Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari zenu wakuu Kati ya hizi lugha tatu Kiarabu , kingereza na kihispaniola Ni lugha ipi inatumiwa na watu wengi duniani?
3 Reactions
211 Replies
17K Views
Habari zenu. Ukiachana na neno KIFO na USINGIZI FOFOFO, je ni neno gani lingine la kiswahili linaloishia na irabu FO? Kwa yeyote anayefahamu tafadhali.
2 Reactions
17 Replies
17K Views
TUNGO HURU SI SHAIRI Msiojua kutunga, leo nawapa salamu Tungo mnazozitunga, siyo tungo mfahamu Mnapaswa kujipanga, na mtunge kwa nidhamu Leo naimwaga mboga, tungo huru si shairi. Mashairi bila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Duniani kuna lugha mbalimbali zinzotumika kama mawasikiano,swali langu je ni lugha ipi ni ngumu kujifunza, kuielewa au hata kutamka tuanzie hapa east africa....lakini kama una ufaham zaidi...
0 Reactions
52 Replies
11K Views
Kuna tangazo mnalolirusha mara kwa mara, katika tangazo hilo inasikika sauti inayoisifia utendajikazi redio yenu, binafsi hata mimi ni msikilizaji wa redio yenu. Ila kwenye hilo tangazo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
```UBUKUMI NI IKI? Ubukumi ni igihe c’agaciro kanini mu buzima bw’umukobwa, ariko umukobwa atihaye agaciro mugihe c’ubukumi bwiwe agereranywa n’akazu ka sugumwe rusangi kuko uwo ari we wese afise...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Naomba mwenye kufahamu kiswahili ni lugha ngapi kwa ukubwa wa wazungumzaji duniani. Je, kwenye lugha 10 ipo? Naomba source ya kuaminika (ranking) Maana mkuu katika hotuba yake fulani inayorudiwa...
1 Reactions
5 Replies
10K Views
Heshima kwenu, 1: Wale kuku unaokuta hawana manyoya shingoni (necked neck) 2: Wale kuku ambo unaona kama manyoya yao yako upside down
0 Reactions
6 Replies
23K Views
Naomba kujua tofauti ya makundi aya[emoji115] Nimekuwa na jiuliza ivi ukiambiwa uyu ni MWIZI, uyu ni JAMBAZI na uyu ni KIBAKA uwa unaelewaje?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Tangazo linalohusu lishe kinga ya COVID 19 linakasoro, siku zote SUKARI ni sukari na haitaweza kuwa "Sukali", ni aibu na zaidi kwa ITV kutong'amua kosa hilo kwa siku nyingi.
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau...wakati janga la Covid 19 likiendelea , nikiwa bado nipo karantini...limenifikisha kwenye mawazo yafuatayo kuhusu tofauti ya Lockup na Lockdown: Lockup - mahabusu/Jela 1.Ni ruhusa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mnaoelewa kiswahili jamani njooni
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia kila siku ohh jamaa kapewa shavu ohh shavu hilo ohh shavu linakuja hilo. Hivi ni shavu lipi la usoni? Sasa sieliwi maana yake mwenye kuelewa atueleweshe hapa kwenye elimu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tunapodai wamasai, wairaki (wambulu), wandorobo na wahadzabe sio wabantu ni kutokana na miundo na sauti ya maneno ya lugha zao. Lakini kuna hili la Wanyakyusa la kujidai eti baadhi ya vitu...
1 Reactions
42 Replies
12K Views
Jikinge na wakinge wengine Corona inazuilika. Habarini... Binafsi ninaelewa lugha ya kabila langu tu, japo nayo iyo siwezi kuzungumza lakini mtu akiongea naelewa vizuri sana. Katika harakati za...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
NIMEKUFA Masikio yameziba, sisikii na sioni Shingoni yamenikaba, nimelegea moyoni Ni nani wa kunibeba, nyota ipo ukingoni Nimekufa nimeoza, nasubiria kunuka. Niache niwe mtumwa, penzi lake ni...
0 Reactions
1 Replies
716 Views
Tofauti na Kiingereza hebu tusaidieni wandugu ni lugha gani ya kimataifa mtu akijifunza vizuri na kuifahamu hapa nchini. Anaweza pata fursa ya kibiashara, kazi na mengineyo kwa wale wanaofahamu...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Je, Kiswahili kinakaribiana na lugha yako vipi ? Kwa lugha yetu (Ki-embu/Ki-Kuyu).. Maneno ya kawaida Mtu - Mundu Kiti - Giti Meza - Metha Kijiko - Giciko Kitanda - Gitanda Nyumba - Nyumba Viatu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau naomba ufafanuzi wa neno "BARADHULI" linatumikaje
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Kwema wakuu? Huu msemo wa "kwio ake" nauona hasa unatumiwa na vijana wa kike na kiume kutoka mkoa wa darisalama kwa sana, una maana gani?
1 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom