Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Matumizi kumi ya kiambishi -ka-
0 Reactions
0 Replies
5K Views
kati ya mambo ambayo binafsi yananiuzi katika nchi hii ni haya ya kuyapa majina mazuri maovu.nitatoa mifano michache: WEZI=MAFISADI RUSHWA=TAKRIMA HAWARA=NYUMBA NDOGO/bwana wangu/boyfriend...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Olaa la laaa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Unakuta mtu anasema mfano:- Serikali kama serikali,,, Madactari kama madaktari? Waziri kama waziri? nk Mtu huyu huwa anakusudia kusema nini?
0 Reactions
6 Replies
12K Views
Kila nikikutana na maneno haya katika shughuli zangu natatizwa kupata kiswahili sahihi: Vision Mission Assumptions Objective Goal Activities Outcome Output Risks Naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada plz nipeni maneno yafuatayo in English. -Chenza -Filigisi -Makongoro -Kidumu Chama Cha Mapinduzi -Ungo wa kupepetea mchele. -Chapati -Mishikaki....
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Mbali ya lugha kuwa kitambulisho kkubwa cha utamaduni wa jamii yyte duniani,china japan nk. Wanahakksha kila wanachozalisha kinakuwa na lugha yao ingawa wanaweka na kngereza.Pia ss ni mashuhuda wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF. Naomba nidadavuliwe kuhusu hili. Hivi wale wanaosikika kwenye Muvi za Yesu Kristu ambao wametafsiri lugha na kutamka maneno yaliyotamkwa na Yesu kwa Kiswahili ni wa Tz au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ninataka kujua juu ya matumizi ya maneno haya WANGU,WAKE na ZAKE,ktk matumizi yafuatayo Mke,watoto, mme,changanyiko ni kama mke ni mmoja huwa ni mke WANGU lakini mtu akiwa na wake wawili huita...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nini hasa maana ya utamu? Kama ni ladha yenye sukari, mbona kuna wakati hata vya chumvi vitamu? Kama utamu huwa kwenye chakula, mbona kuna wakati hata visivyoliwa vitamu? Kama utamu ni faraghani...
2 Reactions
73 Replies
12K Views
Kuna baadhi ya watangazaji wanakera sana,hivi hata hili dogo linahitaji kushikiwa bakora?utakuta mtangazaji badala ya kusema wimbo anatamka 'nyimbo'! kwa mfano,"nyimbo hii aliitunga mwaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Consider this sentence In an Island called Iceland where I live there was a live event in the night when a knight fought a bandit. There are various words with same pronunciation but different...
0 Reactions
1 Replies
962 Views
naomba maana ya haya maneno,tabahari,bubwi,zikua na tobwe.Halafu napenda kujua yafuatayo,wema kwa lugha ya kishairi unaitwaje?,kitabu kilichopigwa chapa,Kibuyu cha kutengenezea siagi,pembe ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Niikuwa nasoma habari za michezo Kwa lugha ya kingereza mtandaoni. That was a proper old-school bonkers stamp, wasn't it? Fuller made no attempt to disguise his actions, exacting the full force...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nimeona bango limeandikwa mrs Catherine Ruhiza, ukiandika mrs ni sahihi kuandika Catherine au just mrs Ruhiza? halafu mtu anaweza kujitambulisha na kusema am mr Red Giant! unaweza kujiita mr au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nasikiliza clouds fm,yupo msanii anahojiwa.Ni Cindy muimba bongo flavour, kila baada ya neno moja au mawili anaongereza tena kibayaa! Anakera ile mbaya! Msiwe hivyo waswahili! Tena ni mmatumbi!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanajamvi Nina swali la kutaka kupata ufafanunuzi wa mipaka, tofauti na sifa kati Mother tangue( lugha ya mama) na 1st language ( lugha ya kwanza) Mfano mitatu tofauti ni mimi ni Mgogo:-...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamii,najua hili ni jukwaa la waungwana naomba kuelimishwa kuhusu hili,kati ya lugha ya kiarabu na kiswahili ni ipi imecopy maneno kutoka lugha nyingne maana nimegundua lugha hizi...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wajameni; kuna mtu anaweza kunipa link itakayonisaidia kupata Misemo ya kiswahili katika mtandao?
1 Reactions
20 Replies
49K Views
Natafsiri matini bt maneno hayo yanakwamisha kaz yng.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom