Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Kiongozi mmoja wa Kiyunani (Kigiriki) aliitwa Alexander Mkuu, ndiye aliyefanya mabadiliko makubwa sana ya kueneza utamaduni wa Kigiriki eneo lo lote alilotawala. Akaeneza na kuhimiza watu...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
The Kiswahili lesson you missed. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8. Certificate...
7 Reactions
22 Replies
27K Views
Salaaam wakuu Nimeona hili neno EP linatumiwa Sana na wasanii wa mziki....ni nini maana yake?
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Mfano badala ya kutamka baba wao wanasema babaa. Mfano badala ya kutamka mama wanasema mamaa, dadaa au kakaa. Wanataka watengeneza kiswahili chao?
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Kama kichwa cha mada kisemavyo. Kwa wataalamu msaada tafadhali.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Kumekuwa na kasumba kwa baadhi ya wa Tanzania wa kada mbali mbali pale wanapo elezea jambo sasa inapokuja kuli tafsiri ilo neno au msamiati kutoka English kuja kiswahili, au kiswa kwenda Eng...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
1. Idara (department) mfano idara ya usalama wa taifa 2. Kurugenzi mfano kurugenzi ya mawasiliano ikulu 3. Mamlaka (authority) mfano mamlaka ya bandari 5. Taasisi mfano taasisi ya elimu ya watu...
15 Reactions
50 Replies
6K Views
Maswali yangu mengine ni haya: Peke peke ni nini? Kumtoa mtu ndani ina maana gani? Maana ya methali kwa jumla ni ipi? Asanteni waheshimiwa.
2 Reactions
4 Replies
3K Views
1. Kisado -- Bidhaa ni rangi ya nyumba, ya kampuni ya Sadolin. Walikuwa wakiweka kwenye makopo ya ukubwa fulani yaliyopachikwa jina la "visadolini" au "visado". 2. Kimbweta - Kiti na meza cha...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Au ndo msamiati mpya kwangu, je una maana gani? Au tunajiongezea msamiati mpya katika lugha ya Kiswahili? Ila kweli kuna wazanzibari na wazanzibara.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nimeona katika jukwaa la lugha kuna “English learning thread” yaani uzi unaohusiana na kujifunza lugha ya English. Nahisi itakuwa vyema wahusika wakaanzisha uzi mwengine wa kujifunza lugha ya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Je Usahihi ni United Republic of Tanzania au Ni ""The United Republic of Tanzania.?"" Kwa Maana ""Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ""na Siyo ""Jamhuri ya Muungano Ya Tanzania.""? .... Karibuni
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu, naomba kujua maana halisi ya "Majuto ni mjukuu..."
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimevisoma kwa yakini kubwa sana vitabu hivi viwili baada ya kuvipata kwenye moja ya maduka ya vitabu hapa mjini. Vyote viwili vinaelezeya madhila ya Ujamaa; Kaptula la Marx linaelezea zaidi kwa...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello everyone Mkaguzi daraja la || kwa Kiingereza ni nani? Barua ya maombi tunaandika kwa Kingereza au Kiswahili
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Mtanzania aliyeasisi hili jina je alikuwa na maana gani? Linapotajwa jina hili je ni kwa nia iliyo njema au vinginevyo? Kama aliyelianzisha jina hili yupo humu hebu atueleze alikuwa na maana gani?
2 Reactions
41 Replies
4K Views
FIKIRI 1. Fikiri zako fikira, ufikiri kila tendo, Fikiri lilo na dhara...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa Kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, Profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
SWAHILI IN CHINA Writer: Tumaini First, I would like to explain how I...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, poleni na majukumu. Naomba kuuliza nini maana ya maneno haya kama yanavyotumika hapa JF: 1. Chai ya moto 2. Chai ya tangawizi 3. Chai kavu Nimeyaona yakitumiwa na wachangiaji wa nyuzi...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom