Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ninavyoelewa origin ya neno "hayati" ni kwenye lugha ya Kiarabu ambalo tafsiri yake kwa lugha ya Kiingereza ni "my life". Lakini kwa mujibu wa dictionary ya Kiingereza neno "hayati" linatumika...
0 Reactions
15 Replies
32K Views
Buriani Barubaru. 1. Anayeifanya njia, usipate angamizi. Anayekupa bamia, njaa inapokujia, Ndio wa kumwaminia, kwa asilimia mia, Buriani barubaru, Kwa herini JF. 2 Hewa bila kubabia,Wavuta na...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Nin maana ya haya maneno/methali/misemo hii: 1}"Usipomstahi Mke, Hutozaa na nduguyo,maana yake nin? 2} "Ndwele" maanayake nini,kama kwenye methali, yaliyopita si ndwele
0 Reactions
4 Replies
16K Views
Haya maneno yamekuwa yakitumika vibaya,mtu anasema mwanangu kumbe anamaanisha msichana...mwanagu (my son) ni shuruti awe mvulana, binti yangu (my daughter) nimsichana, na haiwezekani ukajumuisha...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Awali ya yote napenda kuwasalimuni ninyi nyote katika jukwaa hili. Lugha ya kiingereza ni ngumu kwa wengi wetu lakini bado serikali inasisitiza kwamba iendelee kutumika mashuleni na vyuoni kama...
0 Reactions
79 Replies
9K Views
Natafuta mwl wa kunifundisha ki-spaniola.
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Hivi wataalam wa kiswahili wapo wapi?ama vyombo husika vina lipi la kusema katika hili?maana toka kiswahili kimesanifishwa kwa mara ya kwanza na waingereza mwaka 1930 tumeona kuna ukosefu kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna hawa jamaa wa Kenya Wanao tafsiri hizi filamu za nje wanatukana matusi makubwa katika simulizi..hili limekaaje wadau?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kurugenzi ya mawasiliano Ikulu wanatakiwa kuwa makini na taarifa zao kwa umma. 1.Kuepuka makosa ya kisarufu na uandishi katika Kiswahili rejea aya ya tatu sentensi ya pili wameanza na...
13 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa mie ninavyo fahamu neno la kiswahili lazima lihishiwe na irabu mwishoni kama jami-i,lugh-a,jukwa-a,n.k. Lakini neno RAIS halina irabu. Je ni neno la kiswahili
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Nimeona nije niilete hapa... zamani niliwahi kuambiwa Condoms kwa kiswahili zinaitwa KIFUDUSI au VIFUDUSI..Kwa wingi... lakini sijasikia saana haya maneno yakivuma.... sasa naona ni wakati...
3 Reactions
47 Replies
10K Views
Nimekuwa nikisoma biblia na kukutana na neno Mungu likiandikwa ama kwa kuanza na herufi kubwa au herufi ndogo. Nimekuwa nikijiuliza kwa nini neno hili huandikwa hivyo. Yaani unaweza kukuta...
0 Reactions
15 Replies
14K Views
Tafsiri ya maneno haya kwa kiswahili (lgbti) lesbian gay bisexual transgender intersex transexual.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
eti ndugu zangu...nataka kumwambia rafiki...i miss you kwa kiswahili na apate maana itakayomuingia kama hii ya kizungu namwambiaje?
0 Reactions
21 Replies
10K Views
Huwa napata shida kulitumia neno KUMBE katika lugha ya kiingereza Mfano sentensi; Kumbe Tanzania ni nchi tajiri. sentensi hiyo itakaaje vizuri kwa kiingereza
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Baadhi ya wataalamu wa Lugha ya kiswahili wamejadili kuwa maneno mengi ya kiarabu kwenye kiswahili kama SHUKRUNI,AHSANTE,SHIKAMOO,NK nimaneno ya Kiarabu.Naomba kujua kama kiswahili ni Kiarabu au...
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Twafundishwa kwa kiingereza twajadili kwa kiswahili? hadi lini? (vyuoni)
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Zamani mtu akikuita JEMBE ni sifa nzuri mchapa kazi, hodari siku hizi limekuwa tusi eti kisa jembe lina tundu alafu mpini umeingia kwenye hilo tundu maana yake eti una cameroniwa (shoga) kwa hiyo...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Wadau huwa najiuliza kila siku bila kupata jawabu!Hv ilikuwaje Portugal ikaitwa Ureno kwa kiswahili jina ambalo haliendani hata kidogo na jinsi wao wenyewe wanavyoiita nchi yao? Nimekuwa...
1 Reactions
28 Replies
5K Views
wengi tunajua kuwa manaeno mengi ya kiswahili yametokana na lugha ya kiarabu kwa mfano neno BINADAMU limetokana na neno BIN-ADAM. ikiwa na maana ya mtoto wa adam wa kiume... sasa swali langu ni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom