Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Nipende kuwatakieni heri ya Christmas na mwaka mpya wanajf wote! Imezoeleka kupika vyakula vile vile kwenye sikukuu kubwa kubwa ! Leo tugeukie upande wa pili wa nyama ! Firigisi ni nyama tamu...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana. Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu. Mathalani unamuona mtu...
3 Reactions
69 Replies
37K Views
Tembea uya one. “sio nyumba zilizo pandiana hapana ni maghorofa.” Hivi kumbe kuna Ugali wa nazi ? Yani ugali umepikwa kwa nazi ? Aise ! Jana nili ula huu ugali. Nimeamua huu ndio Ugali wangu...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Nauliza aliyewahi kunywa inaradha gani?
1 Reactions
27 Replies
13K Views
Sumu mwilini hutokana na vile vitu au vyakula ambavyo binadamu hutumia huenda kwa kujua au kutokujua. Sumu hizo pia huweza kuchangiwa na matumizi ya yasiyosahihi ya dawa mbalimbali. Miongoni mwa...
4 Reactions
17 Replies
16K Views
Naomba kwa yeyote anayeweza kupika hicho kitoweo anifundishe. Nilibahatika kukila huko duniani nikakipenda. Sijui jina lake kwa Kiswahili. Shida yangu ni jinsi ya kukipika. Asanteni.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani imekua ikinitokea Mara nyingi nikinywa supu ya ng'ombe. Nakua mchovu sana.hadi nimeanza kuogopa kunywa supu.je Shida inaweza kua nini.??? hata hapa naandika nikiwa Niko mchovu sana baada...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari wana jf naomba kujuzwa jee hivi chai ya kijani(green tea) ndiyo ule mchai chai unaopatikana sehemu nyingi ambao ukiuchemshia na maji chai inabadilika rangi au chai ya kijani ni ipi. ??
1 Reactions
16 Replies
15K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu, watu wengi wanapenda kunywa chai na vitafunwa vya aina mbalimbali, ikiwepo mikate, maandazi, vitumbua, sambusa, nk. Lakini kitafunwa cha...
5 Reactions
35 Replies
6K Views
Salaam! Imekuwa desturi yangu sasa kula hizi karanga,in short tuseme niko addictive. Hivyo basi ningependa kujua siri ya upikaji wa hizi karanga na mimi nitengeneze mwenyewe. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
18 Replies
10K Views
Jamani kuna jambo linanikera kwelikweli, Kuna kasumba imeota mizizi kwa sasa, sijui niseme wanawake hawajui kupika au wanadhani wanaume tunapenda mafuta sana. Hii tabia ya kumwaga mafuta kwenye...
15 Reactions
80 Replies
8K Views
Mahitaji Kuandaa mkate huu tutakuwa na mahitaji ya aina mbili tofauti. Mahitaji kwa Unga wa mkate Unga wa ngano, kilo 1 Maziwa ya unga vijiko 2 vikubwa Hamira kijiko 1 cha chai Mayai 2 (Moja la...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu, Naomba kwa wanaofahamu spiriti inayowekwa katika vyakula hasa bidhaa ili zisiharibike (preservative) anipe maarifa zaidi. Asante
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Siku mojamoja jaribu kupata kitu cha tofauti na kile ulichokizoea, ama ukiwa outing ama unapata dinner au lunch, naamini nyumban waweza kupika vyakula vya aina nyingi sana lakini inawezekana hivi...
6 Reactions
48 Replies
17K Views
Habari wapendwa. Leo nawaletea pishi la mlenda wa bamia bila kuweka magadi. MAHITAJI: BAMIA MAJANI YA MABOGA AU MATANGO,AU CHINESE KARANGA SUFURIA KIJIKO MPIKICHO AU MWIKO JINSI YA KUNDAA CHAMBUA...
3 Reactions
20 Replies
14K Views
Jamani nahitaji kula ugali nina mtama,mahindi na ngano wadau naomba uwiano wa kuchanganya nafaka hizo asanteni
0 Reactions
5 Replies
11K Views
KUSEMA KWELI MIMI NAJUA KUPIKA KIAINA.KATIKA FAMILIA NI WALE WATU AMBAO KAMA KUNA MNUSO LAZIMA NIPANGWE JIKONI .JAPO SIO KWAMBA MIMI NDO TOP NIPO KAMA NAMBA TATU HIVI KATIKA WANAWAKE SITA SO SIO...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Mchanganyiko upi unafaa kwa ajili ya uji wa lishe kwa mama anaenyonyesha?
0 Reactions
5 Replies
20K Views
Naomba kuuliza kwakuwa mimi mgeni vyakula vya mjini. Hivi yale majani ya kotmir yanawekwa kama mapambo kwenye chakula yanaliwa au ni urembo
1 Reactions
7 Replies
13K Views
Habari ya wakati huu. Wakuu, najifunza kupika baada ya kuamua kupunguza kula migahawani. Naomba kujua viungo au namna tofauti tofauti za kupika nyama au samaki. Namaaniaha viungo vya kuweka...
1 Reactions
34 Replies
54K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…