Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Maana nimemsikia Mtangazaji kasema "kubababaake"
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Vitate, Vitawe na Visawe VITATE, VITAWE NA VISAWE Kitengo Msamiati MASOMO Prev N/A Next Tarakimu Baadhi ya maneno ya Kiswahili yanaweza kuwa na maana sawa, maana zaidi ya moja au...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Naombeni msaada nawezaje kujifunza kingereza cha kuongea japo nina idea nacho kidogo ila kwenye kuongea ndo shida. Nitumie njia gani ili niweze kuongea vizuri.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Salaam kwenu wana Great thinker. Kwa mara nyingine tena najitokeza kwenu kuwaomba mnisaidie kujua ni kitabu gani cha Sarufi ya kiingereza au kwa lugha nyingine tunaita English Gramer, ambacho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau naomba mnisadie kutranslate afisa tarafa kwa lugha ya malikia(english) ,anaitwaje.
0 Reactions
17 Replies
33K Views
Wakuu naomba kujuzwa hiyo sentensi ('Framework of agreement' kwa Kiswahili') kwa lugha ya Kiswahili please Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nchi nyingi zilizoendelea Elimu zao hutowa kwa kutumia Lugha mama ya kwao, Mfano Urusi Vyuo vingi wanatumia kufundishia kwa Kirusi. Hii ina maana ya kuwa Lugha ni nyenzo muhimu kwenye kukuza...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
C&P UTAFITI Kwa mujiub wa utatiif liuofanywa na Prfo. Hassain Klilo wa chou kiuuk cha Dodoam, haukna haaj ya kuwa na mpaiinglo kweney heruif katiak maneon. Cha mhuimu ni kuaw na mpaiinglo kweney...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Lugha ya Kiswahili kuna neno moja tu la ilabu tupu nalo ni UA, kwa kumbushia tu, ilabu ni a, e, I, o, u. Na herufi zote zilizobaki ni konsonati, na ili neno...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TPB kirefu chake ni "Tanzania Postal Bank" kama sikosei. Sasa TPB Bank maana yake ni Tanzania Postal Bank Bank? Ni sawa na mtu anayesema "daraja la Selander bridge" anakuwa ametamka "daraja na...
12 Reactions
221 Replies
25K Views
Kama kichwa cha habari naombeni maana ya haya maneno kwa kiswahili (mwaimuksyo okwo nogendelelaota waikizem) [emoji120]
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Wakuu msaada please, nini maana ya hii methali "Jitihada haiondoi kudura"
0 Reactions
3 Replies
11K Views
Wakuu, Nilijifunza Kifaransa na nikawa mzuri mno, ila kwa sasa nimesahau karibu mambo mengi mno tatizo likiwa ufinyu wa wazungumzaji hivyo nikashindwa kukuza lugha. Tuliowahi kujifunza hii...
8 Reactions
294 Replies
22K Views
Je neno BONGO NYOSSO asili yake ni nini? na je lina uhusiano wowote na yule mchezaji SIMBA na KAGERA JUMA NYOSSO
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba kufahamu jinsi ya kutumia maneno yafuatayo: - pesa - hela Mf: Alimpa pesa au alimpa hela - ndivo ilivo au ndivyo ilivyo. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
90 Replies
16K Views
Wakubwa na wadogo naomba kujua maana ya neno ardhio. TBC wenyewe hawakutoa tafsiri
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Lekangishi ukwikala mutuhaya tulimbasha mangosha nimbule umbise tutamuyomba ishitwa shimo mbangosha Moye mbangosha ukuimilela makabila kila siku yambizile masukum nduhu ambakuhoyelwa umu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimekuwa nikimsikia mara kwa mara mmoja wa Mwana redio anayeitwa au kujiita Mbwiga, huyu bwana amekuwa na misemo tofauti tofauti kila anapopata nafasi ya kuzungumza redioni. Na mingi ya hiyo...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Kitu ambacho nakifuruhia ninaposikiliza maneno/hotuba za wanasiasa hapa nchini ni matumizi yao ya lugha hasa pale wanapounda maneno mapya na tungo/virai ambazo zinasimama kama utambulisho wao...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom