Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Wataalam wa mapishi naomba mnielekeze mbona nikila sehem za watu vyakula vyao vinanukia na vina ladha safi,,au unakuta unapita sehemu unasikia mtu anaunga mboga inanukia balaa mpaka hamu ya kula...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari zenu wana jf!! Nimatumaini Yangu kuwa muwazima.. Naomba msaada jinsi ya kutengeneza barafu za vijiti... Natanguliza shukran zangu
1 Reactions
23 Replies
33K Views
Mkate unaweza kuiva kwa kupikia kwenye microwave?
1 Reactions
7 Replies
12K Views
Mapishi – Ndizi Mshare na Nyama Mapishi yetu ya leo yatakuwa ni ndizi mshare (wengi wanapenda kuziita ndizi moshi) na nyama ya ng'ombe. Mahitaji · Ndizi Mshare mbichi 16 ·...
4 Reactions
4 Replies
6K Views
MAHITAJI ( Chakula hiki kinatosha watu 3 hadi 5 ) 600 gram mchele wa basmati basmati 1 Kuku mzima ( toa ngozi na kata vipande vikubwa kama kwenye picha) 6 Vitunguu umbo la kati 15 Gram kitunguu...
2 Reactions
72 Replies
15K Views
Mi sea food sikubali kabisa,labda za majani ila sio hawa wadudu!
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari wana JF, Karibuni tujuzane futari unayopenda kula mwezi huu wa Ramadhani. Kwa upande wangu napenda sana tambi na maharage alafu na mchuzi wa samaki.
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Mchanganuo wa jinsi ya kupika vitumbua Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele,nyama,samaki,tambi,mtama nk. Kiasili vitumbua ni chakula ambacho...
5 Reactions
101 Replies
66K Views
Half cake nimepik unga ulikuw mgumu tu ila zilivyoanza tu kuvimba jikoni zimepasukana ovyo ovyo hamn ilotoka nzima naomba msada tafadhali anaejua kupika half cake nimekosea wap au baking powder...
2 Reactions
66 Replies
9K Views
..,.........habarini wadau,,,,,,, Naimana kuna mahali ushawahi kupita ukasikia wali unanukia vizuri sana(achana na harufu ya wali wa msituni [emoji23] ) [emoji626] hakikisha pale unapopika wali...
20 Reactions
103 Replies
38K Views
Habari zenu wakuu, Kama kichwa cha habari hili ndo chimbo linalosumbua mjini kwa wastaarabu. Wafanyakazi wa hapa wanavaa kwa heshima na ni wachangamfu. Pametulia hakuna makelele sana. Kuna nyama...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Maharage meusi ni chakula maarufu huko Latin America. Niliyaona dukani na kuyanunua. Baada ya kuyachemsha nilikuta mafuta yametanda juu. Yana virutubisho vingi ikiwa ni calories, iron...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Hasa kwa wale wenye excess body fatty, unataka kuiacha ipungue kwa metabolic process naturally. Kula cabbage au cauliflower kama main meal. Unaweza kuweka nyama au samaki juu yake kama mboga ya...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu habari. Nimejikuta nimebaki mwenyewe home baada ya shule kufungwa na nina nyanya nyingi kwa fridge. Naomba kujuzwa jinsi ya kutengeneza pilipili ambayo itakaa kwa muda mrefu kwa fridge bila...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Helow Wakuu Nina binti yangu anapendelea haya mambo ya mapishi nimempeleka akajifunze ufundi nguo amemaliza yupo vyema ila bado akili zake zinahitaji kujifunza upishi Mwenye kutambua chuo...
1 Reactions
4 Replies
11K Views
Wanajukwaa naomba kujuzwa jinsi yakuandaa pishi hili nalipenda sana Cc farkina
0 Reactions
13 Replies
18K Views
Kila nikipika keki wanaokula wananiambia haijachambuka ila uiva vizur tu na muonekano wake mzuri naomba kujua tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kila nikipika keki wanaokula wananiambia haijachambuka ila uiva vizur tu na muonekano wake mzuri naomba kujua tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Kila nikipika keki wanaokula wananiambia haijachambuka ila uiva vizur tu na muonekano wake mzuri naomba kujua tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
513 Views
Habari wandugu, aisee nahitaji kujua kama hili swala nimeliona peke yangu tu au? maana nimegundua chakula ni kikipasha kwa kutumia microwave ladha inabadilika kabisa, yaani kinakuwa kama kinakosa...
1 Reactions
30 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…