Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Natatizwa saana na tofauti ya maneno haya BURUDANI NA MICHEZO na jee michezo si burudani??
0 Reactions
2 Replies
2K Views
And there was Kenyan Swahili, there are some words which will always confuse me and maybe funny while at it:-  Nasikitika- Nasitikika  Kukanganyana- Kukanyangana  Mimba-...
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu? Leo nimekuja na hili ninashida ya kutofautisha maneno haya BAINISHA na AINISHA. Mfano: Bainisha na ainisha maneno yafuatayo 1. Anakikimbia 2.Anakula Naombeni msaada wenu jamani.
0 Reactions
8 Replies
47K Views
Nakuja kijana wenu,nipokeeni jamani
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi unapomuita mtu aliye ndani unamwambia toka nje au toka ndani?
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Siku hizi nasikia hili neno masharobaro ...hivi maana yake nini
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Maana ya innovation
0 Reactions
4 Replies
4K Views
  • Closed
And Arabic is the language of Islamic doctrines. And am not a muslim, neither i will be. i will chose death between death, living and being islamised. what do you think ma pipo?
0 Reactions
43 Replies
7K Views
Nimekuwa nikisikia msemo hili mara nyingi lately. What does it mean?
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Napendekeza masomo yote yanayofundishwa katika mashule na vyuo vyote Tanzania yafundishwe kwa lugha ya taifa ili kuongeza idadi ya wanaofaulu na uelewa juu ya wanachojifunza. Kusoma kwa kiswahili...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa muda mrefu tangu nakua nimekuwa niksikia watu wengi wanapozungumza kiswahili hupenda kuweka neno "ga" mwisho wa neno..mfano Alikwenda wao husema "Alikwendaga" sasa hapo nimekuwa nikijiuliza...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Northern Highland High School : Mwombaji awe na Principle Moja na Subsajari Moja! = = Hilo ni tangazo la Shule kwa wahitimu wa kidato cha nne kujiunga na hiyo shule... Mtangazaji anavyotamka...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Jamaa zangu watanga wakifika Dar wanasema kiswahili cha Dar kinatia aibu. Uzuri wanasema uzuli Msafiri wanasema msafili Roho wanasema loho Safari wanasema safali Hivi skuli za Dar alphabet zao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Lipia Umeme Kadri Unavyotumia kwa mantiki hapa kitendo cha kulipia kinafuata baada ya matumizi, yaani unaanza kutumia halafu unalipia kadri ulivyotumia(post paid) lakini hii si kweli kabisa kwani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WanaJFnaomba mnitoe katika utata wa maneno haya mawili.kwenye tukio la mlipuko wa mabomu pale Gongo la mboto baadhi ya vyombo vya habari hutumia maneno haya: A: WAHANGA wa mabomu B: WAATHIRIKA...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisia redioni hasa matangazo ya vifo yanayosomwa na redio One ambapo wanatumia neno "mama wake" wakiwa na maana "mama yake fulani". Je hayo ni matumizi mazuri ya kiswahili? Zamani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
TRAINING PROPOSAL Contents Introductions Courses offered Durations Budgeting &Pricing 1. INTRODUCTION Home Radio Center is the professional developing...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba ufafanuzi, kipi kiswahili sahihi, kumaanisha ile token tunayopewa na wawekezaji wetu hasa kwenye madini: Mrahaba au mrabaha?
0 Reactions
5 Replies
9K Views
nimeshasikia baadhi ya watangazaji wa redio wanapozungumzia tukio mfano ''pambano hilo litachukua nafasi kwenye uwanja mpya wa taifa'' hapo wakiwa na maana kuwa litafanyika.je huku ''kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamii wa lugha,hivi nini maana ya maneno haya na jinsi ya ku2mia ktk english.1.Person 2.Persons 3.People 4.Peoples,nitawashukuru
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom