Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wavua Magamba mpo?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nitawaletea baadae imegoma kuattach...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wakuu naomba kuulza tofaut ya maneno hayo mawili maana yananichenginyi sana. Je,ni sahihi kusema "nimemtuma mtoto aniletee soda" au " nimemuagiza mtoto aniletee soda" ? Shukran za dhat wakuu...!!!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nipo moshi na ninafanya kazi kwenye kampuni binafsi.Sasa natafuta watu watakaopenda kujifunza Kuzungumza,kuandika na kusoma lugha ya kiitaliano au kihispania.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimekutana na hili neno kufiliwa katika gazeti moja la Kiswahili. Sasa nini neno sahihi, mtu kafiwa au mtu kafiliwa?
0 Reactions
6 Replies
11K Views
1. Dola moja ya Marekani inauzwa kwa thamani ya Shillingi 1500 za Tanzania. 2. Dola moja ya Marekani inauzwa kwa thamani ya Shillingi 1500 ya Tanzania. Naombeni msaada wanajamvi kipi ni kiswahili...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
karibia redio zote zinazo tangaza kwa lugha ya kiswahili zipo kenya,hii inamaanisha nini juu ya hii lugha yetu ya kiswahili? sasa hata wachina wanaredio yao ya kiswahili ipo kenya,je lugha hii ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
MWISHONI mwa wiki Waziri wa Elimu wa Zanzibar Ramadhan Abdullah Shaaban alikuwa mgeni rasmi katika shughuli ambayo imepewa jina la Siku ya Kiswahili ambayo kwa hakika ilifana sana. Hii...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wadau naomba mwenye kufahamu centre nzuri ya cpa review ambayo iko mwanza anitajie hapa jamii forum naomba anitajie na location yake thanks naomba
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninaisikia huu mkorogo mara nyingi sana (almost mara moja kila wiki) kupitia vyombo vote vya habari kasoro magazeti. Mfano; Timu A imegawana pointi na timu B baada ya kutoka suruhu ya bao 2 kwa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wan JF naomba wataalam wa lugha wanisaidie kama ni kutoa tuzo au tunzo kwa mtu anapopongezwa kwa kufanya vizuri. Pia je daktari alinatibu au anatibia ugonjwa. Ninaogopa hata kuendelea na sentensi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
"Kimbakwiri" ni neno la Kiswahili lenye maana ya mtu anayetumia nafasi,cheo au elimu yake kupata mali kwa njia isiyo halali.Mfano wewe ni mwanasheria wa serekali unasaini mkataba kwa niaba ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nisaidieni maana kuna mgeni mmoja kanipiga swali nikakwama. Tofauti ya "huzunika" na "sikitika"
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi tunaposema kwa mfano: Nimekula WALI KWA KUKU au WALI NA KUKU, huwa tupo sahihi??? Wataalamu wa lugha tafadhali...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Malenga nawasalimu, Kwa jina lake Rabuka Nimeona nijihimu, japokua kushakucha Kwa hili jambo adimu,linalotusuka suka Kikombe, kikombe gani, Malenga nielezeni Kikombe, kikombe gani, atoacho...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Huwa najiuliza mara nyingi kuwa ki au vi hutumika kwa vitu kama sikosei maana mimi si mtaalamu wa lugha, lakini linakuja swali langu kwanini walemavu wanatumiwa na maneno kama wao ni vitu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Baraza la kiswahili lilitumi vigezo vipi kuita majina yafuatayo kama ifuatavyo: mnyama mbwa badala ya kuita m'mbwa. Mbu badala ya kuita m'mbu. Nge badala ya kuita n'nge. Vilevile hata neno nje...
0 Reactions
22 Replies
8K Views
mara nyingi kwenye vipindi vya redio au tv mwishoni mtangazaji anamaliza kwa kusema 'tukutane tena kwa kipindi kingine siku na muda kama huu''. je, hii ni sahihi kweli maana muda huo ndio kipindi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mi ni mmoja wa watu ambao unaweza kuwaita big fans wa mwanakiji kwa upande wa mashairi,tatizo ni kwamba sijui ni wapi naweza kupata collection nzima ya mashairi ya mwanakijiji,kitabu hivi au blog...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuwa napata shida sana kuzielewa taarifa au michango toka katika magazeti mbalimbali hapa Tanzania na hata pia humu ndani ya JF. Baadhi ya makala ili uzielewe inatakiwa ujitahidi mwenyewe...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom