Nadhani kwa sasa haya maneno yamekuwa gonjwa la kitaifa. Ninachefuka sana pale mtangazaji wa redio/tv mwenye digrii ya mass communication anaposema Nyimbo hii imeimbwa na...
Ninavyofahamu Nyimbo...
Katika kuwasikiliza wasemaji na wazungumzaji wa lugha na vilugha nashindwa kubaini ni lugha ipi siye Watanzaniya tunaimudu vema? Si wanataaluma, watu wa kawaida, na hata wanazuoni huchanganya...
Nijuze wenye miito, ukweli nami nijuwe,
Nahaha kama mtoto, ninaranda kama mwewe,
Kichwa kinawaka moto, nimejawa na kiwewe,
Nijuze kwani nguruwe, anaitwa kiti moto?
Ewe malenga Mpoto, kihabarishe...
Mimi nina kipaji kizuri cha kuandika kazi za fasihii nimesomea kazi za ubunifu university of dar es salaama lakini sijui nifanyeje ili nikiendeleze kipaji changu kwani...
Natanguliza salamu zangu mbele kama tai,ni hivi wakati tuko shule ya msingi mwalimu wa kiingereza aliwahi kutufundisha kwamba neno lolote ktk lugha ya kiingereza linaloanzia na herufi A E I O...
maisha ya mwanadamu, kweli ni kama maua
lachanua tena li hamu, kesho lanyaukia
lapendeza tena li tamu, jua kuchwa mepotea
kwaheri baba mkubwa, umetutoka mapema!
nashindwa kuvumilia, kulia japo...
kusinzia ugenini !
1. Jamani nambieni,ukweli nipate jua
Ee malenga toboeni, hata kwa kusoma dua
Hapa bara hata pwani, dhana hii pembua
Kusinzia ugenini, maana yake ni nini ?
2...
MCHEZAJI filamu za Bongo, Mohamed Miwkongi maarufu kwa jina la Frank, amesema kuwa lugha ya kiingereza ni kikwazo kikubwa na huwapiga chenga wasanii wengi wa filamu za Bongo.
Frank alisema kuwa...
maisha ya kizazi cha sasa yapo hatarini kupoteza lugha tunazo zitumia. Ukiangalia kwa makini vijana wa sasa hawafahamu kuongea kwa ufasaha kiswahili, kiingereza, na hata lugha zetu za asili...
wanaJF ninaomba 2saidiane unajua ninashndwa kuelewa wap 2napoelekea mana kila kukicha ninaona kiswahili ama lugha sijui niseme inakuwa ama kuharibika mana kila siku maneno mapya tena yenye...
Je Wajua maana ya neno SHAROBARO?Maana yake ni ****** ya nyani;hiyo ni kwa mujibu wa kamusi(Dictionary) ya lugha ya Kiswahili.Huwezi amini,lakini ndiyo ukweli wenyewe huo.
Wakuu nadhani huyu mtangazaji wa TBC1, Emanuel Amas huwa anakosea pale anaposema "Nikiiripotia TBC1,,mimi ni Emanuel Amasi", iwapo yeye ni mwajiriwa na si kanjanja tu wa kukodi.
Kama huwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.