Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Jaman , Mimi n mfanyakazi katika shule moja ya private hapa dar es salaam , mwajiri wangu ajanilpa mishara yangu zaidi ya 6 mpaka sasa, hataki kuniunganisha HESLB, hataki kuniunganisha na bima...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mzee wangu ambaye kwa sasa ni marehemu ana madai yake ya fidia ya ardhi kwenye mamlaka ya maji DAWASA lakini hawataki kuilipa familia yake.Kwa kifupi ni kuwa DAWASA walipita hawamu mbili kuchukua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtoto wa chini ya miaka 18 ana jela yake maalum,je huyo mtoto akihukumiwa jela labda miaka 10 na kabla hajamaliza kifungo chake akatimiza miaka 18 ya utu uzima,ataendelea na adhabu yake?naomba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mengi yanazungumzwa kuhusu Gerezani, Sasa mimi nahitaji nikajionee, sitaki hadithi. Ni kosa lipi nikitenda, litanifanya niende Jela japo kwa wiki kadhaa? (isizidi miezi sita). Nataka nikapate...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
Naomba kuuliza, nimemaliza shahada ya logistics and transport management na nihitaji kufanya sheria. Je, ni kipi bora zaidi, kuanza shahada ya sheria au kufanya post graduate diploma??
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilinunua shamba mwaka 2014 tuliandikishana ofisi ya kijiji mbele ya mtendaji na Mwenyekiti was kijiji Mwanambaya mkuranga ila mwaka huu naambiwa shamba sio langu na yule alieniuzia kwenda ofisi...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
What is composition jurisdiction and power of the labour court of Tanzania? Msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
838 Views
Mimi ni mkazi wa Mwanza mnamo tarehe 10/07/2017 nilimtumia member mmoja kwenye hili thread ya matangazo madogomadogo yaani wauzaji wa tv amekuwa akinizungusha hela zangu anazo na amekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale ambao wanapenda kujua haki zao wanaweza kupitia hapa kujua kuhusu Sheria za Jeshi la Polisi.
0 Reactions
5 Replies
5K Views
naomba mwenye hii kesi anisaidie TANZANIA BUREAU OF STANDARDS V. ANITA KAVEVO MARO, HIGH COURT, LABOUR DIVISION, 2017. (unreported)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Assallam Alleykum! Poleni na majukumu ya kila siku. Mimi ni mtanzania mwenye leseni ya udereva ya Tanzania ila sasa niko kikazi Zanzibar (Unguja na Pemba) kazi itakayoniweka kwa zaidi ya miaka...
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Siku hizi magari ya serikali yanapota kokote, popote kwa namna yoyote wakati wowote bila ovyo wala wala kalipio toka Kwa yeyote. Kwani Sheria za barabarani zinasemaje kuhusu vyombo vya moto vya...
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Wana JF salamu. Kuna suala hapa LA kisheria kidogo au hata kama sio mtaalamu wa sheria lakini una uzoefu nalo tunaomba mchango wako hapa. swala.1 Katika sheria za kazi (especially) utumishi wa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu, wakuu naomba mtu mwenye sheria mpya ya mafao inayoanza kutumika kesho anipatie
0 Reactions
5 Replies
3K Views
NIANZE KWAKUSEMA BABA ALIKUWA NA WAKE WATATU ILA FAMILIA BABA ALIWEKA MIPAKA.BABA AMEFARIKI TAYARI MAMA WENGINE WAWILI YUPO MMOJA NA HUYO MMOJA AMESHA UZA KARIBU MALI ZAKE ZOTE LAKINI WATOTO WAKE...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba nisaidie kufahamu Tanzania Treasury Registrar salaries Circular No 8 of 2015?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Moja ya masharti ya kujiunga na fani ya uanasheria ilikuwa ni kumaliza mafunzo ya internship kwa mwaka mmoja. Utaratibu huu umebadilishwa, hivyo kuanzia mwaka huu wahitimu wote wa Laws wanatakiwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba kujua, Kama mahakama imetoa hukumu ya mdaiwa Wangu kulipa Deni analodaiwa na deadline ikapita hajaanza hata kulipa. Inabidi nichukue hatua gani za kisheria? Msaada wenu please.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nichuo kipi bora cha mafunzo ya sheriaa
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Naomba ushauri wa kisheria ili niweze kujua kama mteja anao uwezo kisheria wa kuishtaki benki, ili apate haki zake zinazominywa kwa maksudi kabisa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…