Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
WanaJF ninaomba mnisaidie mana 2libishana sana na pia huwa nimeshasikia weng wakisema au ku2mia maneno haya kat ya MTU na BINADAMU lakn wanavyoyatumia inakuwa kama kunautofaut ninaomben msaada...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
kama hili hulioni, macho yako yana kutu meliona mie jini, langamiza wetu watu zaidi ya subiani, kiziwi kupewa tutu jini hili jini gani, chano chake damu zetu?
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Jambo kubwa lililojiri Tanzania katika siku za hivi karibuni, ukiachia mauaji ya kusikitisha yaliyotokea mjini Arusha, ni Uamuzi wa Waziri Ngeleja kutangaza kuwa 'serikali' imeamua kuilipa Dowans...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalam wa lugha wanijuze tofauti ya Onesha na Onyesha hasa wakizingatia chanzo cha maneneo hayo na matumizi yake katika jamii
0 Reactions
4 Replies
10K Views
Naomba kujuwa maana ya neno 'imani' na neno hili linatumika katika hali zipi?
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Nini maana ya fumbo, 'Hisia yangu ni kama ya mwanadamu mwanadamu, husonga wakati wa shida na wakati wa raha'
0 Reactions
0 Replies
3K Views
RUWAZA maana yake nini?
0 Reactions
2 Replies
26K Views
Nikikosea kuzungumza lugha ya Kiingereza sisikitiki wala kuona aibu. Lakini nikikosea kuzungumza kiswahili au lugha ya kabila langu kwa kuzaliwa natamani ardhi ipasuke na kunimeza kwa ajiri ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
  • Closed
jamani sisi wengine tumezaliwa enzi za mkapa hatukuwahi kupata bahati ya kusikia hotuba za kiiingereza za mwinyi wala nyerere,ningependa kujua kati ya hao wanne nani ni mkali wa kucheza na lugha...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Je ndugu zangu naomba kama kuna mtu anajua muarobaini unaitwaje
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Naombeni tofauti kati ya maneno yafuatayo: UDINI na DINI, maana imezuka tabia humu katika jukwaa mtu akiwa anatetea dini yake anaitwa MDINI. Wataalamu tufafanulieni
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Eibara ly'omwaka oguhya ni TONGANA. Nimbendela eilembe.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni sahihi kusema hivyo?
0 Reactions
46 Replies
4K Views
Kuna watu ambao wamekuwa na udhaifu wa kuchanganya matamshi ya herufi kadhaa. Kwa Wamakonde M wao huitamka kama N (mathalan, mtu wao husema ntu) kuna wengine kwenye R wao huweka L na kinyume chake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi ni sawa kusema jua limezama? Kama linazama huwa linazama wapi, manaake ukweli ni kwamba dunia ndio inayozunguka. Jua liko pale pale. Mbaya zaidi wabongo tunatabia ya kuita Ulaya eti ni majuu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekutana na kipande cha utenzi kimenishinda kutafsiri kwa kiswahili rahisi, msaada please Uwene wangapi watu wakwasi walo wakiwaa kama shamasi wamuluku dhana za adharusi dhahabu na fedha...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ridhiki mafungu saba?? Kwanini si mafungu 3?4?20?etc.
0 Reactions
3 Replies
15K Views
Waswahili hebu nijuzeni kwenye hili; Mke/Mme wa Mjomba/Shangazi wangu/yangu ni mwite nani?. Je ni sahihi kumwita Shaangazi/Mjomba?. Karibuni nguli wa kiswahili kwa mjadala.
0 Reactions
9 Replies
33K Views
Kwa wataalam wa lugha naombeni msaada wenu. Katika sentensi kama hii HA-KU-CHEZ-A Je nini kazi ya "KU" zaidi ya kuonesha wakati uliopita?
0 Reactions
25 Replies
20K Views
Naomba kusaidiwa hili; MZUNGU NI NANI?
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Back
Top Bottom