Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Huyu mtu aliye jenga nyumba anakuwa ametumia fedha nyingi sana kujenga nyumba. endapo anataka kuitumia kibiashara ni haki gani za msingi anazotakiwa kupewa mpangaji na ni haki gani za msingi...
0 Reactions
6 Replies
16K Views
Nina mchumba wangu ambaye alimaliza form four 2014, ila sasa ameamua kurudi darasani kama private candidate. Naomba kujua je sheria inayozuia wanafunzi wasibebe mimba na yeye pia inamuhusu? Nb...
2 Reactions
10 Replies
5K Views
MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE*_ na Warioba John. Kulingana na watu kuwa wabunifu wa kutenda dhambi na kuongezeka kwa maarifa, tafiti zinaonesha ukatili wa jinsia unaongezeka na idadi ya talaka pia...
5 Reactions
45 Replies
17K Views
Please im searchn for a law that provides a resident magistrate to seat in District court but not a District magistrate to seat in RM'c..?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Namna ya kuripoti matumizi mabaya ya fedha za umma, naripoti vp?? - JamiiForums Namna ya kuripoti matumizi mabaya ya fedha za umma, naripoti vp?? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
697 Views
Naripoti vp matumizi mabaya ya fedha za umma? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Wana Jamiiforums naomba nielemishwe, hivi Mhe. Hakimu akikataa kujitoa kwenye kesi, nini kinafuata?. Walalamikaji wana nafasi gani kwenye rufaa?.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, inapotokea mtumishi amefuata taratibu zote za kuomba uhamisho, yaani ameomba nafasi ya kuhamia sehemu kupitia kwa mwajiri na akajibiwa kupitia kwa mwajiri kuwa nafasi ipo na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda huu wakuu, natumai mu wazima wa afya. Kama heading ilivyo nahitaji affidavit yenye muhuri wa Mahakama shortly.Isizidi kesho saa 5. Kama Kuna mtu anaweza nisaidia kindly send pm...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
1. Imekua kuaje ndani ya siku 20 vigogo wa Telecoms waliokamatwa na kukutwa na hatia ya uhujumu uchumi wa zaidi ya bilioni moja, tena serial offenders (Halotel, kila siku wanakamatwa) wameachiwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kanisa libadilishe sheria ya Ndoa Na Mwandishi Wetu- WANAWAKE wa kanisa katoliki wamedaiwa kutoziheshimu ndoa zao kwa kutambua kuwa kanisa haliruhusu talaka.Kufuatia hali hiyo inayodaiwa wanawake...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Haya ni mambo ambayo unaweza ukafanya ukajua ni kawaidaa ila ni hatari katika sheriaah 1) UWONGO unaweza ukapigwa nda kuanzia miezi...
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Hivi kwa hali ya kawaida mtu ukimuuliza jambo halafu na yeye akakuuliza neno gani la kwanza anastahili kupata Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
575 Views
Za jioni mawakili wasomi, Naomba msaada wenu wa kupata soft copy ya sheria za barabarani make nahisi kuonewa sana na trafic barabarani. Mpaka sasa hivi nimeandikiwa makosa manne ambayo bado...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Wapendwa, mwenye sample ya mkataba wa makubaliano , please naomba. uhusiane na udalali wa nyumba ya kitu. mkataba uwe unatoka kwa dalali wa nyumba/kitu kwenda mwa muuzaji/mnunuaji. hali imekua...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Kuna kampuni Ngare investment – Wamiliki wa hoteli ya NATRON PALACE iliyopewa uwakala wa kukusanya ushuru wa maegesho ya magari Arusha inawanyanyasa wafanyakazi wake. Tangia wapewe tenda hiyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wanaJF. Naomba kujulishwa juu ya haki zetu wateja was hivi visimbuzi vilivyopigwa pink kuonyesha chaneli za ndani. Je Kwa sisi tuliolipia gharama za mwezi,ili kupata huduma za ndani alafu...
0 Reactions
2 Replies
897 Views
Wadau, Nipo jamvini kujibu maswali kuhusu kuachishwa kazi kwa matatizo ya kinidhamu, utendaji, uhitaji wa mwajiri kimajukumu na namna yoyote. Nakaribisha na wengine kuongeza majibu na maoni yao...
3 Reactions
40 Replies
9K Views
Mzee wangu ambaye kwa sasa ni marehemu ana madai yake ya fidia ya ardhi kwenye mamlaka ya maji DAWASA lakini hawataki kuilipa familia yake.Kwa kifupi ni kuwa DAWASA walipita hawamu mbili kuchukua...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
jina ilo nilipewa toka utoto lkn ni kinyume na imani yangu. naomba kujua taratibu za kuweza kubadili kila mahali lilipo
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom