Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Wakuu nawasalimu wote Habari za Asubuhi. Kama kichwa cha Uzi kinavyosomeka naomba mniambie maana ya neno "LIMBUKENI" Maana nimekua nikijiuliza tafsiri ya hili neno na sijaweza kupata maana ya...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Naomba kufahamishwa tafsiri ya hayo maneno kwenye sentesi, kwa mfano nataka kufungua kimgahawa lakini mbele yajina la mgahawa nataka niweke moja kati ya hayo maneno kama kibwagizo. Nitumie lipi...
0 Reactions
8 Replies
971 Views
Mimi naanza na haya --- Sipendagi ujinga:cool::cool::cool::cool: --- Hainaga ushemeji:(:(:(:( ----Haijawahi kumwacha mtu...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Suala hili limeshajadiliwa mno na wadau mbalimbali, hivyo, mimi ninapendekeza sauti hizi zipitishwe rasmi kuwa kitu kimoja. Yani, watumiaji wachague kile wanachoona kinawafaa. Utafiti wangu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu, Nisaidieni tofauti ya maneno hayo hapo juu Mfano; Wanajeshi walivuma makombora Wanajeshi walivurumisha makombora Ahsante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Ni muda mrefu nimekua nikiona makosa ya uandishi kwenye blog km Muugwana na Jamiiforum watu wakishindwa kuandika neno kuahirisha na kuandika kuhairisha. Cha ajabu leo vyombo vikubwa vya habari...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Nabendaga sana methali hizi, pale jambo mtu anapolificha wakati akijua ni lazima litatoa outcome mbeleni. Kwa mfano mtu akificha ujauzito/ mimba muda ukisonga itajulikana tu anamimba. Ni hayo...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
#UNAAMBIWA Kwenye kamusi ya Kiswahili kuna neno “korona” ambalo tafsiri yake ni kinu cha kukoboa, kusafisha na kutoa kamba za mkonge. [emoji848] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Tidak dapat dipungkiri bahwa kebanyakan apartemen memiliki luas yang terbatas. Ini sesuai dengan tujuan pembangunan yang memang menjadikan hunian sebagai solusi masalah lahan yang semakin sempit...
0 Reactions
0 Replies
450 Views
THERE IS NO STOP. Inside a shabby room man in oily shorts is seen singing but...
0 Reactions
1 Replies
695 Views
Wakuu hamjambo, msaada wenu kwa hili swali Naomba msaada wenu juu ya swali hili, kama mjuavyo kingereza ni nyama ya tembo, hivyo kwa Mimi peke yangu nimeshindwa kupata muafaka wa lipi ni jibu...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Tumemsikia mzee Mwinyi akisemanana mhusudu JPM. Mimi nikifikiri kuhusudu ni kupenda kunako ambatana na matamanio. Bungeni tunasikia maombi ya kutuepusha na husda. Hapa ni kama kummind mtu kwa nia...
0 Reactions
8 Replies
23K Views
Rubani mmoja alipata ajali ya ndege ndogo na kuangukia kwenye kijiji asichokielewa. Alipoteza fahamu kwa dakika kadhaa, alipozinduka hakujua alizimia muda gani na wakati ule yalikuwa majira gani...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni vitabu gani vya lugha ya Kiswahili ulivyovisoma vilivyobadilisha namna yako ya kufikiri na kubadili maisha yako kiujumla?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiswahili ni lugha inayozungumzwa na mamilioni ya watu katika Afrika na kote duniani. Ingawa Kiswahili kimeonekana kupanda chati na kuonekana kuzidi kushika kasi leo, lakini lugha hii ilshapata...
13 Reactions
57 Replies
11K Views
Nzi kala Tunda kwa Masihara kwa muda wa saa mbili. Bado niko hapa nasubiri nigundue kitu natupia na picha/video za kutosha. Nzi dume hawezi mpata jike mpaka atongoze, nzi dume huwa anatoa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimekuja Muscat Oman and i wonder jinsi Kiswahili kilivyo enea hapa Oman. People speak Swahili like they don't mean nothing. Interestingly Kuna waoman wamezaliwa Oman.wamekulia Oman na hawajawahi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Nilikuwa nasikiliza BBC SWAHILI leo ninamsikia Mtangazaji Ann Ngugi anatumia hilo neno, cha ajabu hata Wenzake, akiwemo Mbelechi wa Congo wametumia jina/neno 'wenye ulemavu wa ngozi' au Albino...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
MACHINGA ni msemo wa kiswahili unaowakilisha wafanya biashara wadogo wadogo ambao hufanya biashara kwa kuweka bidhaa zao kandokando ya barabara au hata sokoni. neno MACHINGA limechukuliwa kutoka...
1 Reactions
13 Replies
11K Views
Haya ni maneno matatu ambayo hufanya kazi moja. Kazi kuu ya maneno haya ni kuongeza maelezo ya ziada katika jambo. Hutoa taarifa ya ziada au kukazia taarifa ya awali. Katika jamii kuna mazoea ya...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom