Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Naomba tafsiri ya maneno haya: subcontractor subgurantee federal acquisition disclaimer The Code of Ethics and Conduct Code of business ethics and conduct
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania ina umwa, inaumwa homa kali Taabani yaangamia, watu hawatafakali Wenye nacho wanavuma, wakifaidi mali Tanzania ina umwa jahazi lenda mrama Ina madonda ya utumwa, ufisadi na majangili Na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
(Haki zote zimehifadhiwa, hairuhusiwi kuiga kunakili au kutumia sehemu ya simulizi hii kwa namna yoyote ile bila ya Ruhususa ya Mwandishi) Nawatakia usomaji mwema. SURA YA KWANZA USIKU Saa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nikiwa naangalia TBC mchana leo, kuna kipindi kilichokua kikieleze asili ya vazi la khanga kuitwa "khanga" akihojiwa bi-mkubwa mmo1 aliekua akiongea kwa pronouce ya kizenji alisema asili ya Khanga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
My teacher of Kiswahili used to say kuna lugha ya mitaani na lugha sanifu. It is also true that our choice of words can completely alter the intended meaning and outcome in communication. Lets...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kumekua na maoni tofati ya watu nilio wahi kuwauuliza swali hili, sasa nataka na nyinyi wadau mnipe tofati ya kuona na kuangalia.
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Dear all i have my kids who are eager to learn french they are less than 8 year old. They somehow learn at their school. Unfortunately i know nothing about FRENCH. i am just wondering if anyway...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wale wataalamu wa lugha nisaidieni hizo tofauti ya hayo maneno, yananichanganya wajameni!!!!
0 Reactions
5 Replies
9K Views
HISIA ZITAPITA... Watuita chakaramu,ardhi yetu asili Watuvika uharamu,wageni wanowasili Matendo yao haramu,wamejawa ukatili Hisia hisia pita,haki itafuatia Wageuzwa mahadimu,habithi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
diplomasi maana yake nini
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nataka kusema: making a positive impact au impacting positively. NAsemaje kwa kiswahili? Natanguliza asante
1 Reactions
8 Replies
8K Views
Eti Kiswahili kinajitosheleza...nyoooo!! Hakijitoshelezi hata kidogo Jana nilikuwa na mjumbe mmoja mkongwe wa TATAKI(Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili).Bila aibu akashindwa kunipa tofauti ya maneno...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kufa kisabuni, kufa kiume Kujikaza kiume
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Kama mimi na wewe (msomaji) tunashea mama mzazi basi tunaweza sema ni ndugu wa "tumbo moja". Ikiwa tunashea baba je?
0 Reactions
2 Replies
931 Views
wadau kama kuna mtu anaweza kunipa tofauti halisi ya hawa watu watu wawili...kichaa na mwehu.
0 Reactions
15 Replies
20K Views
http://youtu.be/ZJArzOTZ8LU lyrics I have this image in my head that one day when I step off this airplane I'll be on this land where the air is sweeter than any fruit I have tasted and...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Amelala au analala, naomba majibu yawe na maelezo
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"Nyimbo hii itachangia kuharibu kiswahili" naomba mniambie kama ni sahihi kutumia "Nyimbo" katika umoja maana The boss ametumia nyimbo katika uwingi wakati wa kuuelezea wimbo wa hakunaga wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANASUBIRI HUKUMU. Nilikuwa nimetulia sebuleni nikiangalia TV. Nilikuwa mpweke kiasi kwani wanangu na wajukuu zangu wote walikuwa Ulaya wakiendelea na masomo. Mjomba'ngu mzee Kajisi yeye...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
A Diamante is a seven-lined contrast poem set up in a diamond shape. The first line begins with a noun/subject, and second line contains two adjectives that describe the beginning noun. The third...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…