebook.com/isangulak/posts/10150575537726768?notif_t=like WELCOME TO TANZANIGHTE Welcome to Tanzanighte, that is not so far...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Jamani kama kuna mtu anajua asilimia ya watanzania wangapi wanaoongea kiingereza anisaidie kwa hili swala., nipo kwenye project ambayo hilo swala linahusika...! Plzzz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika tafsiri ambazo naona kila mmoja anaongea lake ni maana ya itern doctors baadhi wanasema madaktari waliokuwa kwenye mazoezi ya vitendo ingawa tafsiri ndio naona kama imefanywa rasmi ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Songea nikakutana na Nguluwe pamoja na aliekuwa kilanja wetu enzi zile sasa Mh Komba bin Ngonyani.. Mkuranga nikamkuta mwenyekiti wetu wa baraza la kufumua madudu Bibi Chawatu bint Shomvi Naelekea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon Bernard Membe (MP), on Thursday launched the first Kiswahili class at the Language Centre of the African Union where he...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom