Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Inakera na kuudhi na kusumbua sana unapokutana na lugha ya kwenye kuchat katika forums, Mifano ni kama hii ifuatayo: ebwanae siyo kifupi hivo bucha, enh! 2pe format mzuri je m2 anaanza na...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Tafadhali, nisaidieni kiswahili cha 1. net pay 2. gross pay.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
The BBC is carrying a story of a 21 year old lad who fluently can speak 11 languages. It's amazing, but yet possible. BBC News - How do you become fluent in 11 languages?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomba kuelimishwa kuhusu hayo majani waingereza wanayaitaje
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana mahaba wa JF nifumbulieni hilo fumbo. Nilikuwa nasikiliza mziki sasa hivi kuna nyimbo ina mahadhi ya pwani pwani, halafu kuna kipande hiki "barabara hii jamani, mbele maji nyuma maji". Ana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna gazeti moja hivi, wameandika kuwa mwakyembe atoa Wakala, sasa ni wakala au ni walaka?? nisaidieni hapo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nianze kwenda kwa nani? Leo nimepata simu, Huko kwangu ofisini, Zote tena taslimu, Zimefika mikononi, Na zote hizo muhimu, Nimezisoma yakini, Nianze kwenda kwa nani, washairi nambieni. 2. Simu...
7 Reactions
18 Replies
5K Views
Nawaamkua mabingwa. Natafiti tafsiri ya vifupisho (abbreviations) kutoka Kiingereza hadi Kiswahili. Naomba mchango wa kuendeleza orodha hii. Mr. - Bw. P.O.B. - S.L.P. AIDS...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman watumiaji wa kiswahili mmeliona hili?Ngoja niwaoneshe "kuna maneno kede wa kede ya kiswahili yamepoteza hadhi yake ya kawaida na kuvikwa hadhi ya matusi,mfano maneno...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari, Jamani huu msemo unaotumika sana kwenye vyombo vya habari kwa ajili ya kuwalinda watoto hivi upo sahihi?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wamama wafanya biashara sokoni ni kundi moja maalumu lenye tabia za kipekee sana. Wanapenda kutembea pamoja kwenye kundi moja; hasa wakienda na kutoka makazini kwao. Kama itawalazimu kupanda...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
1 Reactions
0 Replies
787 Views
Hivi neno 'naniliu' watu wanalitoa wapi hasa wakina dada
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hiki ni kiswahili kweli???
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Nimekuwa nikiwasikia baadhi ya watu wakiwatambulisha shemeji zao kwamba " huyu ni kaka yake na mke wangu" Kimsingi Kiswahili hicho siyo Sanifu kabisa na wanaokitumia ni bora wakaachana nacho maana...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Ebu vijana wa zamani na wa sasa tujikumbushe kuhusu UJANA. Soma shairi la Shaaban Robert alilotunga miaka ya 50 lakini hekima zake zadumu mpaka ukamilifu wa dahari. UJANA 1. Ujana...
4 Reactions
3 Replies
21K Views
Ngugu, Nikawa nchini Uganda kuhudhuria mafunzo ya muda mfupi (short course) Kuhusiana na Community Care in HIV/AIDS. Asubuhi moja nikagundua sijachana nywele kwa sababu sina kichano (comb), ngoma...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
tafadhali naomba mnisaidie kutafsiri sentensi hizi kwa kiswahili, 1.Though it should rain tomorrow, I’ll not go to see a doctor. 2.We’ll consider the question over and over...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF?,jamani mi leo nilikuwa nasikiliza redio fulani wanaelezea kuhusu mauaji ya kimbali...kiukweli maelezo yake yalikuwa tofauti na ninavyoelewa mimi,.mfano alisema-namnukuu: mauaji ya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom