Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu wana JF natatizwa sana na maneno mawili; 'BARABARA' na 'NJIA'. Naomba wataalam wa lugha ya Kiswahili wanifahamishe kama maneno hayo mawili yana maana sawa ama yanamaanisha vitu viwili tofauti.
0 Reactions
6 Replies
21K Views
baada ya mwezi mmoja nitaweka hadithi zangu nilizotunga nikiwa kidato cha tanona sita shule ya Sekondar Kifaru wilayani Mwanga KLM nimaomba ushirikano
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wataalamu wa lugha ya kiswahili naomba kufahamu, hivi ile inayotoka kwenye chungwa au kitunguu na kusababisha mtu kupalia na kupika chafya inaitwaje, wengine wanasema eti ni moshi wa chungwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana JF, npo kwenye gari kuna ubishan mkali. Kuna tofauti gan kati ya maneno haya. 1. Umeolewa 2.Umeowa 3.Tumeowana No 3 ndio linaleta mkanganyiko sana. Ungewasaidiaje hawa watu?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu wanajamvi nimesikia kwa muda mrefu kuwa lugha ya taifa hili la Tanzania ni kiswahili, cha kushangaza ni kwamba kwenye shughuli nying za kitaifa tunatumia kiingereza kama lugha kuu...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
umoja wingi Umma nyuma Mfano.Mama muuza tunaomba sahani mbili za chips kavu na tuletee na NYUMA mbili.
0 Reactions
8 Replies
16K Views
Nimekuwa nikijiuliza sana hili swali Inasemekana sisi Tanzania ndio waongeaji wakubwa wa lugha ya kiswahili duniani, hivyo ni kama hii lugha adhimu sisi ndio wamilki Je, kuna hatimiliki katika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za jioni Wana JF Kwa wale ambao hamfahamu mwanakijiji zaidi ya kuandika mambo mengi ya kisiasa na kiuchumu ni mtunzi mzuri wa hadithi,mashairi..yanayo wenza kuwekwa kwenye Jukwaa la...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
"Uhai wangu uligana na umbo langu na uhai wangu wenyewe utegemea umbo la mtu mwingine "
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Napata mkanganyiko kila m2 anaita juice kiswahili chake nini?
0 Reactions
59 Replies
24K Views
Naomba kiswahili sanifu cha maneno haya Fresh Hot Delicious Angalizo: Tumia neno moja tu kutoa maana (usitumie neno zaidi ya moja), usitoe maelezo
0 Reactions
9 Replies
2K Views
In the darkness of the night I feel something is not right. There's a silence I apprehend, Something I can't touch with Hand . there is a part of me feeling cold, And my heart is all...
6 Reactions
12 Replies
1K Views
Naomba maana zake wakuu. Kikwete anapendaga sana kuyatumia hasa anapohutubiaga hotuba zake za miisho ya miezi.
0 Reactions
5 Replies
14K Views
Hatueleweki ni lugha ipi tunayoongea. Kwenye sentensi moja kuna lugha mbili, Kiswahili na Kiingereza. Tuamue moja, ukichangia changia kwa lugha moja eidha Kiingereza ama Kiswahili.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wanafunzi wa kitanzania wanakabiliana na kikwazo kikubwa cha lugha katika mafunzo yao. Chukulia kwenye mtihani,mwanafunzi kaulizwa swali kwa english itambidi alitafsiri kwa kiswahili halafu kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Inabidi tusaidiane wana JF kuhusu hili tatizo la matamshi na uandishi wa baadhi ya maneno ya kiswahili ili tuepuke kuharibu lugha hii,kwa mfano; ...kura chakula,badala ya kula chakula. ...abari...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Hamjambo wakuu? sentensi hizi zinasomeka ukianzia kusoma kushoto kwenda kulia, au ukianzia kulia kwenda kushoto. Je unaweza kutunga sentensi kama hizi kwa kiswahili? Don't nod Dogma: I am God...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Minajili". wengi usema kwa minajili (MAKOSA)X "Min" KWa kiarabu ni "Kwa" hivo basi unavosema 'kwa minajili' ni kama unasema 'kwa kwajili". Sema mfano: Nitakuja minajili hiyo. Nasio kama msemavo...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Ninatafuta wadau wa lugha hizo hapo juu ili kufanya mazoezi ya lugha hizi maana hapa bongo ni nadra sana kukutana na waongeaji wa lugha hizi ingawa wapo. Tafadhali kupitia jamii forum tuungane...
0 Reactions
86 Replies
10K Views
haya maneno mawili nimekuwa nikiyasikia sana lakini sielewi maana yake msaada tafadhali.
0 Reactions
21 Replies
36K Views
Back
Top Bottom