Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
  • Sticky
Habari zenu Leo nimeona ni vyema wana jikoni na wazazi tujadili na tubadilishane mawazo kuhusu lishe za watoto wetu kuanzia umri wa miezi 6 hadi mwaka..... Nini madhumuni hasa 1)kwa wale...
33 Reactions
341 Replies
287K Views
Eti wakuu? Vitumbua au maandazi au donati ngapi ndo standard?
8 Reactions
71 Replies
1K Views
Katika vyakula ambavyo huwa sivishobokei ni Ugali mimi siupendi kabisa yaani sina stim nao kabisa. Sazingine huwa nakula tu ndo wife au beki3 kaandaa lakini kiukweli ugali sio chakula nachokipa...
31 Reactions
282 Replies
10K Views
Kwa hakika kama kuna mtu kati yetu asubuhi ya leo kala tunda lolote lile basi ni wale waliolala zile hotel zenye bed n breakfast full course. Wengine wetu kwa uchache mno ni wale wafanya diet na...
42 Reactions
1K Replies
60K Views
Tupiamo chako, iwe ulialikwa kwenye sherehe, umepiga nacho selfie (hata kama hujala) umedoea! Umenunua, hata kama ni cha mchepuko ama nyumba ndogo cha hotelini msibani... Popote pale wee...
72 Reactions
36K Replies
2M Views
Kitimoto Rosti DietπŸ’¦πŸ™†πŸ½β€β™‚οΈπŸ‡ΉπŸ‡Ώ Nipo viwanja sisi hatunaga weekend πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯ Anastasia21
13 Reactions
61 Replies
1K Views
Unaangusha mate ukiwa wapiπŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
16 Reactions
36 Replies
634 Views
Nazozijua Mimi ni njugu ndo nimezizoea ila mtandaoni naona Tena Kuna kitu kinaitwa njugu mawe na kwa English ni almonds wakati njugu zenyewe za kawaida kwa English zinasomeka nuts..na Tena eti...
1 Reactions
7 Replies
173 Views
Mambo. Nimekutana na haya mawili Von na Kodtec pressure cookers. Kwa budget ya chini ya Tsh 200,000/= nichukue lipi? Au kuna suggestion nyingine?
4 Reactions
130 Replies
6K Views
Leo tujifunze hii kitu sambusa za nyama MAHITAJI Unga wa ngano Nyama Hoho Karoti Chumvi Mafuta Kwanza chemsha nyama yako kisha isage vizuri Then chukua ngano weka mafuta na chumvi anza...
35 Reactions
325 Replies
4K Views
Inafanana na ule uzi wa vyakula ila ule ni worldwide.. Hapa kwa asilimia 100 ni vyakula tupikavyo na tulavyo kila siku Huku hakuna chopstick, hakuna kuku kwa mrija ama kula na mikono miwili yaani...
11 Reactions
216 Replies
2K Views
Wakuu, Nilishawahi kuleta uzi wa kutojua kupika way back Mwanamke kutojua kupika inaweza kuwa sababu ya kupewa talaka? Jioni hii nimepika wali...nauangalia hapa naona aibu mimi...wali una mafuta...
31 Reactions
227 Replies
2K Views
Hiki ni chakula maarufu kwa wenzetu wa kule Zenj.Je kinaandaliwaje? na faida zake kiafya..
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Kwenye pita pita nikakutana na samaki hawa, muuzaji anawapatia sifa sana kuwa ni samaki wenye virutubisho haswa protein. Sijafahamu ni samaki kutoka sehemu gani, ila nilipokula nimepata kuona ni...
8 Reactions
100 Replies
2K Views
Ukifika pakistani unaweza kushangaa kongoro lilivyo tengenezwa ila hapa kwetu tokea mchaga kugundua ni mfumo ule ule tu bila kujiongeza. Leo hii wali wa wanaijeria ni tofauti na Ghana. Au pilau...
1 Reactions
0 Replies
116 Views
Nilichokitoa hapa ni aibu natamani nimfate muuzaji aje tule wote haiwezekani aniuzie nyanya za kachumbari kumbe mimi nahitaji nyanya zakupikia!, nyanya inakimbizana na samaki kwenye sufuria ndo...
0 Reactions
0 Replies
87 Views
Hello Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so...
6 Reactions
31 Replies
489 Views
Kijana mimi leo nakupa connection hii hakuna mtu jf hapa ata kuja kukupa hii conenction kabisa nakwambia acha ubishoo tafuta chako si vyema kujiita jobless vyeti weka pembeni fanya hii kitu...
49 Reactions
181 Replies
3K Views
Nina health issue inayonihitaji kula carrot, hoho, vitunguu na spinach on daily basis kama dawa, aidha vibichi, kwenye juisi au vipikiwe ila visiive sana. Lakini napata challenge kutunza hoho na...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
kitalembwa aliombaa hii Kwanza muandae kuku wako au samaki vizuri mimi nilipata kuku wa kisasa nika mkata nusu kama hivi Kwanza nilimuwekea viungo Food color Tangawizi ya kusagwa na chumvi...
38 Reactions
167 Replies
2K Views
Umeingia zako Restaurant na kuletewa huu msosi je unaupa asilimia ngapi?!
2 Reactions
0 Replies
170 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…