Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habarini ndugu zangu,nimefurahi kuja tena hapa.Naowaomba PDF za vitabu vyake Shaaban Robert Ahsanten
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wa JamiiForum. Najua imezoeleka katika jamii zetu kwa rika zote (watoto, vijana, wazazi na hata wazee) aidha wasomi au wasio wasomi kutumia neno Nimekumiss pale unapomaanisha kumkumbuka...
13 Reactions
59 Replies
13K Views
WanaJamvi na memba nijuzeni tafsiri au maana kati ya Swahiba na Rafiki? Tiririkeni.
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Mkirusha matukio live mnaandika Mbashara hiki kiswahili cha wapi? Hili neno linaandikwa Mubashara msituletee mambo ya kihuni kama wale wapuuzi wanaotumia "X" badala ya "S", kuandika "hile" badala...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiswahili hakijaenea leo wala jana kuingia Bara na sehemu nyingi za Afrika kwa ukubwa kiswahili kilienea karne ya 20 (Wakati wa wakoloni hasa waingereza na wengineo). > Shughuli za kiuchumi hasa...
1 Reactions
2 Replies
990 Views
Wakuu, kwa members wanaoishi Dodoma naomba kupewa taarifa Kama Kuna English club inayotoa fursa ya kujifunza na namna ya kuitumia lugha ya kingereza hapo Dodoma mjini. Natanguliza shukrani zangu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Greetings to all, Early Next week I will be relocating to Dodoma City, hereby requesting your support. I'm a public servant who had an exposure to visit English speaking country in East Africa...
1 Reactions
2 Replies
678 Views
Hivi hili neno limetoka wapi na kwa nini yameitwa hivyo? Yana utofauti gani na nywele za kichwani, kama kunyoa zote zinanyoleka sasa kwa nini itofautishwe? Kila nywele ina jina kutokana na sehemu...
0 Reactions
24 Replies
33K Views
Waswahili sijui tuliokota wapi hili neno kwenye vibao vya usajili wa magari Hii inaitwa Number plate Yani kibao cha namba, Kusema plate number ni sawa nakusema Here come, badala ya come here au...
20 Reactions
74 Replies
7K Views
Hili neno limeongezeka umaarufu siku za hivi karibuni na inaonekana limepata maana mpya kwani linapachikwa kwenye kila sentesi. Je nini maana yake? Ilikuwaje likaanza kutrend ghafla?
3 Reactions
45 Replies
6K Views
HAKUNA KIINGILIO na KIINGILIO NI BURE
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja kati ya wale wanaoamini kwamba neno BOMA ni neno la kiswahili na ni nyumba zilizojengwa kwa kuzunguka kama uzio hivi. Nimekutana na mzee mmoja wa zamani akaniambia kwamba neno BOMA...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Niaje niaje wakurungwaaaaaaa......aisee mi nataka kujua hivi kile kiingereza cha yule profesa wa sheria wa kenya PLO LUMUMBA ni kiingereza. chenye asili ya wapi maana misamiati mingi hata ukisema...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
.
8 Reactions
27 Replies
15K Views
WASO NA MAONO,WATAWACHAGUA Naam Haina ubishi,hao Wasojitambua Wasojielewa Waso na maono. Tuseme tu Ndio wao,viherere Barabarani,na vikengele Vigelele,wapiga makofi Tutawachagua. Tena Kwa mara...
1 Reactions
0 Replies
368 Views
Kwa wale wenye maneno yoyote ya Kihispaniola unatupia hapa Me naanza na haya usisahau kuweka maana yake kwa kingereza au kiswahili ili watu waweze angalau kuondoka na kitu. Lengo haswa ni ili...
7 Reactions
194 Replies
11K Views
Je, karatasi yenye umri mkubwa kabisa ya maandishi ya lugha ya kiswahili ina umri gani / iliandikwa mwaka gani?
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Salama wadau. Nianze moja kwa moja kuleta kwenu swali ili kupata ufafanuzi. Kipindi hiki cha joto la uchaguzi kumetokeza majina na maneno mengine ambayo hatuyaelewi wengine. Hili sijui jina au...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Maneno "a" pamoja na "the" ni kifungu cha mameno ambayo huwa yanatumika kama utambulisho wa nomino katika lugha ya kiingereza .utofauti wa haya maneno mawili ni: "A" hutumika kutambulisha...
15 Reactions
160 Replies
14K Views
Back
Top Bottom