Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Somo la kwanza. (haya maneno mda mwingi tunayatumia unapokutana na mtu) Hujambo nĭ hăo 你好 Habari ya asubuhi zăo shang hăo 早上好 Habari ya mchana xià wŭ hăo 下午好 Habari ya jioni wăn shàng hăo 晚上好...
12 Reactions
69 Replies
17K Views
Najua nimeeleweka hapo juu. Shida yangu kuu niupande wa lugha ya kingereza ndo nakwama sana. Naomba msaada wenu tafadhali. Wakuu.
5 Reactions
150 Replies
9K Views
Kama kichwa kinavyo jieleza, ningependa kujifahamu jinsi maneno haya yanavyo tumika katika lugha ya kiingereza Katika kiswahili matumizi ya O-rejeshi (o,ye,lo,po,ko,mo,zo n.k) kama ataka-ye-...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Sync Canvas Links yani zile URL Reading Plus Kwa kiswahili
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Je, Unaelewa Lingala - Oyebi Lingala? Sielewi Kilingala vizuri - Nayebi Lingala malamu te. Ninaweza kuzungumza Kilingala - Nakoki koloba Lingala. Watie moyo wote - Lendisa bandeko nyonso / nyoso...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Naomba tofauti kati ya haya maneno: IDENTITY , CHARACTER, & BEHAVIOR
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombeni kufafa bulawayo
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kufahamishwa maneno yafuatayo yanayotumika kumu"address" viongozi mbalimbali wa kiimla na wakisiasa. Emperor na empress Chief Prince na princess Crown prince na crown princess His/her...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Aisee binafsi nakerwa sana na msemo Nyani haoni kundule Sababu: hilo neno kundule naona kama nimetukanwa vile [emoji2] Wewe ni msemo gani wa kiswahili una kukera? Na kwanini?
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Kuna msemo watu huwa wanasema mtu huyu au yule ana gubu au chama fulani wafuasi wake wanagubu sielewi neno gubu linaashiria nini mwenye kuelewa atiririke hapa tujue. Kuna mzee mmoja aliniambia...
1 Reactions
8 Replies
38K Views
Heshima mbele wakuu Naomba kuuliza WAHAFIDHINA maana yake nini?je neno ni la lugha gani?ni sifa zipi zinazomtambulisha mhafidhia kwa jamii?
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Habari wadau wa jamvini, Hope mnaendelea vizuri na mapambano ya kitaifa na uchumi wa kati. Nilikuwa nataka kujua na kufahamu maana halisi juu ya huu msemo uliozuka wa kwa Mpalange. Juzi kati...
2 Reactions
60 Replies
54K Views
Binafsi nilimuona hayati Magufuli kama mtu mwenye matendo makali na Tundu Lisu kama mwenye maneno makali. Naomba maoni yenu katika hili Matendo makali vs Maneno makali Mungu ni mwema wakati wote!
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Wapendwa wanangu, naamini hamjambo. Mie baba yenu ni mzee wa zama za dhahabu. Huwa nasikia neno kimeumana. Sijui maana yake. Mara ya kwanza, nililisikia kule Nairobi aka Nairobbery Kenya, ila...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Safari inaanzia, kwetu nyumbani ndani Njaa imevamia, kilimo chawa mtihani Mifugo wamelishia, yote mazao shambani Tulivyowakatazia, kazuka vita taflani Kila mmoja achunge, yake mipaka yakazi. Na...
0 Reactions
0 Replies
353 Views
Ukweli kwangu kinaya, mazuri sipigi kumbo, Na wala sioni haya, kunangwa na masombombo, Nikiyaona mabaya, nitaimba kama wimbo, Ukweli kwangu kinaya, unisikize mwajimbo, Bure ukinichukiya, naona...
1 Reactions
0 Replies
584 Views
1 Sentensi Shurutia. ni sentensi inayohuundwa kwa viambishii kama -ngeli-, -nge-, na -ngali-. kwa mfano: (1) ningelikutana naye angelinisaidia sana. vilevile aina hii ya sentensi hutumia...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
Mwalim xaid naomb unixaidie kuomba vyuo maana xixta xalm hajanixaidia amexem unxaidie wewe ama ukiwez, ntatm hela 2mor .. Tatizo la hawa vijana ni nini mazoea ya kuandika au ni rika
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, Kuna hizi kauli wanatumia hawa mabondia zina maana gani na lugha za kabila gani? Dulla mbabe "Afile munu asigale munu" Twaha Kiduku " Mako dinda Mako Stamina" Kama nimekosea...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Pamoja na sintofahamu ya maneno hayo ninayokutana nayo lakini hii sasa inapelekea kukosa umakini wa maneno hasa Kundi na Kikundi. Kawaida kwenye vyombo vya habari hasa DW au BBC lugha ya Kiswahili...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…