Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari za muda huu wana jamvi, Kwa muda mrefu sasa nimekua nikisikia neno MKATA UMEME likitumika katika mazingira tofauti hasa katika upande wa mpira wa miguu, limekua likitumika kwa mchezaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakati naishi Tz kiswahili nilitumia kama means of communication. Sikuona umuhimu wake hata kidogo. Sasa nipo nchi za watu ki ukweli hakuna raha nnayoskia kama kukutana na watu wanaongea...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nwali nilidhani inaweza kuwa nimekukumbuka, lakini nahitaji msaada zaidi ili nisidhani tena
0 Reactions
111 Replies
26K Views
Nimeshindwa kung'amua vizuri tofauti kati ya making a living Vs make a life Msaada tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
970 Views
Kuandika makala ni weledi lakini pia ni kipaji. Mwandishi mzuri ni yule 1. anayefanikiwa kumfanya msomaji aischoke kusoma makala zake 2. Makala zake zinakuwa na mantiki na hoja. Sifa zote hizi...
3 Reactions
5 Replies
8K Views
Aliyeandika taarifa hii ni kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDOM.
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Leo wakati narudi nyumbani jionii hii, nimeona dalala imeandikwa kwa nyuma "UTAMU HAUNA SIRI" nimejaribu kutafakari huu msemo nazidi kuumia kichwa. Karibuni mnisaidie.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi nina tatizo kubwa la kuongea Kiingereza. Nimekuwa nikipoteza fursa nyingi kwa sababu ya kushindwa kuwa fluent kwenye kuongea English...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Imezoeleka sasa kwa viongozi wengi kutuita wanyonge. Lakini kwa nini watumie neno hili? Kwangu napata majibu yafuatayo: 1. Unyonge ni hali ya mtu kushindwa kujitetea hata kama anaporwa haki...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
KIINGEREZA - KISWAHILI: 1. Charger - kimemeshi 2. Remote - kitenzambali 3. Password - nywila 4. Akala (bladder shoes) - kirikiri 5. Passion fruit - karakara 6. Kangaroo - bukunyika 7. Fridge -...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina hoja naleta kwenu tuijadili. Je, mitandao ya kijamii inasaidia kuboresha lugha yetu ya Kiswahili maana watumiaji ni wengi na vile vile wafuatiliaji wa hiyo mitandao ni wengi. Mifano hai ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi kuchanganya kiswahili na kingeleza Tanzania tunafeli wapi huyu Alie Andika kwenye jengo hili vipi jengo la CCM Dodoma la Uchaguzi (UCHAGUZI HOUSE) neno UCHAGUZI halina Kiingereza au neno...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
Wajumbe Simu walinipigia, Sifa zangu kunipatia, Wakanisihi nitie nia, Wajumbe sio watu wazuri Walisema nakubalika, Nitapita bila shaka, Kura zao watanipa uhakika, Wajumbe sio watu wazuri Mara...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
  • Closed
Jamani Rais wetu bora aongee kiswahili tu. Everyone have ndo nini?
22 Reactions
295 Replies
25K Views
BADO NAENDELEA KUSISTIZA UMUHIMU WA KIINGEREZA KWA MKUU WA NCHI,NAOMBA CHUKUA MUDA SIKILIZA CLIPS HIZI ZA BINGWA WA KIINGEREZA ACCORDING TO JK BW MKAPA INTERVIEW WITH CAPITAL TALK MKAPA ON...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Katika kila fani kuna misingi kumi inayo fanya fani fulani iwe fani, katika misingu hiyo leo baangazia juu ya msingi mmoja ambao husomeka hivi "Kumjua yule wa mwanzo katika fani husika" Kila somo...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Hatimaye tafsiri ya Jina mjumbe imetolewa M -Mtu J-Jasiri U-Usimbabaishe M-Mheshimu B-Bila kujali E-Elimu yake
1 Reactions
4 Replies
894 Views
Napenda kujua tafsiri ya msamiati Asasi. Mara nyingi nimesikia wakisema Asasi ya Kiraia lakini Asasi ni nini sijajua bado. Naomba kufahamishwa, I'm deep [emoji120][emoji120][emoji120]
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nini tofauti ya matumizi ya maneno hayati na marehemu na yanatakiwa kutumika wakati gani?
0 Reactions
23 Replies
19K Views
Question tags, ni maswali mafupi mwisho wa sentensi. Tunatumia question tags pale ambapo tunategemea msikilizaji au msomaji kukubaliana na maelezo yetu. Mfano isn't it?, can you? wasn't it? Have...
11 Reactions
26 Replies
7K Views
Back
Top Bottom