Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
wengine wanasema ni zile za majani tu yaani vegetables ndizo zinazopaswa kuitwa MBOGA, wengine wanasema makundi yote ya vitoweo kama nyama, mbegu, mizizi, wadudu (kama kule buhaya), matunda...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
tunakawaida kuwaita wakuu wetu wa kazi maofisini boss aidha katika kumwita au kusalimiana nae, je tutumie neno gani fasaha la kiswahili badala ya neno boss?
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Malenga wetu Hodi hapa ukumbini, jamani naoma mnijuzze maana ya maneno Credit, debit na commulative ballance kwa kiswahili, natafsiri cash book, doooooo salale!!!! msaada tafadhali asanteni sana
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Nini maana ya masamiati huu "kudadeki"?
0 Reactions
11 Replies
10K Views
Jogoo lina mafamba, linatamba kiamboni, Kwa kiburi lajigamba, hadi kiambojirani, Hili jogoo la shamba, sasa lawika mjini, Kitendawili na tega, mteguzi ategue. Mbawa linavyozipiga, wengine...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Imenishangaza kutumika kwa Tanzania maneno kama kuandikwa na kufutwa kazi pia hali ya sintofahamu. Sasa najiuliza yale maneno yetu ya kuajiriwa au kupata kazi na kufukuzwa kazi ni yepi hasa ndio...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
jamani specification kwa kiswahili ni nini?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Hayo maneno nimekuwa nikikutana nayo kila siku ningependa kujua maana yake. Tusaidiane hii lugha yetu wote.
0 Reactions
13 Replies
24K Views
I will appreciate anyone who will help me putting the following words or statements in Swahili: Motto, Mission statement, and vision statement.
0 Reactions
10 Replies
29K Views
HAYA NI MANENO MOJAWAPO KATIKA WIMBO WA MRISHO MPOTO !MENGINE ANASEMA....... BABA KAJA NA SWALI ...MAMA KANIPA JIBU ILI NIULIZE SWALI! WIMBO HUU UNA MAFUMBO MAGUMU HEBU JF GTs' nichambulieni wimbo...
0 Reactions
3 Replies
41K Views
There is a misconception that Swahili borrowed some of the terms or words from other foreign language.the truth is those foreign languages actually borrowed from us. One thing for sure, 100%...
0 Reactions
39 Replies
6K Views
Mimi napata shida na neno Chuo Kikuu, Sijui kama ndiyo tafasiri sahihi ya neno University, neno University limetokana na Univesal likibeba maana ya kitu kinachotambulika ulimwenguni kote. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kondooo mkiaaa, si kichwa, rangi wala ukubwa, then nywele, ndio unaweza kuthaminisha kondoo, mkia hutingishika kila upande, huwaacha kondoo dume wakihangaika ucku na mchana, na mkia uliojazia...
1 Reactions
18 Replies
12K Views
habari zenu wadau,,, jamani mimi ni fun mkubwa sana wa nyimbo za huyu jamaa,, ila kwa lugha kali ya picha ambayo huwa anaitumia, huwa inakua simuelewi vizuri, hasa hasa wimbo wake unaoitwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Most Tanzanians pronounce 'adhere' wrongly. They pronounce it in swahili sense as they do in words like'dhahabu','fedha'. It brings difficulty when talking to someone who doesn't have swahili...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
najaribu kujiuliza hivi shubaka ni nini kwa English nadhani inaweza inaweza ikawa ni katika jamii ya samani lakini siijui ni nini
0 Reactions
3 Replies
14K Views
Jamani tuelimishane neno au jina lolote la kingereza kwa kiswahili. Naanza na haya Calculator - Kikokotoleo Tv - Luninga Photocopy - Kinakilishi Laptop - compyuta mpakato Keyboard - Kichapio ...
0 Reactions
10 Replies
14K Views
Inapendeza sana Kiswahili chetu siku moja kitakuwa lugha kubwa sana duniani. Bofya hapo ujionee mwenyewe. YouTube - cha kutumaini shina-madison square garden
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau habari, mimi napenda kujifunza lugha ya kihindu ila uwezo wa kulipia kozi yao sina kwa sasa, ningefurahi kama ningepata kamusi ya kihindi/kingereza au hata kwa kiswahili kama ipo. Iwe ni...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom