Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Naomba msaada wa kisheria kuhusu kupigwa tochi sehemu zenye zebra na hazina vibao vya udhibiti mwendo na kuna sehemu zingine hata kibao cha pedestrian crossing ahead hakuna , msaada tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
928 Views
Habari za wakati huu wakuu humu ndani ,jamani mimi naomba kuuliza kwa wanaojua sheria za uhamiaji ,nina rafiki mmoja tulifahamiana sehem ya kazi yeye ni MCHINA sasa nimepata taarifa kuwa...
0 Reactions
2 Replies
978 Views
naombeni msaada wa kupata nyaraka hizi: kanuni za kudumu kwa utumishi wa umma, 2009(standing orders for the public service, 2009) na kanuni za utumishi wa umma, 2003 (public service regulations...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Wakuu habari, Naombeni msaada wenu ni vyuo gani vinatoa stashahada(diploma) ya Sheria nchini Tanzania?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nauliza kuna uwezekano wa mtu aliye pata usajili wa ACPA akabalisha na kupata usajili wa ACPA pp kutoka bodi ya uhasibu na ukaguzi (NBAA)
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nina ujauzito wa mtu ambae baada ya kugundua nina ujauzito akaanza visa vya kunikwepa na kunikana. Sasa naona anataka anitelekeze na kuniachia majukumu mwenyewe. Amesema nijifungue kisha...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Kuna kijana alikuwa akifanya kazi katika kampuni flani ya wachina kama kibarua(hakuajiriwa) katika kufanya kazi akapata ajari na kupoteza mkono wake akiwa anafanya kazi Kampuni ile ilimsaidia...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Hapa mtaani kwetu sasa hivi mnada umeahirishwa. Ilikuwa ipigwe mnada nyumba ambayo wenye nyumba walikopa 10m na dhamana ikawa nyumba. Nyumba yenyewe kwa tathimini ya muonekano inazidi milioni...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
MARA nyingi katika mashauri ya madai, jaji au hakimu huamuru katika uamuzi au hukumu yake kwamba aliyeshindwa amlipe aliyeshinda gharama zote za kesi husika. Au wakati mwingine Mahakama huamua...
2 Reactions
9 Replies
10K Views
Nimenunua gari lakini mpaka linafika redio ilikuwa nzima na ghafla imeharibika. Ninahitaji kujua toka kwa wataalamu wa sheria nikiwa kama nimelilipia insurance comprehensive nahitaji Kampuni ya...
0 Reactions
3 Replies
926 Views
Shahidi wa 20 wa upande wa mashtaka, Celestine Mtobesya, jana aliwapa wakati mgumu mawakili wa upande wa utetezi katika kesi ya mauaji ya mfanyabiashara Erasto Msuya, wakati wa kujibu maswali...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu, naomba kujuzwa kama youtube channel inahusika na kusajiliwa ili itambulike TCRA kwa sababu nimeitafuta application form kwenye website yao lakini sikufanikiwa. Asanteni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
what is statutory law provision and common law position that provide a private trust holding share capital in a company in Tanzania?
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Tueleweshe kama sheria inamruhusu kumfukuza mtu mkutanoni, kumshusha cheo kiholela etc.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mara kadhb imesikika mtuhumiwa kulalamika kukiri makosa yake kwa sababu ya mateso makali alowakuwa akifanyiwa wakati wa mahojiano na polisi. kwa wataalamu wa sheria,"JE SHERIA INASEMAJE JUU YA...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekulia nchi ambayo kila mtu wakubwa kwa wadogo wanahamu kuwa ni mwiko mwiko mwiko kuvuka kwenye taa za rangi nyekundu na taa ya kijani ni salama salama salama always. Kila mtu kuanzia watoto...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwanza nimushukuru Mungu kwa kuonesha haki na kutenga ukweli na uongo. Nichukue pia fursa hii kuwashukuru wanajamvi wote hasa waliotoa mawazo, ushauri na kutoa pridiction juu ya kesi yangu...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Kuna kitu kinanitatiza kidogo kuhusu huu utaratibu wa kukamata na kushitaki mtu kwa madai ya kumpa mimba mwanafunzi. Tuachane na wale wanaobaka na kumpa mimba mwanafunzi, ambao tayari wana kosa la...
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Back
Top Bottom