Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
NGOMA YAANZA KUDUNDA Alisema hii ngoma, hii ngoma ya zamani Ngoma isiyo na noma, akatupa tumaini Ngoma ya watoto jama, wakubwa mcheze nini Ngoma yaanza kudunda, manju huyo kajificha. Wajanja...
2 Reactions
2 Replies
988 Views
Wasalaam, Binafsi nilikuwa nimetazamia kujifunza lugha nyingine ya kimataifa, ambayo ni kihispaniola (Spanish,Español). Baada ya kujifunza mwenyewe takriban kwa mwezi mmoja hivi (source: You tube...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Ask me anything about English or Swahili. I am a holder of a Bachelor Degree of Education i Languages & Management fro Mzumbe. Karibuni tujifunze Kiswahili Au English
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Napenda lugha yetu (kiswahili) kwakuwa ina utajiri wa misamiati. Hivi unajua Vipukushi ndiyo Sanitizer?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii ni habari yako... Siku moja alisimulia kitabu cha How European Underdevelop Africa cha W. Rodney. Ila siku anakufa watu walilewa kama vile Mjomba ulikua mlevi fala sana. Mjomba alikua mtu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Salam, Lugha hii ya kichagga (vunjo) ni katika daraja la mwanzo (elementary level). Hongera kwa waandishi. Lengo ni kusambaza ujuzi tu. Nyie wanyiramba kumbe ni watu wa kutoka Sudan?? Stay...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
‘Parliament’ ni neno la kiingereza linalomaanisha bunge, Lakini pia, kundi la bundi kwa kiingereza huitwa ‘parliament of owls’ ‘School’ ni neno linalomaanisha shule, lakini pia kundi la samaki...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Naombeni tafsida ya maneno haya Mawili ya Kamasi (Makamasi) na Kohozi (Makohozi), tafadhalini Nitawashukuruni nyote.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi kuna utofauti mkubwa baina ya haya maneno? Je, nikiwaza ninaweza kuwa nimefikiri?
1 Reactions
3 Replies
6K Views
VITABU NILIVYOSOMA MWAKA 2019 1.Wisdom 2019 by Elija Mwape 2.Rosa mistika by E. Kezilahabi 3.Uamuzi wa busara 4.Ubunifu na kujiongeza by Dr Eliamani Laltaika 5.Historia ya wanyiramba by John Kito...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yamepotea ktk matumizi ya kila leo. Ni maneno ambayo wakati mwingine yanaachwa ilhali lilikuwa neno moja na kubadilishwa na sentensi. Baadhi ya maneno...
2 Reactions
58 Replies
10K Views
1: Kuna kitu Kama mvuke hivi au gesi kinachotoka unapokuwa unamenya chungwa chenza au limao au Hata ukikata kitunguu, kwa Kiswahili kinaitwaje? 2: Naujua upupu ni mmea ambao unawasha sana, lakini...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
1. Asosikia la Mkuu huvunjika guu 2. Ujanja mwingi mbele kiza 3. Mkataa pema pabaya pana mwita 4. Asiyefunzwa na ***** hufunzwa na ulimengu 5. Mtaka nyingi nasaba hupata mwingi MSIBA 6...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujua tofauti kati ya managing director(MD) na director general(DG) pamoja na Chief executive officer ( CEO) ..... natanguliza shukran..... Its not over until its over...[emoji769]
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Imeripuka tufana, kuvunja za watu chemba WUHAN nchini CHINA, kumi natisa DISEMBA Si nyingine ni Korona, ndo hii imetukumba Dunia ni taharuki, watu wanateketea Tulisema ni wachina, itaishia ilipo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha Corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za Kimataifa. Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu habari, Nahitaji mtu aliye serious kwa ajili ya kufanya tafsiri kurasa 37. Pages nyingi zinajirudia, roughly hazizidi pages 20. Nahitaji mtu serious tu. Malipo si haba.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
JF, Nyumba ya Mfalme inaitwaje? Tumezoea kuita Ikulu je ni sahihi?
1 Reactions
16 Replies
19K Views
Habari za humu wadau, nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kufahamu vyema lugha ya Kingoreme nahitaji kusaidiwa jambo dogo tafadhali. Kama unafahamu lugha hii naomba msaada, lugha hii huzungumzwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi mtu aliyekunywa pombe na aliyekunywakunywa pombe, nani kanywa zaidi?
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Back
Top Bottom