Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
I am well experienced in editing different English Manuscripts for all kind of genres. My price is relatively affordable. For any interested author please mail me in tatamkuria@gmail.com
1 Reactions
4 Replies
690 Views
Habari ya jmos wana jamvi, Nahitaji kisaidiwa “MWANYA“ unaitwaje kwa kidhungu Pia “PENGO“ kwa kiinglish.
0 Reactions
53 Replies
30K Views
Je Yana maana gani?! Je yalianzaje?! Maana nimeyasoma jamii forums pekee lakini mtaani sikuwahi kuyasika.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, amesema mkakati wa serikali ni kuhakikisha huduma na kumbukumbu zote muhimu za nchi zinatolewa kwa lugha ya Kiswahili na akahimiza haja ya mamlaka kuja na Sera...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamii tujikumbushe baadhi ya misemo ambayo zamani ilikuwa kwenye chati na sasa haitumiki tena.. Kwa mfano nakumbuka misemo kama kuachwa kwenye mataa, Viatu vya Ndula, lakuchumpa n.k, Pia...
0 Reactions
150 Replies
39K Views
Hiv mtu akisema yeye ni virgo, anamaanisha nini?
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wakuu nawasalimu. Mimi ni mchaga niliyezaliwa na kukulia nje ya mkoa wa Kilimanjaro ambapo sikuwa na fursa ya kujifunza lugha ya kichaga. Nimejaribu kuangalia resources mbalimbali kwenye mtandao...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Mambo vipi wakuu! Siku za hivi karibuni nilimsikia mtangazaji mmoja wa radio flani akizungumzia chuo flani huko mkoani Kilimanjaro. Neno alilokuwa akitumia ni "hiko" (tofauti na wengine niliozoea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
METHALI MIA SITA NA KUMI (610) 1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende...
1 Reactions
17 Replies
47K Views
Ndugu mabaharia na maharia, kama title inavosomekahapo juu, hilo neno kwangu limekuwa ni kitendewili sana hasa ninapokuwa nachati na marafiki wakike. Unakuta unamsalimia anakujibu, halafu baada...
6 Reactions
67 Replies
46K Views
Hello, am a English Lerner (both wirting and speaking), I need a teacher who will guide me and talking to me through the phone at least one hour per day, then I pay in according to how will make...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Nawasalimu wana jf, leo nimekuja na hii dhana ya Ushairi kwa mujibu wa Sheikh Amri Abed Kaluta: "shairi ni wimbo hivyo kama shairi haliimbiki shairi hilo halina maana" Je, dhana hii bado ina...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekutana na kifupisho hicho kwenye matumizi ya mazungumzo katika mitandao mara nyingi ila nimechemka kufahamu maana yake, naomba wajuzi wa kudadavua mnisaidie maana yake.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wadau nina shida ya kujifunza kiingereza cha kuongea naombeni msaada maana interview zinanitesa sana. Kama unaweza nisaidia ni inbox tuongee kwa kina.
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Wakuu, hivi maaana ya hili neno "Achuz" ni nini? Msaada tutani.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi. Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu. Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
Wimbo wa kiingeleza wa kutakiana kheri ya siku ya kuzaliwa hivi umeshindikana kuutafasiri? Mbona tunazidi kuwatukuza hawa mabeberu....siamini kama lugha yetu pendwa bado I maskini wa maneno...
2 Reactions
9 Replies
959 Views
Nasema uongo ndugu zangu? Huu msemo kwasasa ndio unatrend sana hapa jamiiforums. Ni nadra sana ukafungua uzi wowote halafu kwenye comment 10 za mwanzo usikutane na huu msemo, ni nadra sana! Nasema...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, nmekuwa nikisoma hapa JF, mara nyingi tu huu msemo kuwa "" nasema uongo ndugu zangu?".... Naomba kufaham msemo huu ulitokea wapi na ni nani mwasisi wake, huwa unatumika katika mzingira...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari jf najua humu kuna wataaramu wa kuongea english bila kubabaika naomba mnijuze njia ninazoweza kuzitumia kujifunza bila kuwepo mwalimu Maana nina ndoto za kuwa wa kimataifa
1 Reactions
4 Replies
37K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…