NGOMA YAANZA KUDUNDA
Alisema hii ngoma, hii ngoma ya zamani
Ngoma isiyo na noma, akatupa tumaini
Ngoma ya watoto jama, wakubwa mcheze nini
Ngoma yaanza kudunda, manju huyo kajificha.
Wajanja...
Wasalaam, Binafsi nilikuwa nimetazamia kujifunza lugha nyingine ya kimataifa, ambayo ni kihispaniola (Spanish,Español). Baada ya kujifunza mwenyewe takriban kwa mwezi mmoja hivi (source: You tube...
Ask me anything about English or Swahili. I am a holder of a Bachelor Degree of Education i Languages & Management fro Mzumbe.
Karibuni tujifunze Kiswahili Au English
Hii ni habari yako...
Siku moja alisimulia kitabu cha How European Underdevelop Africa cha W. Rodney.
Ila siku anakufa watu walilewa kama vile Mjomba ulikua mlevi fala sana.
Mjomba alikua mtu...
Salam,
Lugha hii ya kichagga (vunjo) ni katika daraja la mwanzo (elementary level). Hongera kwa waandishi. Lengo ni kusambaza ujuzi tu.
Nyie wanyiramba kumbe ni watu wa kutoka Sudan??
Stay...
‘Parliament’ ni neno la kiingereza linalomaanisha bunge, Lakini pia, kundi la bundi kwa kiingereza huitwa ‘parliament of owls’
‘School’ ni neno linalomaanisha shule, lakini pia kundi la samaki...
VITABU NILIVYOSOMA MWAKA 2019
1.Wisdom 2019 by Elija Mwape
2.Rosa mistika by E. Kezilahabi
3.Uamuzi wa busara
4.Ubunifu na kujiongeza by Dr Eliamani Laltaika
5.Historia ya wanyiramba by John Kito...
Kuna baadhi ya maneno ya kiswahili yamepotea ktk matumizi ya kila leo. Ni maneno ambayo wakati mwingine yanaachwa ilhali lilikuwa neno moja na kubadilishwa na sentensi.
Baadhi ya maneno...
1: Kuna kitu Kama mvuke hivi au gesi kinachotoka unapokuwa unamenya chungwa chenza au limao au Hata ukikata kitunguu, kwa Kiswahili kinaitwaje?
2: Naujua upupu ni mmea ambao unawasha sana, lakini...
Naomba kujua tofauti kati ya managing director(MD) na director general(DG) pamoja na Chief executive officer ( CEO) ..... natanguliza shukran.....
Its not over until its over...[emoji769]
Imeripuka tufana, kuvunja za watu chemba
WUHAN nchini CHINA, kumi natisa DISEMBA
Si nyingine ni Korona, ndo hii imetukumba
Dunia ni taharuki, watu wanateketea
Tulisema ni wachina, itaishia ilipo...
Nimekaa nimewaza, kuliko kukaa bure hiki kipindi cha Corona, its better hata nijifunze lugha mbili au tatu za Kimataifa.
Lugha ya kwanza iliyokuja kichwani ni Deutsch (Gernam). Na nimeshaanza...
Wakuu habari,
Nahitaji mtu aliye serious kwa ajili ya kufanya tafsiri kurasa 37. Pages nyingi zinajirudia, roughly hazizidi pages 20.
Nahitaji mtu serious tu.
Malipo si haba.
Habari za humu wadau, nahitaji msaada kwa yeyote mwenye kufahamu vyema lugha ya Kingoreme nahitaji kusaidiwa jambo dogo tafadhali.
Kama unafahamu lugha hii naomba msaada, lugha hii huzungumzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.