Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu vipi, hamjambo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza naomba msaada wa namna ya kujua kuongea ung'eng'e vizuri mbele ya watu. Nimesoma mpaka digrii ya kwanza lakini najiona fala...
4 Reactions
63 Replies
17K Views
Habari wakuu Nimekua nikilisikia hili neno "SHAHIDI"hasa kwenye siasa za jamhuri ya watu wa Iran. Je, lina maana gani? Msaada tafadhali.
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Swali ndo Hilo Hapo Kazi kwenu kirefu Cha neno "BOMA"
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nini maana ya msemo " Riziki Mafungu Saba". Wanajukwaa nini maana ya huu msemo?
2 Reactions
5 Replies
11K Views
Breath and Breathe what is the difference between? I need your help!!
2 Reactions
3 Replies
523 Views
TBC1 na ITV - Ninyi mnatofautiana kuandika neno MBASHARA? MUBASHARA? USHAURI: Nendeni BAKITA wawapatie neno sahihi maana inaonekana mnashindana wananchi hatuelewi LIPI ni neno sahihi? MUBASHARA...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Nataka kujifunza lugha ya Kisumbwa, anaeweza anisaidie.
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Kifaransa nilikisoma kidogo mwaka 2004 pale Makongo Form 3 baadaye ya kuhamia pale tokea Lake Secondary School ya Mwanza. Sina msingi mzuri wa Form One and Two kwani sikufanikiwa kupata msingi...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
There's no doubt that English language is the dominant, first class business and science and technology language. Many life principals, wisdom, knowledge and practical skills are documented in...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Nahitaji kujifunza lugha hizo mbili (in a formal way) kwa wakati mmoja. Dar es salaam. Ratiba isiwe ya kunibana sana. Wapi nitapata huduma hii kwa uhakika zaidi?
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Ni mradi unaohusiana na kuwepesisha mafunzo ya hukumu mbali mbali ya Uislamu kwa lugha mbali mbali, kwa lengo la kueneza Uislamu ulio sahihi kwa waislamu. Mradi huu unajumuisha kitabu chenye picha...
1 Reactions
0 Replies
945 Views
Nlisikia iyo sentensi kwenye nyimbo ya harmonize inaitwa "kushoto kulia" Harmonize alisema "sipigi ngenga, pesa ninayo", sasa najiuliza kupiga ngenga maana ake ni nini?
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Asubuhi = good morning Mchana = good afternoon Jioni = good evening Usiku =? Siyo kama sijui kama kuna goodnight, lakini kwa sababu good night inatumika watu kutakiana usiku mwema, imagine mtu...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu samahani naomba kujua tafsiri ya neno PISI linatumiwa sana Mawingu studio na Millard kwa walimbwende wa Mashindano ya Taifa! Na kama haijakaa sawa kutumiwa kwa walimbwende hawa inakuwaje...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau nimeikuta kwenye televisheni mtangazaji aliuliza mwishoe hakutoa jibu. Binafsi sijui Nini tafauti kati ya glass na bilauri? POVU RUKSA
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hi, Looking for people who understand a little bit about Sport and are able to write in Swahili. We're looking to pay $3 for 400 words. All articles should be unique and will be checked for...
1 Reactions
4 Replies
731 Views
Wanajanvi, Hebu leo nijuzeni. Neno Mungu si Athumani, ni msemo wa tangu na tangu. Naomba kujua, huyu Athumani ni nani, asili yake wapi hata atumiwe katika heshima ya Mwenyezi?
2 Reactions
14 Replies
6K Views
Inakuwaje! Humphrey Polepole akiongea Kiingereza enzi hizo. Watu 'wanatokaga' mbali sana.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
MZURURAJI Nenda kote uzunguke Kapayuke upasuke Umbea kautangaze Na taifa uliuze Wazalendo twasubiri Kikinuka tukuanze Mjinga sana ni wewe. Kijijini una ndugu Tena masikini sugu Kula yao hawajui...
1 Reactions
2 Replies
797 Views
Habari zenu waungwana, Naombeni msaada wenu, juu ya maana ya neno "Asha kum si Matusi" Maana watu hulitumia na kuweka neno la tusi mfano; Asha kum si matusi - Mbwa wewe.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom