Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Ninasema kwa yakini,Ya kweli ya mitaani Mejitokeza machoni,Sononeko li moyoni Hawa walio shakani,Lini tatoka tabuni Mjizigo tumboni,Mateso yao moyoni Starehe watupatia,Na wana watuzalia Na ngumi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anamereeme (Anameremeeta) mwanamwali Anamereta (Anameremeta) Anawaaka waka (Anawawaka) Kwashakoo anawakawaka (Anawakawaaka) Anataanga tanga (anatanga tanga) Machinga anatangatanga (anatanga...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
sehemu mbali mbali hapa Tanzania nimekuta tangazo ''TUNAUZA MAFUTA YA TAA''. Unapoandika unauza mafuta ya Taa inamaana Taa ndio imetoa ama kuzalisha mafuta yale. Ni kama vile unapokuta mahali...
0 Reactions
40 Replies
6K Views
hivi,upi ni usemi sahihi,kwa mfano ukikaribishwa kwenye nafasi fulani uongee,Kutumia maneno"Napenda kuchukua nafasi hii" au "Napenda kutumia nafasi hii"?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Passionate Shepherd to His Love by Christopher Marlowe Come live with me and be my love, And we will all the pleasures prove, That valleys, groves, hills and fields, Woods or steepy...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wasomi tumepewa kazi na prof tutofautishe kati ya tundu na tobo naomba mnisaidie jamani wasomi wenzangu
0 Reactions
15 Replies
2K Views
wapendwa wanajamvi, ninaombeni msaada wenu wa dhati katika kutofautisha hayo maneno
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Nina shemeji yangu wa kike, ambaye ni mdogo wa mke wangu.Siku nyingi nahangaika jinsi nitavyo mwita mkaka anayemwoa huyu shemeji yangu.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za saa hz wakubwa.. Imekuwa ni kawaida sasa kwa haya matangazo ya burudan kwenye redio au televisheni huwa wanataja mambo yao..ikifika sehemu ya gharama(kwa matangazo kadhaa siyo yote)...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa muda mrefu sana nimekuwa ninaamini kuwa bingwa ni yule anayeshinda wote katika vigezo vinavyotambulika, na ni lazima ubingwa wake uambatane na vigezo hivyo. Kwa mfano "Bingwa wa ndondi za...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
This is one of the poems that made me love and understand poetry... I hope you like it... The Lake By Alphonse de Lamartine Translated by A.Z. Foreman In 1816, at Aix-les Bains near Lake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
English is very funny language, unless you grew up with its eccentricities, can be a rather difficult and confusing language to learn. The rule is that... the rule doesn't always rule. We'll...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
ni nani kwa kiswahili?lol hii kazi inalipa hapo bongo? nataka kusomea degree in offender management,nirudi bongo nimechoka kukaa uk,niambieni inalipa?? kama hailipi nichukue degree gani inalipa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Maana ya lughaLugha ni mfumo wa sauti za nasibu zenye kubeba maana, zilizokubaliwa na jamii ya watu fulani ili zitumike katika mawasiliano. ni sauti za nasibu kwa sababu:- Zilizuka tu bila...
0 Reactions
1 Replies
17K Views
Nawaombeni munifahamishe kuhusu jando na unyago mimi sielewi inakuwaje? nawaombeni jamani munipe jibu Zuri Mubarikie wote.
0 Reactions
14 Replies
10K Views
Hili neno kuzini nje ya ndoa linanipa shida kulielewa, hivi kuna kuzini ndani ya ndoa? naomba tafsiri ya neno hili kuzini!
0 Reactions
6 Replies
8K Views
hi! Jf members, please help me this question, english literature is an outdated material in the contemporary society. Discuss.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huu umekuwa ni msamiati mpya kwangu na unatumika sana hapa JF hivi hili neno hasa lina maana gani? "MASABURI"
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Salamu za rambirambi kutoka kwa Mama Olive Kabila kuhusiana na "msiba wa gari la ndege ya shirika la kampani Ewabora". Ni salamu za rambirambi na masikitiko ya ajali lakini Kiswahili anachoongea...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimekutana nayo kwenye kamusi ya BAVIZA nikaona si vibaya tuambizane: 1. Chegari: Sehemu inayotumika kunyoa nywele wanaume (barber shop) 2.Tabaharia:Kubobea katika uelewa au utaalam wa jambo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…