Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
This could be helpful, know more about your computer. Ctrl+A - Select All Ctrl+B - Bold Ctrl+C - Copy Ctrl+D - Fill Down Ctrl+F - Find Ctrl+G - Goto Ctrl+H - Replace Ctrl+I - Italic Ctrl+K -...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau wapishi habari zenu Nilikuwa nauliza hivi frying pan za chapati zile zenye mishikio ya plastiki ngumu za dukani zipi imara hazishiki kutu halafu hivi haya makangio ya chapati...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Ni vyuo ganii ambavyoo vinatoaa mafunzo kama ya vetaa????
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Mti mbenge ni mti ambao unamahusiano zaidi na maji na unapoota au kupandwa eneo hlo lazima patokee chemchemu ndogo ambayo watu wataweza kuchimba kisima na kujipatia maji. Labda naomba kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
990 Views
Karibu katika jiko na mapishi, na leo tutajifunza kupika pilau la nyama ya ng`ombe. VIPIMO, Mchele 2kg Nyama ya ng`ombe 1k Pilpilihoho 1kubwa Nyanya 3kubwa Vitungu maji 2vikubwa Thomu...
3 Reactions
19 Replies
20K Views
Jamani naomba msaada wa namna ya kupika pilau la kuku kesho, la watu kuanzia watano
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Haya jamani leo ni siku nyingine ambayo ninataka tupike mkate kwaajili ya familia. Mkate ni chakula ambacho huliwa wakati wa kufungua kinywa.hupikwa kwa kutumia unga wa ngano ama wa muhogo lakin...
16 Reactions
435 Replies
179K Views
Habari za wakati huu wana jamvi lengo la kuweka uzi ni kufundishana hatua kwa hatua namna ya kutengeneza ice cream za ubuyu kwa yoyote yule anayefahamu tafadhali tupeame uzoefu. Mahitaji muhimu...
0 Reactions
4 Replies
14K Views
Habari wadau, Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao. Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa...
10 Reactions
54 Replies
7K Views
Vitunguu vina aina mbalimbali za ukatwaji,viwe vikubwa ,vidogo,saiz ya kati
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Naomba tuchangie hii mada kuna umuhimu wa kuchanganya nafaka zote sita au hata tano kati ya hizi ? mf ulezi mahindi uwele mtama ngano kwa wakati mmoja wakati wa kuandaa lishe ya mtoto...
1 Reactions
11 Replies
18K Views
WALI WA BIRIANI Mchele kilo 1 Nyama kilo 1 Samli ½ kilo Mbatata ½ kilo Vitunguu maji kilo 1 Thomu gram 150 Tangawizi mbichi gram 150 Hiliki gram 50 Mdalasini gram 100 Mtindi painti 1...
0 Reactions
8 Replies
11K Views
Habari wanaJF, Naomba kwa yeyote anafahamu jinsi ya kuunga maharage matamu yenye radha nzuriiii anisaidie kwani ujuzi unatofautiana. Asante..
1 Reactions
14 Replies
71K Views
Chakula unachokula ni kitu muhimu sana. kinaweza athiri siku yako nzima kwa upande hasi au chanya. ukipata breakfast nzuri nzito yenye mchanganyiko wa virutubisho. unachobakiwa kufanya muda wote...
3 Reactions
18 Replies
6K Views
Napenda sana kula vyakula jamii ya ngano kama; 1. Chapati 2. Maandazi 3. Half cakes 4.Tambi 5.Napenda mboga kama maharage, samaki sato, mchuzi mzito wa kuku 6.Napenda nyama ya kuku...
8 Reactions
174 Replies
29K Views
Kwanza tuelewane hapa ni mapishi two in one wali ulioonyoka(basmati rice namanisha basmati siyo ile ya shinyanga ukiichemsha inashikamana kama ugali ) na ule mchuzi wake mzito MAHITAJI YA MCHUZI...
29 Reactions
101 Replies
79K Views
Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na...
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Naomba maelezo ya kutengeneza zile chapati za kufungia sambusa, Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Makaroni nichakula jamii ya Tambi,ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kupika siku za jumapili ninapokwepa kukaa jikoni kwa muda mrefu. makaroni ya nyanya na nazi Mahitaji Makaroni mfuko 1...
10 Reactions
27 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…