Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Tafadhali Naomba mwenye maono na uelewa mpana juu ya neno hili "club" kama linavyotumika .. xie xie =ahsante #jr
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kwa wanaofahamu naomba mnijuze ALFAJIRI, ASUBUHI, MCHANA, ALASIRI, JIONI, USIKU, USIKU WA MANANE ni kuanzia saa ngapi hadi saa ngapi?
1 Reactions
10 Replies
47K Views
Huwa tunatumia sana hili neno katika mchezo wa mpira tukimaanisha (TIMU MBILI MASHUHURI ZA MJI MMOJA ZIKIKUTANA NA KUCHEZA PAMOJA) ndo tuna sema DERBY. Sasa hili neno DERBY tumelizoea sana...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari za jioni Wakuu, Nina swali hivi Rais akiwa Mwanaume mke wake huitwa First Lady. Je, Mke akiwa Rais mume wake anaitwaje?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Maana ya regime ni nini? je, neno regime lina maana sawa na government? Niliwasikia wajumbe wa kamati mojawapo ya European Union wakisema Tanzania kuna regime ambao alipewa hela za covid-19...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu, Wasafi FM wanatangazo la kutuhimiza kwenda kupiga KURA. Ajabu kabisa hata waliolitengeneza hilo tangazo wameona mtangazaji yupo sasa kusema tukapige KULA tena kwa msisitizo. Aibu.
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Kutawadha: ima ni lazima na ima inapendekezwa: a. Ni lazima kutawadha kwa mambo matatu 1. Kuswali Mwenyezi Mungu U Anasema: {Enyi Mlioamini! Mnapo simama kwa ajili ya swala basi osheni nyuso...
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Meaning of a word "TE AMO" Te amo is Spanish word which means "LOVE YOU". Rihana used this word on her song Te amo to means Love you. Brought to you by DON NALIMISON.
5 Reactions
6 Replies
10K Views
Salaam wana jukwaa. Ama baada ya salaam leo katika jukwaa hili la lugha tutaongelea kuhusu lugha yetu adhimu ya Kiswahili ambayo inaendelea kukua siku baada ya siku. Katika lugha yetu hii ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari Natafuta English Course nzuri ya Bei za kawaida achana na British council na Ras Simba Mwenye mwenye Kujua hizi Zingine.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikutana na maneno yafuatayo. i. Kama ndoto yako haijatimia endelea kulala. ii. We lala si tufanye kazi utakula ulichokiota. Je, namba moja inajibu hii ya pili au ya pili ndio inajibu hii ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada wenu uwe wa hakika maana ninataka kutumia neno hilo sehemu hivyo nimechanganywa sana na usahihi wake kwakuwa nakutana na sentensi zinazoyatumia yote kwa maana moja hivyo nikumbusheni wakuu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Mimi ni mtumiaji mpya wa twitter ila haya maneno bado sijajua maana yake wanayatumia sana huko hasa kigogo 2014. Mwenye kujua itapendeza sana kama tutajuzana "Wapwa na MATAGA"
1 Reactions
5 Replies
4K Views
God and religion 2328. Abadani: mungu huijua. SPK. 'Never', only God knows that. 2328a. Abiria kwanza, thumma swifu mungu. SPK. Cross the river first, then praise God. It is not good praising a...
2 Reactions
8 Replies
5K Views
Wakuu, Inawezekana ikaonekana swali la kawaida sana lakini nahitaji nipate hitimisho la uhakika kuhusu swali hili. Namba arobaini(40) kwa kiingereza sanifu inaandikwaje Je ni 'Fourty' au Forty...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Wakuu, Neno Samaki lipo kwenye ngeli ipi? Je ni ngeli ya a-wa Au ngeli ya i-zi Ahsante
0 Reactions
106 Replies
9K Views
Hi wana jf, naomba kuelimishwa maana kuna Usemi huu "Mungu si Athuman"siuelewi. Watu wanatumia huu usemi wanapofanikiwa ktk jambo flani ambalo hawakutalajia au kuwa na uhakika nalo. Huyu Athuman...
2 Reactions
31 Replies
36K Views
HELP YOURSELF OR CHILD (REN) TO MASTER PREPOSITIONS ATTACHED TO CERTAIN WORDS: 1.abide..............by 2.absorbed....... In 3.abstain ......from 4.Accomplice......with 5.accused...... (Sb)of(sth)...
2 Reactions
3 Replies
760 Views
Habari za asubuhi wana JF? Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama...
16 Reactions
113 Replies
19K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu Natamani Sana kuijua hiyo lugha Anaefaham wapi nitapata mwalimu kwa hapa Tanzania tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom