Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Kula matunda na mboga fresh ni nzuri kwa afya yako lakini kuna vimelea vinavyoweza dhuru afya yako. Jifunze dondoo za usalama wa chakula ufurahie chakula chako. ☞Matunda 🍓🍎🍉🍌na 🥬🥗 huongeza...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenuuu...hata Mimi nilihangaika kweli kujifunza mapishi ya ubuyu...haki..nilishaharibu sukari yangu Mara kibaooooo lkn ckukata tamaa! Sasa ni hiviii Mahitaji: Sukari kilo moja Ubuyu vikombe...
3 Reactions
12 Replies
17K Views
hello wapenzi mnaopenda kula vizuri Leo nataman tushee hili tunda la stafeli !ni tunda pendwa na adimu kias chake !tumezoea kutengeneza juice za maembe,nanasi,parachichi hebu leo tutengeneze...
8 Reactions
119 Replies
50K Views
Mahitaji Viazi mbatata 4 Cabbage 1/2 Carrot mbili Vitunguu maji viwili Pilipili ukipenda Chumvi Jinsi ya kupika, Viazi vikate vidogo sana Kata mboga zote Weka mafuta kwenye stir frayer Anza...
2 Reactions
21 Replies
8K Views
Wanajamvi habari za leo? Poleni sana na majukumu ya kujitafutia kipato Lakini poleni sana kwa ndugu walipoteza wapendwa wao kwa ajali ya moto huko Morogoro. Leo napenda kupata maelezo ya kutosha...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimebahatika kutembea nchi kadhaa Europe, Asia and Americas; pia ni mpenzi wa kutazama vipindi vya mapishi kwenye dstv ch 175. Ambacho nimejifunza ni tofauti ya dhana nzima ya mlo kwa nchi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari, Ningependa kujuzwa dhana halisi ya mlo kamili. Ili binadamu awe amekula mlo kamili yampasa azingatie ama ajumuishe vyakula vya aina gani. Najua kama kuna makundi tofaut ya vyakula kama...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mwenye ujuz naomb msaada tafadhar, nimejarb kutengeneza bisi za rangi, mara ya kwanza zikatoka vzr kbsaa, ila baada ya hapo mara zote tatu zimeungua hata kabla ya kupasuka na zikipasuka hazifai...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habarini wana jamvi. Mwenye kujua namna ya kuandaa na kupika prawns msaada tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eeeh bwana eeh ebu tujuzane misosi mitamu ambayo ukila unajiramba, mimi Nikola wali samaki hunitoi kabisa sijui nyie
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Wana Jf, Watu wengu hupendelea sana kula Pilau siku ya Ijumaa, huu utamadumi umetoka wapi na nani mwanzilishi wa utamaduni huu. Kwanini watu huamua kwua ijumaa tu ndio siku ya pilau. Mwenye...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
*****Mahitaji***** 1)Kuku 1 2)kitunguu maji 1 kikubwa 3)Pilipili boga (hoho) 1 4)Kitunguu saumu na tangawizi 1tsp 5)mbatata 5 (viazi) ndogo 6)Spices upendazo 7)nyanya zilosagwa 4-5...
12 Reactions
149 Replies
12K Views
Ni nini kitatokea!?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
sijui kama nimevumbua au huwa ipi ila nimejaribu imekubalika. Nimefika home nimechoka, na sikuwa na wakunipikia na siwezi kula mabarabarani. nikachukua sufuria nikamwaga mchele mkavu, nikaweka...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Basi bna inatokea jikoni Kuna chombo kinakuwa kimechooka ila hakitupwi na sio kwamba hakuna kingine basi tu Mimi hiki kimwiko nakipenda sana nisipokipikia naona kama chakula sio
6 Reactions
41 Replies
11K Views
Je ni upi Mchakato sahihi wa kuandaa soya kwa ajili ya maziwa ili kumuepusha mtumiaji na side effects za soybeans,? maana nimesikia na kusoma Mengi kuhusu maharage ya soya ,sokoni yapo maharage...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Jamani jamani ! Utamu wa kongoro una siri yake . Maandalizi ya kongoro ni shida. Nyembe , visu na nyenzo kadhaa chafuchafu hutumika kuandaa chakula hicho pendwa hasa nyanda za kaskazini mwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za leo. Naomba kuuliza ulaji wa betroot yakuchemsha au kusaga juice, kwa njia ipi hapo huongeza damu kwa haraka zaidi? Asanten
0 Reactions
7 Replies
3K Views
My today thought as one among many Men out there.. "It’s absolutely unfair for women to say that guys only want one thing: sex. We also fancy food."
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale tuliyoipa nyama mgongo, pilau ya mayai iko poa kabisa. Unachemsha mayai na kuyamenya. Unayaweka kwenye pilau baada ya mchele na kuacha mchele ukauke. Kata kachumbari ya kitunguu...
6 Reactions
17 Replies
7K Views
Back
Top Bottom