Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
[emoji38][emoji38][emoji38]
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Ukiwa mmoja,i mean single song unaitwaje? zamani tulifundishwa kuwa Nation anthem inaitwa Wimbo wa taifa lakini siku hizi watangazaji wengi huita "nyimbo" je ni kiswahili fasaha na kina baraka ya...
0 Reactions
43 Replies
10K Views
Habari zenu wana jf... Nilikuwa naomba msaada kwa watalaam wa lugha ya kingereza kwani hivi sasa nimeanza kujifunza kiundani zaidi (i want to be deep) kwa hiyo unaweza ni-direct kwenye page...
8 Reactions
219 Replies
17K Views
Pana siku nilikutana na neno "Bandaling". Sikuwa nimewahi kulisikia. Mafundi paa walikuwa wakilitaja. Nini asili ya jina hilo? Neno lipi la Kiswahili ushawahi kukutana nalo ukabaki unashangaa?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kweli unajua maana ya hizi kauli na unajua asili ya lugha,Mambo ya kukopa misamiati mfano shirt na shati.aliyetohoa lugha yetu Ni muingereza na mwingireza kwa kutumia ukoloni akatutengenezea...
0 Reactions
5 Replies
8K Views
Kama kuna wakati kiswahili kimejishushia hadhi kimataifa, ni kipindi hiki kwa kuwa na salaam ya utata. Nilimuonea huruma Palamagamba Kabudi akihutubia wageni waalikwa wa nchini na wa-kimataifa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani hakuna aliyekamilika ila sifa ya MTU apewe akiwa hai aisikie. Profesa Palamagamba Aidani Kabudi anajua kutamka matamshi ya lugha sana, kusoma kwa kufuata vituo zile nukta, mkato, koma...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Nimeona Mjadala sehemu kwamba tubadili tuite Amirat badala ya Amir, sababu amir ni kwa mwanaume na Amirat ni kwa mwanamke. Kwamba Mh. Rais, Samia Suluhu Hassan tumuite Amirati Jeshi Mkuu. Nina...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu, hii kitu imenichanganya, Marais wa kiume huitwa Amir jeshi mkuu. Msingi wa neno Amir ni neno la kiarabu ambalo lina maana kiongozi. Kwa kiarabu kiongozi wa kiume huitwa Amir na wakike...
12 Reactions
99 Replies
14K Views
Kwa wale wajuzi wa lugha yetu tofauti ya maneno hayo ni nini hasa? Michango ya wadau Hayati ni neno la kiarabu likimaanisha uhai, kwa hiyo mtu aliyekufa na kuacha Legacy yaani bado kuna vitu...
0 Reactions
140 Replies
81K Views
Nimekuwa nikisoma kwenye machapisho mengi hasa magazeti ya kila siku kuna makosa sana ya uandishi wa neno hili BAADAYE. Wengi huandika BAADAE hayo kwa mujibu wa kamusi ya TUKI ni makosa. Neno...
3 Reactions
4 Replies
4K Views
Hemed Kivuyo,acha kabisa kutumia neno 'Mwendazake' katika hali hii ya kuomboleza.Unalitumia peke yako tu,halina ladha wala taadhima katika kipindi hiki.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba tafsiri ya nyimbo hizi za mtaalam Fally Ipupa 1. Ecole 2. Allo telephone.
1 Reactions
3 Replies
993 Views
Kwa uelewa wangu Hayati ni baada ya kuzikwa...au nakosea? Kabla hajazikwa anakuwa Marehem Hadi siku akizikwa..ndo jina Hayati linaanza Au yote sawa?
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu nahitaji ku-apply chuo kwajili ya mdogo wangu, sasa hii statement nimeshindwa kuielewa vizuri. Ni muda mrefu sana tangu kufanya shughuli hii. (The entry qualification for this programme...
0 Reactions
7 Replies
987 Views
1. Mwosha Huoshwa 2. Mficha Maradhi Kifo humuumbua 3. Malipo ni hapa hapa duniani 4. Mficha Uchi hazai ng'o 5. Siri ni ya Mmoja na si ya Wawili 6. Njia ya Muongo ni fupi sana 7. Lisemwalo lipo...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama Kuna Sehemu Kiswahili Kinani Piga Chenga ya Mwili,Basi Ni Hapa! Hivi Ni: a)Hili au Ili? b)Ndio au Ndiyo? c)Kwahyo au Kwaio? d)Ila au Hila e)Hata au Ata
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Imesha kuwa chagizi , Maozi yana sumbuka, Hata palo na uwazi, Hatupawezi mufika, Jifunuwe uwe wazi, Tuone kwa uhakika, Twakuomba jua toka, yapate nuru.
0 Reactions
0 Replies
438 Views
Naombeni msaada wasomi nguli wa JF lili kupata maana au tafsiri ya maneno/ sentensi ifuatayo. "There is a tide in the affairs of Men, which taken at the floods leads on to fortune" Sina hakika...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom