Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
1.abide..............by 2.absorbed....... In 3.abstain ......from 4.Accomplice......with 5.accused...... (Sb)of(sth) 6.accustomed..... To 7.addicted........ To 8.adhere........ To...
1 Reactions
1 Replies
620 Views
Je, mtu anapokuwa 'impeached', huwa ina maana gani? Na nini humtokea mtu huyo, lets say Rais kwa mfano.
1 Reactions
53 Replies
10K Views
Habari kwenu ningependa tujikumbushe baadhi ya misemo iliyopata umaarufu hivi karibuni na kupotea mfano msemo wa sipendagi ujinga mimi watapata tabu sana mambo ni???? motooooo kila kitu balaa...
2 Reactions
63 Replies
10K Views
Jamani, Hawa wadau wetu wa lugha pendwa ya kiswahili wanatuchanganya, TBC1 siku zote matukio ya moja kwa moja wanaandika Mbashara wakati ITV wao wanaandika Mubashara, kwa anayeelewa hili neno...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Natamani sana kujua kukiongea kiswahili sanifu chenye mtiririko wa maneno. Ombi langu nijue mengi hapa JF. Naomba tuanze na neno timbwili; maana yake nini? Linatumikaje kwenye sentensi...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Maranyingi naona watu wanatumia hili neno 'Wahenga' hasa wanapotaka kutumia misemo yenye Busara. Je Wahenga ni akina Chifu Mangungo au Mkwawa? Au ni akina Nyerere au Sokoine? Na kwa nini...
0 Reactions
36 Replies
25K Views
Nikiwa darasa la Sita nilisoma riwaya hii, wakati huo dadangu alikuwa form one Msalato Girls school - nilipata nafasi ya kumhadithia yote, na nilimsisitiza mno pale Rosa alipoanza kulewa na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii english imekaaje pale mtumiaji anapomaanisha "ili kurahisisha biashara "ila kwa english akasema "in order to easy business " ipo sahihi hasa kwa lugha ya kiuchumi au kidiplomasia?
0 Reactions
4 Replies
706 Views
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ). Mimi naona tunakosea sana, Kujua...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kama inavosomeka hapo juu kwenye pitapita zangu za kusaka maarifa ya kidunia nimekutana na maneno hayo mawili yakionesha utofauti mkubwa. Katika utofauti wa hayo maneno walienda mbali zaid na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The use of the word "MAN" simply implies to Humans, Human beings , Human creation (both men and women collectively in regard to creation. That is what i undersstand, but it has come to my...
0 Reactions
2 Replies
619 Views
Watanzania walio wengi bado imekuwa vigumu kwao ktamka neno "kura" badala yake wanatamka "kula" na hivyo kupelekea kupoteza maana nzima iliyokusudiwa. Tafadhali tusiharibu maana ya KURA. Ni KURA...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Yani Kama Kuna Nchi ni ngumu kuishi Tanzania inatia fola. Kwenye maneno yote ulimwenguni mmechagua spana?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Dear all, Be invited to read and comment to this open letter Reference to be made to the heading above, For a while, it has been noted the need of reviewing our language policy through a...
0 Reactions
3 Replies
933 Views
Nataman sana kujifunza kingereza najua kusoma lakini kuelewa vitu vichache sana hata nikitaka nijaribu kuongea nachanganya data. Naomba mnipe kanuni ya kuweza kujifunza kingereza nianze na nini na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Hippopotomonstrosesquipedaliophobia Najua hujalimaliza kusoma![emoji1] Hilo neno linatumika kuelezea tabia ya mtu kuogopa maandishi marefu. (Uoga wa maandishi marefu) Neno...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Ingawaji mimi sio msomaji sana wa kamusi ila leo matumizi ya neno "demu"mtaani yamenisukuma kuangalia maana ya neno demu kwenye kamusi. Nimekuwa nikisikia mara nyingi wanaume/wavulana wakutumia...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
Wasalaam wanabodi, dhumuni la uzi huu ni kueleza kero yangu kwa watangazaji ea kizazi hiki, kero zipo nyingi ila kwa leo ni haka katabia ka kuchomekea vimaneno vya kiingereza kwenye mazungumzo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Ongereni kwa kazi za kila siku. Binafsi umri wangu umesonga kidogo (50s) sasa. Kwa ufupi ni kwamba, nimejitahidi sana sana kuwa mwaminifu katika maisha yangu ya ndoa na sasa...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Neno utopolo limekua maarufu Sana kwa siku za hivi karibuni likimaanisha kitu kisicho imara(dhaifu). Wengine wameenda mbali zaidi kwa kuibatiza club ya yanga jina Hilo. Napendekeza neno utopolo...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Back
Top Bottom