Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
¡Holla! E ai galera, tudo bem? . Natafuta mtu / watu wa kuwasiliana naye / nao kwa kutumia lugha hizo hapo mbili kama sehemu ya kujifunza. Kama upo tayari naomba tujulishane na tujadili ni njia...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wataalam! Ukiangalia Utofauti wa neno TANZIA na TANZANIA ni mdogo sana! Je, kuna uhusiano wowote wa inchi na neno hilo? Je, hakuna namna yoyote neno hilo likafutwa kwenye kamusi na kutaftiwa...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Hoja yangu ni fupi. Tunaelewa bidii kubwa inafanyika kiswahili kijitosheleze kwa misamiat kadri dunia inavyozalisha vitu vipya. Lakin naona baraza la kiswahili wanatumia njia moja zaid ya kutohoa...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Kuna kauli au msemo potofu iliyoota mizizi kwa miaka kadhaa isemayo; "Akili za kuambiwa changanya na zako". Hivi toka lini mtu akaambiwa akili? Katika hali ya kawaida mtu huwa anaambiwa maneno au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nimekua nikiuliza maswali kwa watu mbali mbali juu ya ubaharia.sijui ni kazi ya namna gani,wana majukumu gani,wanasomea wapi na pia wanalipwa nini!?wajuzi wa mambo tujuzane maana kila mtu...
1 Reactions
33 Replies
13K Views
Pisi kali lina trend sana sasa hivi. Nini hasa maana yake? Mwanamke mzuri? Huenda kila mtu anaelewa kivyake. Ingawa kuna wadada wanajiita na kujisifu kuwa wao ni Pisi kali, kuna wengine wanaona...
4 Reactions
63 Replies
28K Views
Zifuatazo ni dialects za lugha ya Kichagga nyingine zinaendana Kirombo Kimarangu Ki-uru Kikibosho Kimachame Kisanya Lugha zifuatazo zinauhusiano mkubwa sana na lugha za kichaga japokua...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Salaaam, salaam! Wakuu ni imani yangu kuwa nyote mu-wazima, shughuli za utafutaji wa mkate wa kila siku zinaendelea, wale wenye changamoto mbalimbali poleni na mungu awafanyie wepesi. Nije...
2 Reactions
7 Replies
10K Views
Fill in the blanks with the correct form of the verb “need.” What _______ he _________ ? He ________ a pencil. ______ you ________ any help? I ________ ________ this. (negative) Who _________...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Baadhi ya maneno yanayopishana mazoea au maana ya kutumika Zanzibar. 1. Mchirizi (Mfereji) 2. Umenifahamu? (Umenielewa) 3. Markiti (Sokoni). Edits, from posts in this thread: 4. Skuli (shule)...
3 Reactions
26 Replies
5K Views
Kama tujuavyo, Kiswahili husifiwa kama lugha ya rasmi ya Tanzania. Lakini kabla ya kusanifishwa, Kiswahili kilikuwa kimeandikwa kwenye herufi ya Kiarabu kwa muda mrefu sana. Naomba kuwauliza ninyi...
4 Reactions
55 Replies
6K Views
Bila shaka hamjambo wana JF, Hivi jamani, upi utajiri wa vitenzi kisemantiki na kisarufi? Karibuni sana wana JF, mtoe mchango wenu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna baadhi ya majina ya vyakula hayapo wazi kwa lugha ya kiingereza kiasi kwamba ukiulizwa kwa kushitukizwa huwezi ukajua ujibu nini. kwa mfano Ugali Unaweza ukaongezea mifano mingine hapo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Waandishi wa Vitabu naombeni Mnielekeze Nimeandika kitabu cha English Grammar kwa kushirikiana na Maprofessor wa will wa lugha hapo UDSM na Phd holder flan wa chuo cha Havard ambaye nilimuomba...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau hii hali inanikuta nikitaka kutema yai sijui kwa nini tena nikiwa kwenye kadamnasi napata ubaridi zaidi. Msaada jamani naaibika mwenzenu. ** Tena nikiona mademu ndo jasho linanitoka mwili...
10 Reactions
125 Replies
15K Views
Habari za majukumu ndugu wanajukwaa? Napenda tufanye challenge kidogo ili kuboresha uwezo wetu wa kiingereza. Sentensi hizi ukitaka kuzipeleka kwa lugha ya kiingereza Zinakuwaje: 1. KAMA...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Wakubwa naomba ufafanuzi wa swali hili linahitaji nini "In wich circumstances the literature review is said to be critical"
1 Reactions
1 Replies
698 Views
Kwa wale ambao mpo online sahizi, hivi hili neno "nachelea" maana yake nini hasa na linatumikaje kwenye sentensi?
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa hapa jamiiforums Ndugu zangu watanzania; Je, ni neno lipi la Kiswahili sanifu huanza kwa consonant "C" na vowel yoyote ile kama "O"? Virusi wale...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
wakuu Kamwene, Muheshimiwa Mtwa mkulu, silasuga mahinyila, ndugu jamaa na wahehe wote mlioko JF KAMWENE! Nawaulizeni wandugu. Hivi kwanini iringa wali mnautambua kwa jina hilo? Ulimfanya...
0 Reactions
111 Replies
15K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…