Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Jamani leo naomba tushirikane katika hili, kwenye lugha ya kiingereza kuna sentensi 'at the end of the day' na pia kwenye kiswahili kuna sentensi 'mwisho wa siku'. Naomba kujua hii sentensi ni...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
AHIRISHA au HAIRISHA?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
1. Kauli zao asali, bado kushika utamu, Kama kifaru wakali, wakishashika hatamu Taanguka chini chali, wakati wao karamu, Nimechoka na vya ofisini na ruzuku, nasubiri vya porini 2.Tamaa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niibe Niko radhi kuibiwa, madhali mwizi ni wewe Kwenye khatari kutiwa, Ni wewe pweke ni wewe Niibe nipate tuwa, Nakuruhusu mwenyewe Nimekubali mwenyewe, niibe ‘sinidhulumu Kinipunguwe kiwewe...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
USHUZI ULOUJAMBA Ushuzi ulotandika, ndugu sikunjiye puwa Ukajifanya kumaka, samahani ukapawa Mja ukahuzunika, mithili ya alofiwa Ushuzi uloujamba, puwa waikunjiyani? Waikunjiyani puwa, na kumbe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jamvi hasa mlio wazawa! naombeni mnisaidie kinyume cha neno hili la kiswahili "UPANA".
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi kuna tofauti gani kati ya Majini, Mashetani, Mapepo na Mahayawani? Naomba msaada wenu ndugu wataalam. Maana kanisani utasikia wakikemea pepo toka, Masheikh utawasikia wanafukuza majini. Yaani...
0 Reactions
5 Replies
19K Views
Habari zenu tha great thinkers! Jaman nimesoma mpaka six na sasa nipo chuoni lakini sijajua kutafsiri usemi huu kwa kiingereza "baba mimi ni mtoto wa ngapi kuzaliwa?" naombeni nisaidiwe...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kuuliza maana halisi ya neno 'pole' Unamkuta mgonjwa, unamuambia pole Mu katoka kazini unamwambia pole Katoka safarini unamwambia pole na safari Ukitaka kumuelezea mtu maana ya...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Too Late You're dying, And you don't even know it, never saw it coming But you were so young, so much life, so much loving So much hope, so much sorrow, I guess so much for tomorrow, Your...
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Wana JF nawasalimu sana katika Jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Baada ya salamu hizo leo nimekuja na kamada kadogo kabisa katika hili jukwaa la lugha. Watu wengi wamekuwa na...
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Napata shida kutambua usahihi wa sentensi hizi. 1.Baba wa malkia ni John 2. Baba ya malkia ni john. ipi ni sahihi kati ya hizo?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba nieleweshwe kama KUNOMINISHA na KUUNDA KITENZI JINA ni kitu kimoja au kuna tofauti na kama kuna tofauti ni ipi? Mfano: neno "CHEZA" kati ya "KUCHEZA" na "MCHEZO" ipi ni sahihi katika...
0 Reactions
1 Replies
12K Views
shangingi nnavyojua ni mwanamke-flamboyant, mmbeya na msengenyaji!(sina uhakika kama ni kiswahili fasaha), ikaja kwamba aina fulani ya magari yakaitwa mashangingi, sasa imekuwa kama ni neno...
0 Reactions
6 Replies
16K Views
Picha hii na maelezo yake nimevitoa kwenye Blogu ya Michuzi Jambo ninaloongelea hapo ni jinsi gani uandishi wetu katika kiingereza ulivyokwenda mrama kwa sababu ya kutaka kumjenga rais wetu. Ni...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndio na ndiyo
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadau naomba mnipe tofauti kati ya 10,001 na 11,000 katika kuitamka kiswahili bila kuleta utata.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Chombo kii baharini, mawimbi yasukasuka Waloshika usukani, manahodha moja hulka Walikitoa ufukweni, baharini 'kiingika Abiria mehamaki, chombo chaenda mrama! Ilipoanza safari, kutapika walihisi...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba nipatiwe neno sahihi kati ya serekali na serikali pia naomba kujua tofauti kati ya kifo na mauti.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jamani extreme sports kwa Kiswahili ni nini? Fikiria michezo kama vile surfing, mountain climbing, bungy jumping, sky diving, na kadhalika!
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…