Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hellow simba pole leo mlikuwa mnakomaa kiume na tumejua kuwa bila marefa hamtoboi 😂 Turudi class Kwanza andaa mchele wako vizuri chambua kama unaweza kuloweka loweka mimi sikuloweka kwasababu...
10 Reactions
39 Replies
563 Views
Uzi maalumu kwa wanywa cocktail na mocktail, karibuni tujumuike kujua nini unapenda zaidi na kwanini unakipenda hicho kinywaji!. Kwa ambao hawajaelewa Mocktail ni vinywa vinavyoandaliwa ila...
6 Reactions
72 Replies
885 Views
Wadau hamjamboni nyote? Huu ni ushuhuda wangu kuwa Mimi ni mlaji mzoefu wa mihogo ninapoamka asubuhi Leo asubuhi nimekunywa kahawa ya maziwa, mkate uliopakwa pinatibata na bluu bendi, tumbo...
5 Reactions
16 Replies
339 Views
Na vipi, uliishia kuwa mpenzi wa kahawa au hukuipenda?
5 Reactions
49 Replies
592 Views
Wasalaam, "I'm not saying I'm addicted to coffee, but I don't know what I'd do if I couldn't get my daily cup of caffeine" I've been up since the crack of dawn, YES! I'm an early bird, not...
7 Reactions
22 Replies
442 Views
Hope mko poa mshamba_hachekwi aliomba nipike kashata so leo morng nikaenda mjini nikatafute mahitaj yangu nikaona ufuta nikakumbuka Wakati nanunua vitu bhna si nikakutana na wamasai...
9 Reactions
36 Replies
439 Views
Hope mpo Vyedi kabisa Jana nilikuwa na hamu ya makande nikaamua kuyachemsha jana usiku wakat naangalia tv nikawasha jiko la mkaa nikaweka makande yakawa yanaiva pole pole mda wa kulala ulipofika...
17 Reactions
145 Replies
2K Views
ephen_ aliomba nimuonyeshe jinsi ya bagia za dengu zinavyo pikwaa Nilikuwa na shughuli za hapa napale uku naangalia mpira wa yanga tukashinda uku nanyoosha Nikawa nawaza chakula jion...
19 Reactions
106 Replies
1K Views
Heshima zenu wote. Niliwahi kusikia ya kwamba ndugu zangu Wakristo - Wasabato (samahani kwa kutaja dini, lakini kwa nia njema kabisa) huwa wanafundishwa mbinu za mapishi ikiwamo kuandaa vyakula...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Leo bhna morng naamka umeme wakakata siku nzima TANESCO mnatukosea af mnauza umeme Basi nikawa sina chakufanya ukifikilia uku kwetu ni porini kwenda mjini ni KM Nilianza kuchemsha nyama...
25 Reactions
130 Replies
2K Views
Imeshawahi kukutokea umepata hamu ya kula chakula flani na huwezi kutulia mpaka ukipate? Imenitokea leo, usiku huu nimeanza kupika vitumbua vya nazi na iliki maana sijisikii kula kitu chochote...
10 Reactions
76 Replies
1K Views
Haya ndio makabila na vyakula vyao pendwa 1.Mpare -makande 2.Msukuma-Ugali 3.Mhaya-Ndizi 4.Mnyakyusa-Parachichi 5.Mmatumbi-Wali 6.Mluguru-Mlenda 7.Mchaga-Kitimoto 8.Mmakonde-Ming'oko...
0 Reactions
4 Replies
368 Views
Haya kama ulikuwa unataka kufahamu pishi fulani namna ya kuliandaa ili kulifanya futai na lisilo futari niulize ikiwa nalifahamu nitakujuza hapahapa namna lipikwavyo. Karibu.
6 Reactions
41 Replies
36K Views
unga lishe ni unga kwaajili ya chakula ulio na mchanganyiko wa viini lishe vyote muhimu. mara nyingi unga huu hutumiwa kuandalia uji .wakati mwingine utengenezaji wa unga huu huzingatia walengwa...
3 Reactions
5 Replies
16K Views
Hii ramani ya Afrika ikionesha nchi pamoja na chakula Kikuu cha taifa husika.
0 Reactions
13 Replies
434 Views
Lamomy aliniomba nipike pilau ila mambo yakaingilia leo nikapata nafasi kwanza nialianza kuanda viungo pamoja na kitunguu swahumu, hoho,karoti na kitunguu maji Wakati uho nilikuwa nimekata...
37 Reactions
165 Replies
2K Views
Niko Mwanza kitaliii…. wapi napata kitimoto nzuri ya kuchoma
3 Reactions
80 Replies
3K Views
weekend napenda kutengeza beats kwasababu kuu moja katika ya wiki naweza rudi nimechoka na njaa nikakosa cha kula beats zikanisev nikala nikalala weekend hii niliamua kutengeneza kokoto...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu kwema? Leo nataka nikufundishe kuiandaa sos ya nyama kwa kabla hujaichoma aidha mishkaki au aina yoyote ya kuchoma au kukaanga (fried). Code tunazotumia ni product maujanja ya ya kiczech...
3 Reactions
10 Replies
365 Views
Back
Top Bottom