Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
1 Reactions
1 Replies
838 Views
kama kuna mtu anayo naomba anitumie
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Sasa katika mgogor huu imefikia hatua ananitamkia mbele ya uongoz wa baraza la kata kuwa nanukuu "utakufa vibaya juu ya eneo hili " mwisho wa kunukuu. Je msaada wa kisheria nikamfungulie kesi au...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari za leo? Wakuu naomba msaada wa kuandikiwa au kama una sample ya barua ya bodi ya kampuni kwa ajili ya kubadilisha jina la kampuni ya kisheria ie mfano kampuni ilikuwa inaitwa AA Ltd kuwa BB...
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Hivi TRA kufunga duka wakati mimi sipo dukani ni kosa kufanya ivo au si kosa??
0 Reactions
2 Replies
892 Views
Juzi nililazimishwa na askari wa barabarani kufunika taa za ukungu baada ya mabishano ya muda mrefu. Alitaka kunilima notification lakini nikamuwahi kwa hela ya kubrashi viatu. Sasa kwenye hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanabodi, Nchi hii ina Wanasheria lukuki na siamini kama wananchi wote tunafahamu masuala hayo ya sheria ila ni muhimu tufahamu. Kwa kupitia forum hii, naomba watusaidie kufahamu ukomo wa jinai...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bibi aliuza shamba la ekar 6 baadae mnunuzi akajimilikish shama lote tulipo kuja wajuaji tukagundua bibi kaingzwa choo cha kike sasa tumefungua kes balaza la ardhi mtuhumiwa anadai apimiw kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu habari Kuna mtu ananidai 150000 mwanzo alikua ni jamaa yangu sana lakini aliniudhi kuja kuniripot chuo kwamba ananidai na siku ilenilikubal mbele ya DARUSO (ni uongoz wa wanafunzi UDSM) na...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari wakuu, Nafuatilia passport uhamiaji. Naomba kujulishwa sehemu ambapo ntapata mwanasheria ambaye atanishughulikia kupata hati ya kiapo (Affidavit). Na gharama yake ikoje. Na kama kuna...
0 Reactions
7 Replies
10K Views
Kama OJ Simposon aliweza kuchomolewa kwenye tuhuma ya mauwaji ya mtalaka wake na mpenzi wa mtalaka wake, Ukiwaona Ditopile Mzuzuri aliweza kuchomoka kesi ya kuua dreva wa daladala SWALI imekuwaje...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Nauliza utaratibu ukoje ikiwa kwa sababu zenye mashiko, nimemkataa Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo iliyo maeneo ya mjini. Hakimu naye amekubali kujitoa katika kesi hiyo lakini kwa kuwa yeye...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Naamini mnaweza kujifunza moja au mawili (na wao tukiwa na case kama hii wanaweza kujifunza kutoka kwenu). Hasa mawakili vijana, See if your English fluency and legal arguments can match that of...
1 Reactions
0 Replies
968 Views
Naomba msaada wa kisheria Habri wakuu..naomba kujua uhamisho wa kuomba ukiwa kazini baada ya miaka mitano kituoni na ukaomba uhamisho je unastahili kulipwa? Sheria inasemaje?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao <br />1. Hakimu<br />2. Judge<br />3. Wakiri<br /><br />Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi<br />1. Mahakama ya mwanzo na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
DEFINITION(MAANA) Kuua bila kukusudia "BLACK LAW DICTIONARY 8TH EDITION 2004,P.3056 Limetoa maana kua "ni kitendo cha kuua binaadam bila ya nia ya kufanya hivyo" .....ni kwamba , bila ya kua na...
4 Reactions
26 Replies
5K Views
Je mfano A na B ni wapenzi WA muda mrefu. Wakiwa mikoa tofauti, B anapata mpenzi C ambapo anaamua kumjulisha A kwa ujumbe wa simu. Baada ya kupata ujumbe, A anakufa kwa mshituko. Je B atakuwa na...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Sema kweli japo chungu[emoji24] Ndugu zangu tunakumbuka vyema msanii maarufu kanumba namna ya kifo chake kilivyotokea lakini MTU huyo ambaye Leo amehukumiwa pia alkuwa ni muhanga Wa marehemu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tangu kuzaliwa kwake, anajulikana kwa jina la Issa K. Busotwa. Wakati Wa mtihani Wa kidato cha nne mwaka 2010 alishikwa na mtihani akiwa ndani ya chumba cha mtihani na siku ya mwisho, matokeo yake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu Yeyote Mwenye Kuwa Nayo Pdf Ya Sheria Ya Elimu Na 5 Ya Mwaka 1978 naomba anisaidie.
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…