Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Nasikia nimesikia kuwa kenya kuna kiswahili kuzuri, lakini mbona asilimia 80 ya ninaowasikia kuzungumza naona wanazungumza vibaya na kuandika pia. Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
0 Reactions
4 Replies
812 Views
Mtu wa karibu kaachiwa hii note, ila imeandikwa kinyakyusa, hajui kukisoma akadhani mi najua; ila mi pia sifahamu. Masaada basi kutafsili Ngutufwa lelo jo nkinde Ugwise gwa bololo Umpela fyosa...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamani mimi napenda sana kingereza najifunza taratibu,naomba mnaojua mnirekebishe nilipokosea na upande gani unanisumbua zaidi natuma hiki kipande hapo chini
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Leo katika kupita zangu mtandaoni nikakutana na Maswali mawili ambayo ni ~KATI YA BIBI YAKE MAMA NA MAMA YAKE BIBI NANI MKUBWA?~ ~BABA YAKO NA BABA MKWE WAKO WANAITANAJE?~
0 Reactions
1 Replies
629 Views
SIKIA Bissmillah naanza, kwa jina lake manani, Kwa maneno nakufunza, na wala sina utani, Umeshageuka funza,kutukuza ushetani. Ewe kiumbe sikia, yalo mazuri chukua. Unaliza waungwana, kwa kuupenda...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wahenga walisema, “Ukitaka kujua njia ya mkato kula nauli,” "Usipopambana ujanani historia ya marehemu itakuwa fupi" na “Marehemu alizaliwa, akakua, akazura, akafa.”
1 Reactions
0 Replies
700 Views
Unamhitaji Ila huna shida naye Na Una shida naye Ila humhitaji
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Masada JF. Hivi, socialite anaitwaje kwa KISWAHILI fasaha. Kuna tovuti moja ya Kenya imetohoa - mwanasosholati !
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari. Nikiwa nafatilia vijana hapa waandishi wa habari ni jambo zuri kuwarithisha nyanja hii ya habari na kupata watangazaji bora huko mbele. Kipindi kupitia UTV cha Morning Trumpet naona...
1 Reactions
11 Replies
10K Views
Mnyonge / mɲɔngɛ / nomino Wanyonge (plural) Ngeli za nomino: a-, wa- MAANA YA NENO: 1. mtu dhaifu; mtu asiyekuwa na nguvu...
4 Reactions
34 Replies
7K Views
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JF. Mimi mdogo wenu nipo mzima pia. Ukiangalia screenshots hapo chini, kuna baadhi ya majina nimefanya highlighting kwa rangi ya orange. Hizo surnames ndio...
6 Reactions
150 Replies
30K Views
Dikteta (kutoka Lat. dictator yaani mwenye kutoa amri kama imla) ni neno la kumtaja mtawala asiyebanwa na sheria na kutumia nguvu ya dola kuendeleza utawala wake na kutokubali upinzani dhidi yake...
0 Reactions
2 Replies
980 Views
Nilikua mwajiriwa katika kampuni moja maarufu jijini dare s salaam , katika kuajiriwa kwangu huko nikawa msaidizi maalumu wa bosi wa kampuni ile , basi siku moja moja nilikuwa naenda kujirusha na...
1 Reactions
27 Replies
61K Views
'You can remove a man from the bush but you cant remove a bush from a man' Tafsiri yangu kwa uelewa wangu ni unaweza mbadilisha mtu(kike/kiume) kwa nje lakini huwezi mbadilisha kwa ndani.
2 Reactions
5 Replies
956 Views
Jina la Rais wetu Bi Samia Suluhu limeundwa kutokana na maneno ya Kiarabu. 1) Samia: Maana yake ni msikivu. Neno hili hupatikana hata katika salat za kila siku kwa Waislaam, pale Muislam...
23 Reactions
84 Replies
11K Views
Sitaki hata kuanza na salamu.. Hili neno kwa mara ya kwanza nimelisikia kipindi cha msiba wa marehemu Magufuli likitumika sana kwenye media za kenya kama ktn, ntv. Mapumziko kidogo. Siku za...
5 Reactions
6 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kiswahili kina misamiati michache au sisi wenyewe tunarahisisha tu kwenye kuongea?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
ZAMA ZA ZAMANI Ilifika wakati zama za zamani zikarudi, wala siyo vile vunubi makanisani Bali mtindo wa maisha ya duniani Ule ukweli ukawa uongo na uongo ukawa ukweli Matendo ya mbinguni...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarin za asubuhi wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyosema, afisa kipenyo maana yake nini?
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Habarini wadau..Najua tuko kwenye majonzi makubwa kama taifa,,But katika kuskiliza nyimbo,kuangalia movies za Marekani hasa zenye Black Americans Characters kama Ice cube,Kevin Hart,Wesley...
4 Reactions
81 Replies
14K Views
Back
Top Bottom