Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Hellow bosses natumia hapa Jf kuna mabingwa wa sheria nilikua naomba muongozo wa kusajili na kuendesha hizi campuni za multination =.=.=.=.=.=.=.=
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Mimi si mwanasheria lakini marafiki zangu wengi ni wanasheria na nimeshuhudia mijadala mingi ya wanasheria. Lakini nilichogundua katika practice (siyo fani) ya wanasheria ni kwamba huwa inafika...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu wana jf naomba nifahamishwe stahiki anazopaswa kupewa mtu aliyeachishwa kazi.
0 Reactions
13 Replies
23K Views
Naomba mnifahamishe chuo cha sheria kinachotoa certificate kwa Dar es salaam ni chuo gani na kipo wapi?
0 Reactions
8 Replies
33K Views
Huruma ya Mkuu wa nchi inahitajika mahala pengi hasa ukizingatia mazingira ya mkosaji. Familia zinapata shida wazazi wanapoachishwa kazi. Ni kweli Wafanyakazi waliokuwa wamefoji vyeti vya shule...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Wakuu mje mtusaidie hapa sisi vilaza wa sheria,kumekuwa na kawaida ya watumishi wa umma kuviziwa wakiwa wamesinzia kwenye viti na kuwapiga picha kama ushahidi wa kutumbuliwa,kibiologia kusinzia...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu? Mtu fulani alifungua kesi ya madai dhidi ya mtu mwingine. Mdai alishindwa kutoa ushahidi wowote ingawa mdaiwa aliwaita mashahidi watano (wawili kutoka serikalini). Mwishoni wasaidizi...
0 Reactions
8 Replies
973 Views
IJUE SHERIA Imeandaliwa Na. Jose[emoji23][emoji23] Jukwaa la Sheria (The Law Forum) Taratibu za mwenendo wa makosa ya jinai TARATIBU ZA MWENENDO WA MAKOSA YA JINAI. HATUA YA 1. Nini maana...
8 Reactions
7 Replies
6K Views
Tafadhali wanasheria waliopo humu naomba mnisaidie kupata sheria ya elimu na. 25 ya 1978 katika mfumo wa PDF. Unaweza nitumia kwenye email :wankyo2017@gmail.com au whatsapp 0788218638 au ukaweka...
0 Reactions
6 Replies
21K Views
Wakuu, Kwa mujibu wa mwongozo uliotolewa na HESLB kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2015/2016, wanafunzi wa Law School of Tanzania sasa wanaweza kuomba mikopo Bodi....Sehemu ya 2.15...
2 Reactions
2 Replies
25K Views
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili...
2 Reactions
46 Replies
4K Views
Naanzia wapi kuwachukulia sheria hawa watu? Maana wamekuwa kero sana kwangu,nimewachoka Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Habari ya jioni. Kama kichwa cha mada kinavojieleza nnaomba niende moja kwa moja kwenye mada. Nilikubaliana na rafiki yangu kuwa tushirikiane katika biashara ya uwakala. Yeye akaleta line ya till...
0 Reactions
3 Replies
813 Views
Hello wana jamvi, Nina suala naomba usaidizi, bwana mdogo anafanya biashara ya TIGO pesa, mwezi mmoja uliopita alipoteza pesa kiasi ki kubwa kwa kukosea kutuma MUAMALA ipasavyo kwa bahati nzuri...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeachishwa kazi na mwajiri na akanipa clearance form, nimefanya clearance na kukabidhi kila kitu, jambo ajabu kaninyima barua ya kuniondoa kazini. Anadai eti ataniita kwenye kamati ya ajira na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu yamemfika. Habari kamili ni kuwa waliandikiana mkataba na kandarasi ili a supply material katika site iliyopo Rukwa. Huyo bosi mndarasi alikuwa Mbeya (anakoishi). Hivyo wali...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi hii kitu haiapply kwenye sheria zetu! mtuhumiwa anahojiwa na polisi publicly... anaropoka! coercive interrogation tactics kwa mtuhumiwa....inatufundisha nini kwa RAIA juu ya haki za...
1 Reactions
5 Replies
884 Views
Nawasalimu wanajf, Naandika nikiwa na majonzi, huzuni na masikitiko moyoni na usoni. Katika harakati za hapa na pale, nilikutana na mdada ambaye baadae katika kufunguka aliniambia kuwa ni mke...
0 Reactions
88 Replies
12K Views
Waungwana,naomba muongozo wa kisheria. Mitaani katika jiji la Dar kuna operesheni za usafi wa mazingira nyumba kwa nyumba. Kuna msafara wa askari wengi wakishirikiana na SUMA JKT wanapita kwenye...
0 Reactions
10 Replies
859 Views
Hivi kuvaa nguo inayotaka kufanana na sare za jeshi kama hiyo kwenye picha ni kosa kisheria? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…