Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wakuu habari za jioni nilikua naomba kujuzwa. Kwa kiwango hiki cha unga kilo 25 ni sawa kutumia mafuta liter 10 kwenye mapishi ya maandazi. Natumia unga wa Azam wa maandazi. Na vip hakuna maujanja...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu na poleni na majukumu Naomba msaada wenu wa hasa kina dada mniandalie ratiba rahisi ya chakula ya hata siku 5 za juma,niko huku camp sasa mambo ya kujipikia yanakuwa tatizo kidogo...
1 Reactions
39 Replies
55K Views
Nimekumbana na birian hili sehemu Fulani..... Syo kama yale mabirian wnayoyanadi kwa kutumia makalio! Ova
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Cake ya 1kg Mahitaji: Unga g 250 Sukari g 250 Vegetable oil 250g Baking powder 2tsp Baking soda 1tsp Zabibu kavu Chumvi kidogo Cocoa 75g Kahawa 1cup(chemsha maji yachemke ndo uweke 2tsp ya kahawa...
5 Reactions
14 Replies
6K Views
Ni tamu ninesharudia second serving
5 Reactions
29 Replies
6K Views
Asalaam Alaykhum. Za jioni wapenzi wa mahanjam, masotojo, madiko-diko,. wale wapendao kula vilivyo bora na sio bora kula tuu nawasalim tenaa "asalaam Alaykhum, waalaykhum salaam"😊 Haya, mida ndio...
9 Reactions
43 Replies
4K Views
Wakuu hili jambo karibia wengi tuliopitia ubachela na hatukuwa tunaishi na wazazi basi tumelipitia sana. Kipi kinamaliza sana pesa ?
4 Reactions
218 Replies
23K Views
Lishe ya watoto imekuwa changamoto sana Vitoto vinane epeshwa tu wazazi wakidhani ndo afya Tutupie mapishi mbalimbali ya vyakula na juice za watoto hapa Leo dogo nampikia kama hivi
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Naimani sote humu tushawahi kula hiki chakula/mboga ya maharagwe. Binafsi ni mpenzi sana wa chakula hiki, na huwa nafurahiaga sana kikipikwa vyema kwani kina ladha isiyo kifani. Kuna sehemu...
0 Reactions
19 Replies
14K Views
Habari zenu wapendwa, amani iwe nanyi Kwa kuanza bandika sufuria lako la maji jikoni ila maji yanatakiwa yawe mengimengi kuzidi kiasi cha mchele tofauti na ule wali wa kukadilia maji kutokana na...
4 Reactions
26 Replies
15K Views
Habari wana Jamvi Nahitaji kujua hatua kwa hatua namna ya kuandaa mpakaa kukaanga ndizi mzuu mpaka zinaku crisps. Nawasilisha Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
23 Replies
12K Views
MAHITAJI Unga uliyotayarishwa tayari kwa kupikwa (pakiti moja - 500g) Mayai matatu Mafuta ya kupikia 80ml Maji safi 200ml Butter kiasi Kwa ajili ya topping Nunua chokolate yenye karanga...
1 Reactions
5 Replies
33K Views
Mamboo wapenzi wa mahanjam, mambo matam matam ya jikoni, mambo ya chakula kizuuuri chenye ladha isiyo chosha... Asalam Alaykhum. Leo nataka tujifunze mboga hii jinsi ya kuitengeneza na kuipika...
18 Reactions
164 Replies
19K Views
Wale wataalam wa kupika naomba mnupe shule ya kupika makange ya kuku wa kienyeji. Leo natamani nijipikie msosi mtam mwenyewe nyumbani, natamani iwe makange au kitu kingine kizuri. Naombeni namna...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Maandalizi; dakika 5 Muda wa kupika; dakika 10 Muda jumla; dakika 15 Mahitaji 1. Ndizi mzuzu tatu kubwa 2. Vijiko 4 vya chakula chenga za mkate 3. Mafuta ya kutosha ya kukaangia 4. Chumvi au...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Chemsha yai Likiiva limenye Likate vipande vidogo vidogo Changanya na mayonnaise Oka mkate na upake mchanganyiko wa yai juu yake Unaweza kutengeneza sandwich 🥪 ya kuendea kazini au picnic.
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii ni AIR INDIA flight from Mumbai To London, kama unavyoona hapo msosi unajumuisha kitu cha SEMBE. Ngoja nikate ticket ya ATCL nikaone kama kuna hii kiyu.
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Ni kaka wa ndizi, hupikwa zikiwa mbichi au zimeiva. Zina kiwango cha potassium mara mbili zaidi ya ndizi za kawaida Jinsi ya kupika mzuzu wa nazi Mahitaji Ndizi 6 Nazi Iliki Safron Unga wa...
7 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari zenu, Wengi wetu tukimenya vitunguu maji na kuvikatakata mara nyingi tunatoa machozi. Sasa chukua kikombe au bakuli tia chumvi na maji halafu weka pembeni huku ukikatakata vitunguu vyako...
2 Reactions
21 Replies
10K Views
Sometimes tunajikosesha lishe kwa kuogopa watu watatuonaje. Nimegundua kuwa wengi bado tunapenda vyakula tulivyopenda utotoni sema kujivunga na kukimbilia mijunk. 1.Usione aibu kununua vibama...
5 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…