This could be helpful, know more about your computer.
Ctrl+A - Select All
Ctrl+B - Bold
Ctrl+C - Copy
Ctrl+D - Fill Down
Ctrl+F - Find
Ctrl+G - Goto
Ctrl+H - Replace
Ctrl+I - Italic
Ctrl+K -...
Wadau wapishi habari zenu
Nilikuwa nauliza hivi frying pan za chapati zile zenye mishikio ya plastiki ngumu za dukani zipi imara hazishiki kutu halafu hivi haya makangio ya chapati...
Mti mbenge ni mti ambao unamahusiano zaidi na maji na unapoota au kupandwa eneo hlo lazima patokee chemchemu ndogo ambayo watu wataweza kuchimba kisima na kujipatia maji. Labda naomba kama kuna...
Karibu katika jiko na mapishi, na leo tutajifunza kupika pilau la nyama ya ng`ombe.
VIPIMO,
Mchele 2kg
Nyama ya ng`ombe 1k
Pilpilihoho 1kubwa
Nyanya 3kubwa
Vitungu maji 2vikubwa
Thomu...
Haya jamani leo ni siku nyingine ambayo ninataka tupike mkate kwaajili ya familia.
Mkate ni chakula ambacho huliwa wakati wa kufungua kinywa.hupikwa kwa kutumia unga wa ngano ama wa muhogo lakin...
Habari za wakati huu wana jamvi
lengo la kuweka uzi ni kufundishana hatua kwa hatua namna ya kutengeneza ice cream za ubuyu kwa yoyote yule anayefahamu tafadhali tupeame uzoefu. Mahitaji muhimu...
Habari wadau,
Aisee wakuu, kuna watu wanapenda kula kula yani utakuta ratiba yake ya siku ameshakula makorokoro kibao.
Utakuta asubuhi saa 1 kanywa chai na kiporo , alafu ikifika saa 4 anakunywa...
Naomba tuchangie hii mada
kuna umuhimu wa kuchanganya nafaka zote sita au hata tano kati ya hizi ? mf ulezi mahindi uwele mtama ngano kwa wakati mmoja wakati wa kuandaa lishe ya mtoto...
WALI WA BIRIANI
Mchele kilo 1
Nyama kilo 1
Samli ½ kilo
Mbatata ½ kilo
Vitunguu maji kilo 1
Thomu gram 150
Tangawizi mbichi gram 150
Hiliki gram 50
Mdalasini gram 100
Mtindi painti 1...
Chakula unachokula ni kitu muhimu sana. kinaweza athiri siku yako nzima kwa upande hasi au chanya.
ukipata breakfast nzuri nzito yenye mchanganyiko wa virutubisho. unachobakiwa kufanya muda wote...
Napenda sana kula vyakula jamii ya ngano kama;
1. Chapati
2. Maandazi
3. Half cakes
4.Tambi
5.Napenda mboga kama maharage, samaki sato, mchuzi mzito wa kuku
6.Napenda nyama ya kuku...
Kwanza tuelewane hapa ni mapishi two in one wali ulioonyoka(basmati rice namanisha basmati siyo ile ya shinyanga ukiichemsha inashikamana kama ugali ) na ule mchuzi wake mzito
MAHITAJI YA MCHUZI...
Tafadhali wana jamvi,mwenye kujua namna ya kupoka chakula cha utumbo chukuchukuku na chapati za maji anisaidie,Nimetumia neno chukuchuku nikiwa na maana (isiwe na mafuta wala maviungo viungo mengi)
Ndugu zangu mimi ni mpishi ninaependa kupika na pia kula vyakula vilivyoandaliwa kwa afya nimesoma na kuona kuwa matumizi ya viungo kama hamira baking powder na bicarbonate soda na vanilla na...
Naomba maelezo ya kutengeneza zile chapati za kufungia sambusa,
Ni kwamba hiyo kitu nilikuwa nikijua siku nyingi zilizopita nikiwa bado kijana enzi hizo nipo hapo Pwani ya Tanzania, kwa sasa...
Makaroni nichakula jamii ya Tambi,ni moja kati ya vyakula ambavyo napenda kupika siku za jumapili ninapokwepa kukaa jikoni kwa muda mrefu.
makaroni ya nyanya na nazi
Mahitaji
Makaroni mfuko 1...