Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
NDUGU ZANGUNI, Picha mnato ndio zipi? Kiswahili kigumu!
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Taarab tangu kale imekua ikibadilika.kutoka taarab asilia hadi taarab"baada usasa leo".mabadiliko hayo ni pamoja na kumchora mwanamke akigombea wanaume,malaya,akijisifu kumpoka mwenzie...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakuu nisaidieni hii: Walimu wa kiume kwa kiingereza ninaandikaje wakuu?? is it male techers? or the male teachers? or .......... plse help me!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wengi wetu especially wakazi wa Dar ninahakika mnalifahamu jengo jipya la Wizara ya Maliasili na Utalii lililopo kandokando ya barabara ya Nyerere karibu na traffic lights za Chan'gombe. Kiukweli...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JM,naomba nifahamishwe nini maana ya mwana harakaki,na ni sifa zipi unatakiwa uwe nazo ili uwe mwana harakati na utambulike?
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Leo nimekwenda Zanaki Sec School, upande ule wa madarasa enye 'Kombi' ya KLF. kule kuna duka la vifaa vya maofisini. Kilichonishangaza ni tangazo llinalosomeka hivi, 'TANGAZO; RIMS ZA PHOTOCOPY...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari wana JF, Hivi translators wa english-swahili kwa hapa tanzania wanapatikana wapi wandugu? I mean kama kuna chama au organisation yeyote kuhusu mambo hayo. Binafsi nafanya kazi hiyo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Clouds Fm mnatuharibia Kiswahili chetu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kuna hii sentensi, sasa sina uhakika kama ina leta mantiki au la. ila ninependa kuwashirikisha nanyi wenzangu."Baba/mama mimi ni mwanao wa ngapi?" sasa kwa kiingereza sijui ita tamkwaje au...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Naomba mnijuvye kamusi zilizo bora za Kiswahili - English na English - Kiswahili.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Napata uvulivuli juu ya dhana hizi"chachu" na "ngwadu",tofauti yake ni ipi?na je ni sahihi kusema kuwa chachu ni ngwadu ila si kila ngwadu ni chachu?mfano,maziwa yanapochachuka huwa ngwadu lakini...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Kwenye sarufi kuna kitu kinaitwa VIYEYUSHO,hiv ni vitu gani na aina zake ni zipi?
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Kiswahili kinabanangwa na kuvizwa hasa na wasomi ambao huchanganyanya lugha ya kiswahili na kingereza makusudi wakijinaki kuwa wao ni wasomi,jamani eleweni kuwa kujua kingereza haimaanishi kuwa...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Neno kuoana lipo katika kauli ya kutendana,hivyo tunenapo kuwa"wameoana jana"si sahihi kwani mke haoi bali anaolewa,na mume ndo anaoa.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
igp ni kiongozi wa polisi,ni mtu muhimu sana katika idara ya usalama, kila anapotoa hotuba lazima ingilishi sana,mweshimiwa wananchi wengi wanaokutegema hawajui ingilishi,hivi ni lazima...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna mtu ana soft copy ya kamusi ya kiswahili kwa kiswahili? nilinunua Hard copy ila kwa sasa natafuta soft copy ile nisiwe na mizigo mingi ya kubeba (vitabu) pindi ninaposafiri
1 Reactions
0 Replies
7K Views
Kama asalam alleykhum ni sawa na amani iwe nawe, kwanini tusilitumie neno la kiswahili tunaposalimiana na badala yake tunatumia la kiarabu?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Topic deleted!
0 Reactions
6 Replies
8K Views
sipendi kuona watu wanasema usariti!!!badala ya usaliti----wanasema rema badala ya lema-----wanasema haroo badala ya haloo-----wanasemo hiko badala ya hicho------wanasema kukuhalibia badala ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Jaman hv hii lugha hapa tanzania tumelazimishwa kuitumia au? mbona tuna kibananga?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…